Bwana wa mabwana, Mwenye nguvu sana Twakusihi: Neno la milele Na liende mbele, Waongoke tele Kwa Mwokozi. Tunaowaona Wanavyopatana, Kulipinga, Hawataliweza Neno, kulitweza: Huwaje! Kucheza: Na upanga? Heri wajitunze Ili wapatane, Na Mwokozi; Watafute sana, Wapate kuona, Yesu kuwa Bwana, Mkombozi. Mungu awaita Wasije kukuta Pigo lake; Hakuona vyema Wakose uzima, Awape rehema, Waokoke. Mwenye utukufu Tunamshukuru Yeye pweke! Nasifiwe sana, Baba, naye Mwana, Na wa tatu tena Roho yake.ما أبهاك ما أبهاك chàng zàn gē chàng zàn gē Նրա Անունն Է Հիսուս ۅزۉڭسۉڭ مەنىن جۅلۅگۉم O'nun Sevgisi موسيقى إنت قائدنا lạ tgẖḍ ạlṭrf ʿny Chuqur va keng gẖạly ʿly̱ qlbk معاك رعاية أبدية
Song not available - connect to internet to try again?