Deni yangu ya dhambi, Yesu amelipa. Kwake msalabani Nilipewa uzima. Deni ya dhambi, Msalabani, Ilimalizikia, Ni huru kabisa. Bwana Yesu asema, 'Mwanangu dhaifu, Uwezo wa ushindi Hupatikana kwangu.' Bwana, kweli naona, Nguvu zako pekee Huondoa ukoma, Niwe kipya kiumbe. Sina wema moyoni, Nidai neema, Nakubali kabisa, Kwa damu kusafiwa. Hata huko Mbinguni Miguuni pake, 'Yesu alinifia,' Nitaimba milele.سەن ئىگەم ماشىياخ О друг следи всегда что говоришь في مذود نام Yahve ลูกสุดที่รัก ทุกครั้งที่หลับตา มองดูที่กางเขน Ne Mutlu Esti nadejdea mea, bucuria mea يسوع الشافى قدس ربي أعماقي FOLLOW ON !
Song not available - connect to internet to try again?