1. Mwamba uliopasuka, ndani yako nijifiche! Maji yale, damu ile itokayo mbavu zako, iwe dawa ya kuponya roho yangu na ubaya! 2. Kazi za mikono yangu, haziwezi kukomboa. Hata ningelia sana na kutenda kazi nyingi, singeweza kuokoka, peke yako u Mwokozi. 3. Ndani yangu sina kitu, naushika msalaba. Uchi mimi, univike! Sina nguvu, nichukue! Ni mchafu, unioshe! Wewe u Mwokozi wangu. 4. Kwa maisha yangu yote hata nitatoa roho, hata saa ya kuitwa mbele ya Mfalme wangu, mwamba uliopasuka, nijifiche ndani yako!พระเจ้าเราเป็นหนึ่ง father We are One Un bimbo di sett'anni Kutsal Ruh Ateşinle Gel Я вижу Иисуса грядущим Ай Йине Ми Бен Who Am I? ʿmr mạ ḥd Bože, Ty si svetla prameň Доносится голос из дали столетий Гелдин дюняя
Song not available - connect to internet to try again?