Huyo ndiye! Anashuka Huyo ndiye! anaskuka, Aliyetufilia, Wengi waliookoka, Wakimfurahia, Aleluya! Yesu aturudia. Sote tutamtazama, Amekaa kitini, Nao waliomcoma, Kumkaza mtini, Na kilio, wamuone enzini. Alama za kifo chake Hata sasa anazo Na waaminifu wake Wapendezewa nazo. Alipata, Kwetu alama hizo. Wokovu utakiwao Sasa wapatikana, Na watakatifu hao Mbinguni wakutana Kumlaki, Ndiyo siku ya Bwana Wakusujudie wote Mbele ya kiti chako. Zako, Bwana, nguvu zote Itwae milki yako Njoo Bwana, Sisi tu watu wako.DUY BENİ MESİHİM Môjho žitia Pán ماتتهزمشي В ритмах суеты крутится шар земной, Vogliam veder Gesù innalzato Duchowi Świętemu, gdy karać cię chce Jedyna jest tylko Boża droga أعترف لك يا الله يا رب وحد Allah Dimuliakanlah
Song not available - connect to internet to try again?