Namwndama Bwana kwa alilonena Njia yangu huning'azia; Nikimridhisha atanidumisha Taamini nitii pia. Amini utii, njia pweke ni hii Ya furaha kwa Yesu: amini ukatii. Giza sina kwangu wala hata wingu Yeye mara huviondoa Woga, wasiwasi, sononeko, basi; Huamini nitii pia. Masumbuko yote, sikitiko lote; Kwa mapenzi hunilipia; Baa, dhara, dhiki, vivyo hubariki Taamini nitii pia. Mimi sitajua raha sawasawa Ila yote Yesu kumpa; Napata fadhili na radhi kamili, Taamini nitii pia. Nitamfurahia na kumtumaini, Majumbani na njia-njia; Agizo natenda, nikitumwa hwenda, Huamini nitii pia.تأمل 3 Werin Hezkirinê الروح والعروس Suferinţa lui Isus mântuire ne-a adus నీతో పోల్చుటకు సర్వేశా 鸽子飞呀飞 Jehovah Zanahary يا سيدي كم كان قاسيًا Veď mě stále blíž أول أهتماماتي
Song not available - connect to internet to try again?