Kaa nami, ni usiku tena; Usiniache gizani, Bwana; Msaada wako haukomi; Nili peke yangu, kaa nami. Siku zetu hazikawi kwisha, Sioni la kunifurahisha; Hakuna ambacho hakikomi, Usiye na mwisho kaa nami. Nina haja nawe kila saa; Sina mwingine wa kunifaa; Mimi nitaongozwa na nani Ila wewe? Bwana, kaa name. Sichi neno uwapo karibu; Nipatalo lote, si taabu; Kifo na kaburi haviumi; Nitashinda kwako, kaa nami. Nilalapo nikuone wewe, Gizani mote nimulikiwe; Nuru za mbinguni hazikomi, Siku zangu zote kaa nami.พระองค์ทรงสมควร يا يسوع يا أبانا JEHOVAJERE Билдиңерби деги бүгүн кандай күн? Now Thank We All Our God Thiengtho, Thiengtho Господи, Ти ме знаеш Ulu Tanrımız, İyi Tanrımız 人都在讲季节反常 دايىم اتقارىلات ۇبادالارى
Song not available - connect to internet to try again?