Msalaba wa aibu, Ulinipa amani; Uliniondoa kifungoni, Nilimotesekea. Ee, Mwokozi wangu, Yesu Nitamwendea nani? Najiweka msalabani, Nikaoshwe damuni. Nakupenda Bwana Yesu, Kwa kunipenda kwako, Napendezwa nikutumikie Maisha yangu yote. Usifiwe Bwana Yesu, Kwa ulivyonifia, Aleluya, nakushukuru, Uliyenikomboa. Msalaba ulishinda Nguvu zake adui, Ili mimi nikombolewe, Niwe mwana wa Mungu.He Is Yahweh Два человека в час вечерний Калбин Капалъ Мъ? Bayram axşamı, bir il də keçdi ạsmʿ ṣrạkẖy yạsydy Nasýtené dieťa Спіши до Христа Osmonga lylẗ lylẗ Keď ako chlapec
Song not available - connect to internet to try again?