Bwana Yesu atakuja, Vumilia! Omba, ukiwa na haja, Vumilia! Mbingunu Mungu aliko, Mwamini Mwokozi wako, Nawe utafika huko, Vumilia! Ikikucheka dunia, Vumilia! Mwovu atakuvizia, Vumilia! Hataweza kukushinda, Bwana Yesu akulinda, Roho yako, akupenda, Vumilia! Na ukiwa hatarini, Vumilia! Dhiki nyingi duniani, Vumilia! Vyatupasa kuyakuta, Majaribu na matata, Na Bwana hakutuficha; Vumilia! Adui wakikutana, Vumilia! Na ndugu wakikukana, Vumilia! Zote, zote zitakwisha, Nguvu zote za kutisha Mungu chini atashusha; Vumilia! Moyoni una majonzi, Vumilia! Ndiyo bonde-ya-machozi, Vumilia! Hima tutaandamana, Kwetu Mbinguni na Bwana Tena hatutaachana; Vumilia!Благодарю Тебя Господь qṣtnạ ẓryfẗ lạ ạ̉nsy̱ ywmạaⁿ sydy Нічь темрява скрізь Sono qui davanti a te Chi l'avrebbe detto mai ABADIY MUQADDAS Hayot Boʻronida Ruhing 01 T'lah Kutemukan Dasar Kuat Я славлю Тебе (Joni Moskalets)
Song not available - connect to internet to try again?