Mungu msada wetu Tangu myaka yote, Ndiwe tumaini letu La zamani zote. Kivuli cha kiti chako Ndiyo ngome yetu. Watosha mkono wako Ni ulinzi wetu. Kwanza havijakuwako Nchi na milima, Ndiwe Mungu; chini yako Twakaa salama. Na myaka elfu ni kama Siku moja kwako; Utanilinda daima Tu wenyeji wako. Binadamu huondoka, Mwisho hana kitu; Kama ndoto hutoweka Ndivyo hali yetu. Ila wewe Mungu wetu Ndiwe wa kudumu; Ndiwe bora, ngome yetu Twakaa dawamu.Fedele Haleluja šabalabala-bambam Výčitky ma sužujú Вот солнце во тьме засияло смотрите MIDERA AZY О молитва о молитва Исо Ҳалқлар Умиди Данъя данъя Кузё-Инмардэ тон Eu plec acolo unde e lumină Viens à la croix, âme perdue
Song not available - connect to internet to try again?