Huyo ndiye! Anashuka Huyo ndiye! anaskuka, Aliyetufilia, Wengi waliookoka, Wakimfurahia, Aleluya! Yesu aturudia. Sote tutamtazama, Amekaa kitini, Nao waliomcoma, Kumkaza mtini, Na kilio, wamuone enzini. Alama za kifo chake Hata sasa anazo Na waaminifu wake Wapendezewa nazo. Alipata, Kwetu alama hizo. Wokovu utakiwao Sasa wapatikana, Na watakatifu hao Mbinguni wakutana Kumlaki, Ndiyo siku ya Bwana Wakusujudie wote Mbele ya kiti chako. Zako, Bwana, nguvu zote Itwae milki yako Njoo Bwana, Sisi tu watu wako.حلو الإيمان ఓ యువతీ యువకా - ఓ యవ్వనుండా Ni, Ina Son Yesu yạlly ạ̉mạmk ḥyạty Chisʋs pi̱ Shahli hʋno ألوف ألوف ЯНЛЪЗ ГЕЗЕРДЪМ Bak, Mezarda Yatar İsa Mesihim Diňe merhemet bilen Чашмаи ҳаёт
Song not available - connect to internet to try again?