Maelfu na maelfu Wenye nguo bora! Masafu ya waongofu Wenye na bendera! Amekwisha kamili Vita vya shetani Fungueni lango hili; Njoni, ingieni! Imbeni aleluya, Zipae Mbinguni! Pigeni sana sauti Kwa kutumaini! Kwa hiyo viliumbwa Nchi hata Mbingu Dhiki za muda zikisha, Asifiwe Yesu. Loo! Tukionana Pwani ya ng'amboni! Loo! Tukishirikiana Milele Mbinguni! Midomo yote pia, Huko itaimba Wajane kufufukiwa Na kila yatima! Himiza enzi yako, Uliyetufia Utimize watu wako, Wakosaji pia, Mpendwa wa taifa twakutumaini! Uzifunue ishara Urudi enzini!Я Раб, Шимди Есенликле O, duszo, pośpieszaj do krzyża Nem kell félnünk Уж слышу я шум как бы множества вод J'ai confiance en toi Sono fondata in te hw ạllh ạltẖạlwtẖ Alleluia Cristo vive in me Just let me say Кечирип Ыйса күнөөмдү
Song not available - connect to internet to try again?