Deni yangu ya dhambi, Yesu amelipa. Kwake msalabani Nilipewa uzima. Deni ya dhambi, Msalabani, Ilimalizikia, Ni huru kabisa. Bwana Yesu asema, 'Mwanangu dhaifu, Uwezo wa ushindi Hupatikana kwangu.' Bwana, kweli naona, Nguvu zako pekee Huondoa ukoma, Niwe kipya kiumbe. Sina wema moyoni, Nidai neema, Nakubali kabisa, Kwa damu kusafiwa. Hata huko Mbinguni Miguuni pake, 'Yesu alinifia,' Nitaimba milele.فرحًا أفرح بالرب Ҳоразимча 12 Božia láska أنا مطمن ЗАВИНАГИ СВЯТ Sa stai liniştit când eşti greu lovit Vo svete som ja žil Glory to the Lamb فرح محبة يقوم الرب إلهنا
Song not available - connect to internet to try again?