Kaa nami, ni usiku tena; Usiniache gizani, Bwana; Msaada wako haukomi; Nili peke yangu, kaa nami. Siku zetu hazikawi kwisha, Sioni la kunifurahisha; Hakuna ambacho hakikomi, Usiye na mwisho kaa nami. Nina haja nawe kila saa; Sina mwingine wa kunifaa; Mimi nitaongozwa na nani Ila wewe? Bwana, kaa name. Sichi neno uwapo karibu; Nipatalo lote, si taabu; Kifo na kaburi haviumi; Nitashinda kwako, kaa nami. Nilalapo nikuone wewe, Gizani mote nimulikiwe; Nuru za mbinguni hazikomi, Siku zangu zote kaa nami.Ta Parole est la richesse ạ̉nạ fy ạlmṣlwb hyạ ạfrḥwạ Minnətdaram Sənə , Rəbbim Раҳбарам Ӯст, раҳбарам Ӯст Jsem tu jen příchozím ٴاربىر كۇن مەن ٴار ساعات قۇداي ٴوزى قورعايدى يا ماشي وعارف لوين يا خاطي اعرف طريقك DERAINA ANIE JESO
Song not available - connect to internet to try again?