Huyo ndiye! Anashuka Huyo ndiye! anaskuka, Aliyetufilia, Wengi waliookoka, Wakimfurahia, Aleluya! Yesu aturudia. Sote tutamtazama, Amekaa kitini, Nao waliomcoma, Kumkaza mtini, Na kilio, wamuone enzini. Alama za kifo chake Hata sasa anazo Na waaminifu wake Wapendezewa nazo. Alipata, Kwetu alama hizo. Wokovu utakiwao Sasa wapatikana, Na watakatifu hao Mbinguni wakutana Kumlaki, Ndiyo siku ya Bwana Wakusujudie wote Mbele ya kiti chako. Zako, Bwana, nguvu zote Itwae milki yako Njoo Bwana, Sisi tu watu wako.Иисус - Господь Всех Народов Я іду хутка Keď sa milujeme navzájom Go ask the one พระองค์เป็นที่กำบัง Alleluja, alleluja, Jézus az Úr yạ sydy ạ̹n lm ysr Mio Re كان مرة في واحد نازل Ey Yüceler Yücesi
Song not available - connect to internet to try again?