Bwana uliyewaita Watakatifu wako, Wawe mitume, wachunga, Walishe kundi lako; wanyonge na wenye hofu Wakawa mashujaa, Na wapole wa kunena Wasiwe kunyamaa. Hata leo wawataka Watakatifu wako, Nawe wauliza tena Ni nani aliyeko Atakaye nimtume Afundishe vijana? 'Ni tayari, Bwana wangu, Nitume mimi Bwana.' Nitume na mimi, Bwana Kama ulivyotumwa, Habari ya msamaha Na dhambi kutubiwa, Niwahubiri wakosa, Na waliopotea, Wokovu u wake Bwana, Aliyewafilia. Astahiliye hapana Kutamka habari, Lakini wewe waweza Kutufanya tayari. Neno lako tulijue, Tupe na roho yako, Hayatakuwa ya bure, Haya maneno yako.ạ̉nt ạ̉brʿ jmạl Kita 'Kan Menang qlby ạ̉syr nʿmtk lạ ạ̉stḥq الحمد هايعلا Ne Mutlu Ruhta Yoksul Olanlara Rab Mesih Seni Severiz Isa seni súıedi, eı, baýyrym Благодарен я за день tā yào huí jiā
Song not available - connect to internet to try again?