Namwndama Bwana kwa alilonena Njia yangu huning'azia; Nikimridhisha atanidumisha Taamini nitii pia. Amini utii, njia pweke ni hii Ya furaha kwa Yesu: amini ukatii. Giza sina kwangu wala hata wingu Yeye mara huviondoa Woga, wasiwasi, sononeko, basi; Huamini nitii pia. Masumbuko yote, sikitiko lote; Kwa mapenzi hunilipia; Baa, dhara, dhiki, vivyo hubariki Taamini nitii pia. Mimi sitajua raha sawasawa Ila yote Yesu kumpa; Napata fadhili na radhi kamili, Taamini nitii pia. Nitamfurahia na kumtumaini, Majumbani na njia-njia; Agizo natenda, nikitumwa hwenda, Huamini nitii pia.Pan Jezus sam О, Авва Отче, о, Бог Великий Günahlarımızı İtiraf Edersek Бютюн Калбимле ЬОвгюлер Сунаджаъм El Espíritu Santo en Jesús El poate El poate ТИ СИ ТУК ʿlmny yạ yswʿ Без Тебя tsbyḥ bdf
Song not available - connect to internet to try again?