Bwana wa mabwana, Mwenye nguvu sana Twakusihi: Neno la milele Na liende mbele, Waongoke tele Kwa Mwokozi. Tunaowaona Wanavyopatana, Kulipinga, Hawataliweza Neno, kulitweza: Huwaje! Kucheza: Na upanga? Heri wajitunze Ili wapatane, Na Mwokozi; Watafute sana, Wapate kuona, Yesu kuwa Bwana, Mkombozi. Mungu awaita Wasije kukuta Pigo lake; Hakuona vyema Wakose uzima, Awape rehema, Waokoke. Mwenye utukufu Tunamshukuru Yeye pweke! Nasifiwe sana, Baba, naye Mwana, Na wa tatu tena Roho yake.Пой Аллилуйя Билингки qạl ly̱ ạlsẖyṭạn kẖṭạyạk Әзәлдин انا عليا حراسة الهية hlmy mʿy yạ ʿrwsty mn lbnạn Ey güçlü Rab Tanrı Sana gelip Sığınırım مبارك اسمك يا ربنا Земьо на блажените ạlftrẗ ạlrạbʿẗ
Song not available - connect to internet to try again?