Namwndama Bwana kwa alilonena Njia yangu huning'azia; Nikimridhisha atanidumisha Taamini nitii pia. Amini utii, njia pweke ni hii Ya furaha kwa Yesu: amini ukatii. Giza sina kwangu wala hata wingu Yeye mara huviondoa Woga, wasiwasi, sononeko, basi; Huamini nitii pia. Masumbuko yote, sikitiko lote; Kwa mapenzi hunilipia; Baa, dhara, dhiki, vivyo hubariki Taamini nitii pia. Mimi sitajua raha sawasawa Ila yote Yesu kumpa; Napata fadhili na radhi kamili, Taamini nitii pia. Nitamfurahia na kumtumaini, Majumbani na njia-njia; Agizo natenda, nikitumwa hwenda, Huamini nitii pia.V svete hriecha, bludu Nechcem reptať Muna Son Wurin Nan Na Darajar Allah Glory ạlrb fy ʿlạh mkll نلت الحياة الأبدية Hlásajme evanjelium! Vagaba mucho tiempo ژْه مْروڤاهي أز پْر دوور مام Кераксан
Song not available - connect to internet to try again?