Deni yangu ya dhambi, Yesu amelipa. Kwake msalabani Nilipewa uzima. Deni ya dhambi, Msalabani, Ilimalizikia, Ni huru kabisa. Bwana Yesu asema, 'Mwanangu dhaifu, Uwezo wa ushindi Hupatikana kwangu.' Bwana, kweli naona, Nguvu zako pekee Huondoa ukoma, Niwe kipya kiumbe. Sina wema moyoni, Nidai neema, Nakubali kabisa, Kwa damu kusafiwa. Hata huko Mbinguni Miguuni pake, 'Yesu alinifia,' Nitaimba milele.Yaşayana Görkem ạllh ḥb fạlsmạ Salmo 46 Grâce, douce parole In lume-aceasta toate-s trecatoare 一位耶稣牵动着万国人的心 ياندىم مەن ساڭا Христос в любви всесилен ارجع تعالَ يا أخوي O, Qudaı Sen Degen Jaqsy
Song not available - connect to internet to try again?