Aleluya! Aleluya! Aleluya! Hivi vita vimekoma, Vimeshindwa na uzima, Na asifiwe daima, Bwana Yesu. Nguvu za kifo ni hizo, Ila hazina uwezo, Ndizo sasa avunjazo, Bwana Yesu. Siku tatu za huzuni, Kisha atoka ufuni, Asifiwe duniani, Bwana Yesu. Mapingu ameyavunja, Mbingu amezifungua, Nasi sasa twamwimbia, Bwana Yesu. Na ulivyopigwa wewe, Ni kwamba tufunguliwe, Milele na usifiwe, Bwana Yesu.Jaratqan Qudayım, Ózińe sıyınaman Hayranım Бизнинг Масиҳимиз буюк ва улуғ Ich singe Dir ein Liebeslied عايشيين فى حماك bạkẖtạrk ạ̉nt yạ ạlhy من نهر النعمة Gerico Kumsawt In Chawl Ka مصابيح الحياة
Song not available - connect to internet to try again?