Aleluya! Aleluya! Aleluya! Hivi vita vimekoma, Vimeshindwa na uzima, Na asifiwe daima, Bwana Yesu. Nguvu za kifo ni hizo, Ila hazina uwezo, Ndizo sasa avunjazo, Bwana Yesu. Siku tatu za huzuni, Kisha atoka ufuni, Asifiwe duniani, Bwana Yesu. Mapingu ameyavunja, Mbingu amezifungua, Nasi sasa twamwimbia, Bwana Yesu. Na ulivyopigwa wewe, Ni kwamba tufunguliwe, Milele na usifiwe, Bwana Yesu.Vreau să iubesc pe frații mei lk ạlqwẗ wạlmjd Gizlət məni Sana Geliyorum Беги ко Христу النور اللي في قلبي యె¬వా తండ్రి వారసులు Adoro Te 盼望好消息 Voglio lodar te
Song not available - connect to internet to try again?