Kwa wingi wa nyama, Na sadaka pia, Hupata wapi salama, Kwondoa hatia? Sadaka ni Yesu, Hwondoa makosa; Dhabihu mwenye jina kuu, Atanitakasa. Kwa yangu imani, Nikuweke sasa Mkono mwako kichwani Kukiri makosa. Roho yakumbuka Mambo ya mtini, Mzigo ulijitweka, Ndiyo yangu deni. Deni hutanguka, Tukimuamini; Kwa damu tumeokoka, Twimbe furahani.Ota Sening sevging naqadar buyuk Ho bisogno di Te O mie de ani cu Isus voi trai hyạ tʿạlwạ nfrḥ wnnsẖd yʿẓm ạntṣạrnạ Величит душа моя Бога يا ابو الانوار Hai Orang Yang Beriman องค์พระบารมี Dziś w Betlejemie
Song not available - connect to internet to try again?