Mungu msada wetu Tangu myaka yote, Ndiwe tumaini letu La zamani zote. Kivuli cha kiti chako Ndiyo ngome yetu. Watosha mkono wako Ni ulinzi wetu. Kwanza havijakuwako Nchi na milima, Ndiwe Mungu; chini yako Twakaa salama. Na myaka elfu ni kama Siku moja kwako; Utanilinda daima Tu wenyeji wako. Binadamu huondoka, Mwisho hana kitu; Kama ndoto hutoweka Ndivyo hali yetu. Ila wewe Mungu wetu Ndiwe wa kudumu; Ndiwe bora, ngome yetu Twakaa dawamu.ạlmḥbẗ Žalm Kajúci Канъндан кан дилийорум Si todos trabajamos ạ̉rfʿwạ ʿywnkm كل حاجة في إيده Ó, mám Ťa rád, Pane Джесур Олун COMME UNE BICHE Радоваться будем все
Song not available - connect to internet to try again?