Aleluya! Aleluya! Aleluya! Hivi vita vimekoma, Vimeshindwa na uzima, Na asifiwe daima, Bwana Yesu. Nguvu za kifo ni hizo, Ila hazina uwezo, Ndizo sasa avunjazo, Bwana Yesu. Siku tatu za huzuni, Kisha atoka ufuni, Asifiwe duniani, Bwana Yesu. Mapingu ameyavunja, Mbingu amezifungua, Nasi sasa twamwimbia, Bwana Yesu. Na ulivyopigwa wewe, Ni kwamba tufunguliwe, Milele na usifiwe, Bwana Yesu.Mi arrendo a Te Kumsawt In Ka Nei De Quien Pagó Mi Redención Вечерна молитва Эй инсонлар очинг кўзни O ce frumoasa va fi cantarea Hoosianna О Теңир, күнөөлөрүм кечир менин Odložil si svoj Majestát La Tua mano è sopra me
Song not available - connect to internet to try again?