Wamwendea Yesu kwa kusafiwa, Na kuoshwa kwa damu ya kondoo? Je neema yake umemwagiwa, Tumeoshwa kwa damu ya kondoo? Kuoshwa, kwa damu, Itutakasayo ya kondoo; Ziwe safi nguo nyeupe mno; Umeoshwa kwa damu ya kondoo? Wamwandama daima mkombozi Na kuoshwa na damu ya kondoo? Yako kwa msulubiwa makazi, Umeoshwa kwa damu ya kondoo? Atakapokuja Bwana -arusi Uwe safi kwa damu ya kondoo! Yafae kwenda mbinguni mavazi Yafuliwe kwa damu ya kondoo. Yatupwe yaliyo na takataka, Na uoshwe kwa damu ya kondoo. Huoni kijito chatiririka Na uoshwe kwa damu ya kondoo?Hai vino acum sa-L lauzi zhǔ shì nǐ jiù le wǒ de líng hún ạlrwḥ wạlʿrws Jeshua wǒ qiè mù nǐ de tóng zài Veď ma z dolných nádvorí Бакы дурмуш бар Сен экен Хочется в детство إلهي إلهي كن قائدي هاشيدوا الأسوار وعلوا للدهور
Song not available - connect to internet to try again?