Huyo ndiye! Anashuka Huyo ndiye! anaskuka, Aliyetufilia, Wengi waliookoka, Wakimfurahia, Aleluya! Yesu aturudia. Sote tutamtazama, Amekaa kitini, Nao waliomcoma, Kumkaza mtini, Na kilio, wamuone enzini. Alama za kifo chake Hata sasa anazo Na waaminifu wake Wapendezewa nazo. Alipata, Kwetu alama hizo. Wokovu utakiwao Sasa wapatikana, Na watakatifu hao Mbinguni wakutana Kumlaki, Ndiyo siku ya Bwana Wakusujudie wote Mbele ya kiti chako. Zako, Bwana, nguvu zote Itwae milki yako Njoo Bwana, Sisi tu watu wako.Umierać z Panem, dla Niego żyć Дай сил Özlemim Tek Sana Ait ạ̉yn sẖwktk yạ mwt Hva kan gjøre sjelen ren? مجد وعز Mój Bóg jest źródłem Kıeli kitapta jazylǵan Terang Mentari Merekah Jezusowi chcę śpiewać ku chwale
Song not available - connect to internet to try again?