Kaa nami, ni usiku tena; Usiniache gizani, Bwana; Msaada wako haukomi; Nili peke yangu, kaa nami. Siku zetu hazikawi kwisha, Sioni la kunifurahisha; Hakuna ambacho hakikomi, Usiye na mwisho kaa nami. Nina haja nawe kila saa; Sina mwingine wa kunifaa; Mimi nitaongozwa na nani Ila wewe? Bwana, kaa name. Sichi neno uwapo karibu; Nipatalo lote, si taabu; Kifo na kaburi haviumi; Nitashinda kwako, kaa nami. Nilalapo nikuone wewe, Gizani mote nimulikiwe; Nuru za mbinguni hazikomi, Siku zangu zote kaa nami.mn ạlạ̉ʿmạq Ризамын Саған Имануил Hang on to life tʿlyq 2 Мой в небе край родной мой в небе дом Mon Dieu, toi le Roi frḥạ tfrḥ nfsy hạfrḥ wạhtf bạlʿwd Еке Исада Come, ye people, raise/Neander
Song not available - connect to internet to try again?