Kwa wingi wa nyama, Na sadaka pia, Hupata wapi salama, Kwondoa hatia? Sadaka ni Yesu, Hwondoa makosa; Dhabihu mwenye jina kuu, Atanitakasa. Kwa yangu imani, Nikuweke sasa Mkono mwako kichwani Kukiri makosa. Roho yakumbuka Mambo ya mtini, Mzigo ulijitweka, Ndiyo yangu deni. Deni hutanguka, Tukimuamini; Kwa damu tumeokoka, Twimbe furahani.Sono un figlio di Re Слово Божье струны арфы إهتفي للرب يا كل الأرض Бах тахта Отуран Рəббə قصبة مردودة أنا عايش Guarigione ვინც ამსხვრევს ცოდვის Eu celebrarei Gelin Tapınalım
Song not available - connect to internet to try again?