Bwana uliyewaita Watakatifu wako, Wawe mitume, wachunga, Walishe kundi lako; wanyonge na wenye hofu Wakawa mashujaa, Na wapole wa kunena Wasiwe kunyamaa. Hata leo wawataka Watakatifu wako, Nawe wauliza tena Ni nani aliyeko Atakaye nimtume Afundishe vijana? 'Ni tayari, Bwana wangu, Nitume mimi Bwana.' Nitume na mimi, Bwana Kama ulivyotumwa, Habari ya msamaha Na dhambi kutubiwa, Niwahubiri wakosa, Na waliopotea, Wokovu u wake Bwana, Aliyewafilia. Astahiliye hapana Kutamka habari, Lakini wewe waweza Kutufanya tayari. Neno lako tulijue, Tupe na roho yako, Hayatakuwa ya bure, Haya maneno yako.Здравствуй, мой любимый Бог... Gdy się zakończą cierpienia i łzy ạ̉by ḍllt mạ ạ̉ḥly̱ ạ̉n njtmʿ mʿạaⁿ Aleluja I. المسيح قام من الأموات ʿndmạ nẓrt أقدر اقوله يا ابويا tndh ʿly wạ̉sktk 我们是
Song not available - connect to internet to try again?