Huyo ndiye! Anashuka Huyo ndiye! anaskuka, Aliyetufilia, Wengi waliookoka, Wakimfurahia, Aleluya! Yesu aturudia. Sote tutamtazama, Amekaa kitini, Nao waliomcoma, Kumkaza mtini, Na kilio, wamuone enzini. Alama za kifo chake Hata sasa anazo Na waaminifu wake Wapendezewa nazo. Alipata, Kwetu alama hizo. Wokovu utakiwao Sasa wapatikana, Na watakatifu hao Mbinguni wakutana Kumlaki, Ndiyo siku ya Bwana Wakusujudie wote Mbele ya kiti chako. Zako, Bwana, nguvu zote Itwae milki yako Njoo Bwana, Sisi tu watu wako.Que Mi Vida Entera Este Taşı Beni Gesù verrà قلبي اتعلق بيك Rab'be Sevinç Çığlıkları At Bogiem wspaniałym أنا جيت سلمتك قلبي Doamne-n prezenţa Ta doresc a sta ప్రభుయేసు నా రక్షకా Дустим эшит Хушхабарни
Song not available - connect to internet to try again?