Kaa nami, ni usiku tena; Usiniache gizani, Bwana; Msaada wako haukomi; Nili peke yangu, kaa nami. Siku zetu hazikawi kwisha, Sioni la kunifurahisha; Hakuna ambacho hakikomi, Usiye na mwisho kaa nami. Nina haja nawe kila saa; Sina mwingine wa kunifaa; Mimi nitaongozwa na nani Ila wewe? Bwana, kaa name. Sichi neno uwapo karibu; Nipatalo lote, si taabu; Kifo na kaburi haviumi; Nitashinda kwako, kaa nami. Nilalapo nikuone wewe, Gizani mote nimulikiwe; Nuru za mbinguni hazikomi, Siku zangu zote kaa nami.Я возлюбил тебя ماڭا بەرگەن ھاياتىڭ ئۈچۈن Mai Cetonmu, Kan Giciyenka Пана Весна пришла, ликует природа در یک شب روشن و پاک فرشتۀ خدا پایین شد THE ANGELS' SONG Nie je viacej nik jak Ty Твоею благодатью я пленён ṭwby̱ lmn qd ậmnwạ
Song not available - connect to internet to try again?