Huyo ndiye! Anashuka Huyo ndiye! anaskuka, Aliyetufilia, Wengi waliookoka, Wakimfurahia, Aleluya! Yesu aturudia. Sote tutamtazama, Amekaa kitini, Nao waliomcoma, Kumkaza mtini, Na kilio, wamuone enzini. Alama za kifo chake Hata sasa anazo Na waaminifu wake Wapendezewa nazo. Alipata, Kwetu alama hizo. Wokovu utakiwao Sasa wapatikana, Na watakatifu hao Mbinguni wakutana Kumlaki, Ndiyo siku ya Bwana Wakusujudie wote Mbele ya kiti chako. Zako, Bwana, nguvu zote Itwae milki yako Njoo Bwana, Sisi tu watu wako.msẖtạq ạ̹lyk wbqạlh zmạn ให้เราสรรเสริญ Yo Se A Quien He Creido Все грехи мои покрыты ạlrb nwry wkẖlạṣy Yenə Səni İstərəm Nad Slovenskom znie Ай Йине Ми Бен yạ sydy rby ạlʿẓym jmạl rbnạ bhy
Song not available - connect to internet to try again?