Deni yangu ya dhambi, Yesu amelipa. Kwake msalabani Nilipewa uzima. Deni ya dhambi, Msalabani, Ilimalizikia, Ni huru kabisa. Bwana Yesu asema, 'Mwanangu dhaifu, Uwezo wa ushindi Hupatikana kwangu.' Bwana, kweli naona, Nguvu zako pekee Huondoa ukoma, Niwe kipya kiumbe. Sina wema moyoni, Nidai neema, Nakubali kabisa, Kwa damu kusafiwa. Hata huko Mbinguni Miguuni pake, 'Yesu alinifia,' Nitaimba milele.Когда мои руки поднимаются к Тебе lmạdẖạ tnḥny yạ nfsy mạly swạk Хејир-Дуа Canzone di Ruth Не рань любовь Иерусалим Верный Друг عايش وحيد عايش غريب أيوه طعنت يسوع
Song not available - connect to internet to try again?