Deni yangu ya dhambi, Yesu amelipa. Kwake msalabani Nilipewa uzima. Deni ya dhambi, Msalabani, Ilimalizikia, Ni huru kabisa. Bwana Yesu asema, 'Mwanangu dhaifu, Uwezo wa ushindi Hupatikana kwangu.' Bwana, kweli naona, Nguvu zako pekee Huondoa ukoma, Niwe kipya kiumbe. Sina wema moyoni, Nidai neema, Nakubali kabisa, Kwa damu kusafiwa. Hata huko Mbinguni Miguuni pake, 'Yesu alinifia,' Nitaimba milele.علمني إنجيلك Наш Бог Всемогущий правит Он Panie chwalę imię Twe Sening Qoning Meni Yangilaydi bnạdyk tʿạla Halasgärim, Sen meniň.. Тэнгэрийн од Chval Ho, ó, duše má О, Құдай сондай мейірімді маған Пой Аллилуйя Господу
Song not available - connect to internet to try again?