Huyo ndiye! Anashuka Huyo ndiye! anaskuka, Aliyetufilia, Wengi waliookoka, Wakimfurahia, Aleluya! Yesu aturudia. Sote tutamtazama, Amekaa kitini, Nao waliomcoma, Kumkaza mtini, Na kilio, wamuone enzini. Alama za kifo chake Hata sasa anazo Na waaminifu wake Wapendezewa nazo. Alipata, Kwetu alama hizo. Wokovu utakiwao Sasa wapatikana, Na watakatifu hao Mbinguni wakutana Kumlaki, Ndiyo siku ya Bwana Wakusujudie wote Mbele ya kiti chako. Zako, Bwana, nguvu zote Itwae milki yako Njoo Bwana, Sisi tu watu wako.أقدر أقوله يا أبويا Яркий свет Твоей любви Моят Бог е жив Nous sommes une maison Jésus sois avec vous He ny fiantsoana Қуанам Құдайымды тапқаныма wạqfyn ʿly ạswạrk Já vím, že Pán yạ ṣạḥb ạlslṭạn
Song not available - connect to internet to try again?