Tangu siku hiyo aliponijia, Akae moyoni mwangu, Sina giza tena, ila mwanga pia Kwa Yesu mwokozi wangu. Amani moyoni mwangu, kwa Yesu, Mwokozi wangu; Sina shaka kamwe, Kwa sababu yeye, Yu nami moyoni mwangu. Sina haja tena, ya kutanga-tanga, Ndiye kiongozi wangu. Dhambi zangu zote zimeondolewa, Na Yesu, Mwanawe Mungu. Matumaini yangu ni ya hakika, Katika Mwokozi wangu. Hofu zangu na hamu zimeondoka, kwa kuwa ninaye Yesu. Siogopi tena, nikiitwa kufa, Yu nami daima, Yesu. Mlango wa Mbinguni ni yeye pia, 'Tapita humo kwa damu.' Nitaketi na yeye huko milele, Nisifu Mwokozi wangu. Nina raha moyoni majira yote, Kwa Yesu, Mwanawe Mungu.ข้ารับการไถ่ Kdopak je nám nejdražší wèi nǐ sòng xíng Раздается пусть Unione Oro e vernice (tramonti a San Martino) Kahna Gam Pel Ing Ka jwh ạ̹lhnạ qlb ḥnwn Հրաշալի Տեր ىشەنىپ كەلەم، تەڭىرىم ىيسا
Song not available - connect to internet to try again?