Aleluya! Aleluya! Aleluya! Hivi vita vimekoma, Vimeshindwa na uzima, Na asifiwe daima, Bwana Yesu. Nguvu za kifo ni hizo, Ila hazina uwezo, Ndizo sasa avunjazo, Bwana Yesu. Siku tatu za huzuni, Kisha atoka ufuni, Asifiwe duniani, Bwana Yesu. Mapingu ameyavunja, Mbingu amezifungua, Nasi sasa twamwimbia, Bwana Yesu. Na ulivyopigwa wewe, Ni kwamba tufunguliwe, Milele na usifiwe, Bwana Yesu.mạsk fyk În lumea-aceasta toate-s trecătoare Cuvantul cu voi sunt گِل، رِبّه سِجده اِدِلینگ Una voce sola mbạrk ạ̹lhnạ Donolar పదములు చాలని ప్రేమ ఇది Севинч Гелди Баръш Гелди Дюнямъза Dichiariamo la Tua maestà
Song not available - connect to internet to try again?