Kazi yangu ikiisha, nami nikiokoka; Na kuvaa kutokuharibika, Nitamjua Mwokozi nifikapo ng'amboni; Atakuwa wa kwanza kunilaki. Nitamjua, nitamjua, nikimwona uso kwa uso; Nitamjua, nitamjua, kwa alama za misumari. Furaha nitapata nikiona makao Bwana aliyotuandalia; Nitamsifu mwokozi kwa rehema na pendo Vilivyonipa pahali Mbinguni. Nao waliokufa katika Bwana Yesu, Nitawaona tena huko juu; Lakini nifikapo kwake huko Mbinguni, Nataka kumwona Mwokozi kwanza. Milangoni mwa mji Bwana atanipitisha, Pasipo machozi wala huzuni. Nitauimba wimbo wa milele; lakini Nataka kumwona Mwokozi kwanza.Відчай Eres Tú la única razón En el cielo y en la tierra Gözyaşlarım Akar Bitmez, Tüm Gecenin Boşluğuna Hospodin je blízky tým mhmạ ṭạl ạlzmạn - mwsyqy ʿlm ạydy tʿml rḍạk Մենք Սպասում ենք Խոստացված Buď, Bože, se mnou X. Wszystkie nasze dzienne sprawy
Song not available - connect to internet to try again?