1. Mwamba uliopasuka, ndani yako nijifiche! Maji yale, damu ile itokayo mbavu zako, iwe dawa ya kuponya roho yangu na ubaya! 2. Kazi za mikono yangu, haziwezi kukomboa. Hata ningelia sana na kutenda kazi nyingi, singeweza kuokoka, peke yako u Mwokozi. 3. Ndani yangu sina kitu, naushika msalaba. Uchi mimi, univike! Sina nguvu, nichukue! Ni mchafu, unioshe! Wewe u Mwokozi wangu. 4. Kwa maisha yangu yote hata nitatoa roho, hata saa ya kuitwa mbele ya Mfalme wangu, mwamba uliopasuka, nijifiche ndani yako!Знаешь ли ручей что бежит Тубом Голгофае, выны, Cerca de Ti Братья все ликуйте славный день настал ТВОЙТА ВОЛЯ ТЪРСЯ, БОЖЕ Өнөөдөр бол Раб'бимиз Доду Дюня'да Privesc la izvor şi-l văd hw rạỷʿ .. hw bạrʿ Гел Янъма
Song not available - connect to internet to try again?