Kazi yangu ikiisha, nami nikiokoka; Na kuvaa kutokuharibika, Nitamjua Mwokozi nifikapo ng'amboni; Atakuwa wa kwanza kunilaki. Nitamjua, nitamjua, nikimwona uso kwa uso; Nitamjua, nitamjua, kwa alama za misumari. Furaha nitapata nikiona makao Bwana aliyotuandalia; Nitamsifu mwokozi kwa rehema na pendo Vilivyonipa pahali Mbinguni. Nao waliokufa katika Bwana Yesu, Nitawaona tena huko juu; Lakini nifikapo kwake huko Mbinguni, Nataka kumwona Mwokozi kwanza. Milangoni mwa mji Bwana atanipitisha, Pasipo machozi wala huzuni. Nitauimba wimbo wa milele; lakini Nataka kumwona Mwokozi kwanza.ربي أمامك أخذت قراري Entends-tu le chant joyeux? 当耶和华记录万民的时候 Скажи мне Спаситель слова утешенья يا يسوع ليك كل أيامنا Аспанда жарық ай, самсаған жұлдыздар ạ̉nạ fy ạlmdynẗ Arriverà Vďaku, čo v srdci mám Как много разных песен в этом мире
Song not available - connect to internet to try again?