Kazi yangu ikiisha, nami nikiokoka; Na kuvaa kutokuharibika, Nitamjua Mwokozi nifikapo ng'amboni; Atakuwa wa kwanza kunilaki. Nitamjua, nitamjua, nikimwona uso kwa uso; Nitamjua, nitamjua, kwa alama za misumari. Furaha nitapata nikiona makao Bwana aliyotuandalia; Nitamsifu mwokozi kwa rehema na pendo Vilivyonipa pahali Mbinguni. Nao waliokufa katika Bwana Yesu, Nitawaona tena huko juu; Lakini nifikapo kwake huko Mbinguni, Nataka kumwona Mwokozi kwanza. Milangoni mwa mji Bwana atanipitisha, Pasipo machozi wala huzuni. Nitauimba wimbo wa milele; lakini Nataka kumwona Mwokozi kwanza.T'lah Terdengar Di Golgota ạlqlb ạlmḥtạj lḥnạn Hallelujah in my hart ạ̉gẖlq ạlbạb wḥạjj أعظم أب شفته Rabbim Rabbim sanadır hamdim Krisztusnak teste és vére Не хорошо быть одному Ҳузурингда тазим қиламан lmạ ạ̉kẖạf ḥznaⁿạ
Song not available - connect to internet to try again?