Aleluya! Aleluya! Aleluya! Hivi vita vimekoma, Vimeshindwa na uzima, Na asifiwe daima, Bwana Yesu. Nguvu za kifo ni hizo, Ila hazina uwezo, Ndizo sasa avunjazo, Bwana Yesu. Siku tatu za huzuni, Kisha atoka ufuni, Asifiwe duniani, Bwana Yesu. Mapingu ameyavunja, Mbingu amezifungua, Nasi sasa twamwimbia, Bwana Yesu. Na ulivyopigwa wewe, Ni kwamba tufunguliwe, Milele na usifiwe, Bwana Yesu.Jedna hvězda vyniká víc Паймисько шорад мон учкыса Эммануил Эммануил Эммануил قاراڭعى تۇندە تىنىشتىق ەنگەندە L'amour du Père est infini Osmoning ochilsin Я слышу музыку далекую с небес Құдай - біздің Әкеміз Dokądże tak szybko, o chłopcze mój? Лишь с Тобой
Song not available - connect to internet to try again?