Kazi yangu ikiisha, nami nikiokoka; Na kuvaa kutokuharibika, Nitamjua Mwokozi nifikapo ng'amboni; Atakuwa wa kwanza kunilaki. Nitamjua, nitamjua, nikimwona uso kwa uso; Nitamjua, nitamjua, kwa alama za misumari. Furaha nitapata nikiona makao Bwana aliyotuandalia; Nitamsifu mwokozi kwa rehema na pendo Vilivyonipa pahali Mbinguni. Nao waliokufa katika Bwana Yesu, Nitawaona tena huko juu; Lakini nifikapo kwake huko Mbinguni, Nataka kumwona Mwokozi kwanza. Milangoni mwa mji Bwana atanipitisha, Pasipo machozi wala huzuni. Nitauimba wimbo wa milele; lakini Nataka kumwona Mwokozi kwanza.Лайъксън Сен Там где дух Господень там свобода إحنا شعبك مالناش غيرك Хер шейи О'на борчлуйум سيدي أيا حبيب Te megtörted az éjt Жердеги жашоомду Теңирим түшүнүп Har kuni Injilni Oʻqigin Ańsaımyn Seni, Iem kele gór Дав надію на життя, Ісус
Song not available - connect to internet to try again?