Deni yangu ya dhambi, Yesu amelipa. Kwake msalabani Nilipewa uzima. Deni ya dhambi, Msalabani, Ilimalizikia, Ni huru kabisa. Bwana Yesu asema, 'Mwanangu dhaifu, Uwezo wa ushindi Hupatikana kwangu.' Bwana, kweli naona, Nguvu zako pekee Huondoa ukoma, Niwe kipya kiumbe. Sina wema moyoni, Nidai neema, Nakubali kabisa, Kwa damu kusafiwa. Hata huko Mbinguni Miguuni pake, 'Yesu alinifia,' Nitaimba milele.КОЙТО Е ПОД ПОКРИВА НА ВСЕВИШНИЯ Niño Lindo Миний сэтгэлийг في فجر أول الأسبوع Lamb of God يالشوقي وحنيني Дыханием любви святой Снег ىزدەيلى بئز اسمان پادىشالىعىن Regresa, regresa
Song not available - connect to internet to try again?