Deni yangu ya dhambi, Yesu amelipa. Kwake msalabani Nilipewa uzima. Deni ya dhambi, Msalabani, Ilimalizikia, Ni huru kabisa. Bwana Yesu asema, 'Mwanangu dhaifu, Uwezo wa ushindi Hupatikana kwangu.' Bwana, kweli naona, Nguvu zako pekee Huondoa ukoma, Niwe kipya kiumbe. Sina wema moyoni, Nidai neema, Nakubali kabisa, Kwa damu kusafiwa. Hata huko Mbinguni Miguuni pake, 'Yesu alinifia,' Nitaimba milele.Илаһи, Сəнə миннатдарам, wsṭ ạltʿb ạbny ḥbyby ạ̹dẖ twạḍʿ sẖʿby C'è di più يا إلهي أنا غالي Solo Lui può darti 不管有什么环境 أيا مجدلية zhǔ yé sū wǒ děng hóu nǐ
Song not available - connect to internet to try again?