Deni yangu ya dhambi, Yesu amelipa. Kwake msalabani Nilipewa uzima. Deni ya dhambi, Msalabani, Ilimalizikia, Ni huru kabisa. Bwana Yesu asema, 'Mwanangu dhaifu, Uwezo wa ushindi Hupatikana kwangu.' Bwana, kweli naona, Nguvu zako pekee Huondoa ukoma, Niwe kipya kiumbe. Sina wema moyoni, Nidai neema, Nakubali kabisa, Kwa damu kusafiwa. Hata huko Mbinguni Miguuni pake, 'Yesu alinifia,' Nitaimba milele.Шабэхи Ерушалаим Ritorno a te Ей, жоним Худовандни олқишла Nunca habrá historia más preciosa مش عايزين Ҳеч ким ёқдир Сендак تستاهل أغني لك Иисус сказал да Tmou svetlo svieti 谁能使我们
Song not available - connect to internet to try again?