Damu imebubujika, Ni ya Imanweli, Wakioga wenye taka, Husafiwa kweli. Ilimpa kushukuru Mwivi mautini; Nami nisiye udhuru, Yanisafi ndani. Kondoo wa kuuawa, Damu ina nguvu, Wako wote kuokoa, Kwa utimilivu. Bwana tangu damu yako Kunisafi kale, Nimeimba sifa zako; Taimba milele. Nikifa tazidi kwimba Sifa za wokovu Ulimi ujaponyamaa Vumbini mwa ufu. Bwana, umenikirimu Nisiyestahili Kwa damu yako, sehemu Ya mali ya kweli. Nikubali kukwimbia, Mbinguni milele, Mungu nitakusifia Jina lako pweke.hl lqạʾ nḥẓy̱ fyh zǒu jìn xīn de yī tiān بادخل عرش النعمة O, Ek Wil Sing V smutnej chvíli, drahý Pane О Спасителю Христе! في بلدنا У тинчлигимиз จงหยั่งลึกลึกลงถึงแก่น يا ايها الاب الغني
Song not available - connect to internet to try again?