Damu imebubujika, Ni ya Imanweli, Wakioga wenye taka, Husafiwa kweli. Ilimpa kushukuru Mwivi mautini; Nami nisiye udhuru, Yanisafi ndani. Kondoo wa kuuawa, Damu ina nguvu, Wako wote kuokoa, Kwa utimilivu. Bwana tangu damu yako Kunisafi kale, Nimeimba sifa zako; Taimba milele. Nikifa tazidi kwimba Sifa za wokovu Ulimi ujaponyamaa Vumbini mwa ufu. Bwana, umenikirimu Nisiyestahili Kwa damu yako, sehemu Ya mali ya kweli. Nikubali kukwimbia, Mbinguni milele, Mungu nitakusifia Jina lako pweke.Qulaq asın Haqdan gələn səslərə Sığınağımsın İsa Очень очень давно We Shall See The King Alleluia Prvá láska U sevar sen Uni sevmaganda ham Látod, újra este van Миний үнэ цэнэ бол Haleluja, putá zlámané
Song not available - connect to internet to try again?