Aleluya! Aleluya! Aleluya! Hivi vita vimekoma, Vimeshindwa na uzima, Na asifiwe daima, Bwana Yesu. Nguvu za kifo ni hizo, Ila hazina uwezo, Ndizo sasa avunjazo, Bwana Yesu. Siku tatu za huzuni, Kisha atoka ufuni, Asifiwe duniani, Bwana Yesu. Mapingu ameyavunja, Mbingu amezifungua, Nasi sasa twamwimbia, Bwana Yesu. Na ulivyopigwa wewe, Ni kwamba tufunguliwe, Milele na usifiwe, Bwana Yesu.يهتم بي عوني منقذي Жүрөгүмдө сырлар Zieh mich hin zu dir Shukronalik sanosi Eu stiu un loc de pace plin Anug'rah Tuhan kita, Yesus Kristus طريق ربي الملك بيمهلني Dzięki, Jezu sẖʿb ạlmsyḥ yrnm
Song not available - connect to internet to try again?