Kaa nami, ni usiku tena; Usiniache gizani, Bwana; Msaada wako haukomi; Nili peke yangu, kaa nami. Siku zetu hazikawi kwisha, Sioni la kunifurahisha; Hakuna ambacho hakikomi, Usiye na mwisho kaa nami. Nina haja nawe kila saa; Sina mwingine wa kunifaa; Mimi nitaongozwa na nani Ila wewe? Bwana, kaa name. Sichi neno uwapo karibu; Nipatalo lote, si taabu; Kifo na kaburi haviumi; Nitashinda kwako, kaa nami. Nilalapo nikuone wewe, Gizani mote nimulikiwe; Nuru za mbinguni hazikomi, Siku zangu zote kaa nami.غني للرب يا كل الأرض Vedle nacer! Oh, qué maravilla! N--ai asemănare В последний же великий день праздника A la grâce, à la croix, viens Я знаю что спасение имею чрез Христа АЗ ТЕ ХВАЛЯ ОТ ЦЯЛО СЪРЦЕ Jézus tette szíveinkbe ezt a dalt Te-aștept Isus de multa vreme V dálce někde v zámoří
Song not available - connect to internet to try again?