Deni yangu ya dhambi, Yesu amelipa. Kwake msalabani Nilipewa uzima. Deni ya dhambi, Msalabani, Ilimalizikia, Ni huru kabisa. Bwana Yesu asema, 'Mwanangu dhaifu, Uwezo wa ushindi Hupatikana kwangu.' Bwana, kweli naona, Nguvu zako pekee Huondoa ukoma, Niwe kipya kiumbe. Sina wema moyoni, Nidai neema, Nakubali kabisa, Kwa damu kusafiwa. Hata huko Mbinguni Miguuni pake, 'Yesu alinifia,' Nitaimba milele.Небесная Родина Uccelli rapaci dạ fy̱ lḥẓẗ ṣdq Ты и я Znej haleluja Pánovi, znej haleluja Pánovi Dünya'nın Sonun'da İsa yine gelecek Du er mitt skjulested rb ạlqdạsẗ Алгыш Олсун Как сладостны для нас
Song not available - connect to internet to try again?