Kazi yangu ikiisha, nami nikiokoka; Na kuvaa kutokuharibika, Nitamjua Mwokozi nifikapo ng'amboni; Atakuwa wa kwanza kunilaki. Nitamjua, nitamjua, nikimwona uso kwa uso; Nitamjua, nitamjua, kwa alama za misumari. Furaha nitapata nikiona makao Bwana aliyotuandalia; Nitamsifu mwokozi kwa rehema na pendo Vilivyonipa pahali Mbinguni. Nao waliokufa katika Bwana Yesu, Nitawaona tena huko juu; Lakini nifikapo kwake huko Mbinguni, Nataka kumwona Mwokozi kwanza. Milangoni mwa mji Bwana atanipitisha, Pasipo machozi wala huzuni. Nitauimba wimbo wa milele; lakini Nataka kumwona Mwokozi kwanza.gẖyrt ḥyạty Ене Сөйги, ене гүйч В тихом доме Jésus, nous célébrons tous ta victoire No Other Name But The Name of Jesus Ty si Boh na nebi «Аллаһ, Аллаһ» дејəн чох Privind la munti privind in jur msẖtạq lk Джанъм Рабби Гьозлюйор
Song not available - connect to internet to try again?