Huyo ndiye! Anashuka Huyo ndiye! anaskuka, Aliyetufilia, Wengi waliookoka, Wakimfurahia, Aleluya! Yesu aturudia. Sote tutamtazama, Amekaa kitini, Nao waliomcoma, Kumkaza mtini, Na kilio, wamuone enzini. Alama za kifo chake Hata sasa anazo Na waaminifu wake Wapendezewa nazo. Alipata, Kwetu alama hizo. Wokovu utakiwao Sasa wapatikana, Na watakatifu hao Mbinguni wakutana Kumlaki, Ndiyo siku ya Bwana Wakusujudie wote Mbele ya kiti chako. Zako, Bwana, nguvu zote Itwae milki yako Njoo Bwana, Sisi tu watu wako.xǐng wù عیسانینگ آدیندا Халелуя Кутсал Рух Te zbaţi întruna-n viaţa asta frate dragă rby yswʿ ʿlsẖạny Na Golgote stíš sa, stíš! Több vagy nekem TAMIN'NY VOALOHANY NY TENY Ellerimi kaldırdım Allaha Ga Labarin Daren Nan
Song not available - connect to internet to try again?