Huyo ndiye! Anashuka Huyo ndiye! anaskuka, Aliyetufilia, Wengi waliookoka, Wakimfurahia, Aleluya! Yesu aturudia. Sote tutamtazama, Amekaa kitini, Nao waliomcoma, Kumkaza mtini, Na kilio, wamuone enzini. Alama za kifo chake Hata sasa anazo Na waaminifu wake Wapendezewa nazo. Alipata, Kwetu alama hizo. Wokovu utakiwao Sasa wapatikana, Na watakatifu hao Mbinguni wakutana Kumlaki, Ndiyo siku ya Bwana Wakusujudie wote Mbele ya kiti chako. Zako, Bwana, nguvu zote Itwae milki yako Njoo Bwana, Sisi tu watu wako.Вот с небес хвала звучит في وقت ضعفي Veja (Canta Minh'alma) ربي أنا جاي ليك Иса Адъ Сьонмез Асла Lurianne sing fak Hatak okcha̱ya chia ma! Я сижу в бедной келье одна 在这些仅存的年间 Дайте мне Библию Святое Слово
Song not available - connect to internet to try again?