Ewe, Baba wa Mbinguni, Usikie twombalo Hapa chini duniani, Na uwe radhi nalo Ee Mungu, bariki Ndugu hawa wawili! Ee Mungu, bariki Ndugu hawa wawili! Watu hawa mbele zako, Na mbele ya kanisa; Watimize Neno lako Wanakutana sasa. Kama Yesu na Kanisa, Ni mmoja, na hivyo, Watu hawawape sasa Wawe mmoja vivyo Walinde, Bwana, daima, Wabariki nyumbani Uwape nyingi salama Humu ulimwenguni. Wabariki, ewe Bwana, Watu hawa wawili, Wape upaji wa wana, Wafurahishwe kweli. Siku za duniani Zitakapopungua, Wape kurithi Mbinguni Mema ya kwendelea.Свадьба yạ nfsy qwmy rbk nʿm ạlrqyb St. Leonards Istennel leszünk mi győztesek Ante Su Presencia We bow down Ovečkou že Boží jsem One More Song For You МЕН СЛЕРГЕ КЕЛЕРИМ КАТАП Któż jest Bogiem jeśli nie nasz Pan
Song not available - connect to internet to try again?