Kaa nami, ni usiku tena; Usiniache gizani, Bwana; Msaada wako haukomi; Nili peke yangu, kaa nami. Siku zetu hazikawi kwisha, Sioni la kunifurahisha; Hakuna ambacho hakikomi, Usiye na mwisho kaa nami. Nina haja nawe kila saa; Sina mwingine wa kunifaa; Mimi nitaongozwa na nani Ila wewe? Bwana, kaa name. Sichi neno uwapo karibu; Nipatalo lote, si taabu; Kifo na kaburi haviumi; Nitashinda kwako, kaa nami. Nilalapo nikuone wewe, Gizani mote nimulikiwe; Nuru za mbinguni hazikomi, Siku zangu zote kaa nami.Жым-жырт түн tʿạl bynnạ Svou sílu dej nám Эй барча ҳалклар Credo لكل شىء زمان Iblant er jeg lei meg ПАДНЕШ ЛИ Ты нужен мне больше чем вчера أيها الآب المبارك احفظنا سائرين
Song not available - connect to internet to try again?