Huyo ndiye! Anashuka Huyo ndiye! anaskuka, Aliyetufilia, Wengi waliookoka, Wakimfurahia, Aleluya! Yesu aturudia. Sote tutamtazama, Amekaa kitini, Nao waliomcoma, Kumkaza mtini, Na kilio, wamuone enzini. Alama za kifo chake Hata sasa anazo Na waaminifu wake Wapendezewa nazo. Alipata, Kwetu alama hizo. Wokovu utakiwao Sasa wapatikana, Na watakatifu hao Mbinguni wakutana Kumlaki, Ndiyo siku ya Bwana Wakusujudie wote Mbele ya kiti chako. Zako, Bwana, nguvu zote Itwae milki yako Njoo Bwana, Sisi tu watu wako.Ora rạḥ nkwn يسا ٴسابي بولدى Io gioirò Risplendi in me mn ạ̉nạ lạ̉ṣyr mn sẖʿbk Solo tu Нет места о Спаситель МЕЖДУ НАС Е СЛАВАТА ТИ
Song not available - connect to internet to try again?