Huyo ndiye! Anashuka Huyo ndiye! anaskuka, Aliyetufilia, Wengi waliookoka, Wakimfurahia, Aleluya! Yesu aturudia. Sote tutamtazama, Amekaa kitini, Nao waliomcoma, Kumkaza mtini, Na kilio, wamuone enzini. Alama za kifo chake Hata sasa anazo Na waaminifu wake Wapendezewa nazo. Alipata, Kwetu alama hizo. Wokovu utakiwao Sasa wapatikana, Na watakatifu hao Mbinguni wakutana Kumlaki, Ndiyo siku ya Bwana Wakusujudie wote Mbele ya kiti chako. Zako, Bwana, nguvu zote Itwae milki yako Njoo Bwana, Sisi tu watu wako.Лулы мынам шулдыръяське fy wqt ṣlạty Голгофа Klaním se před Tvou tváří Túžim Ťa poznať Свет в мире сем Bože veľký, milostivý All hail the power Llega ya Navidad RAL MI NAI ZOH TUAH U
Song not available - connect to internet to try again?