Namwndama Bwana kwa alilonena Njia yangu huning'azia; Nikimridhisha atanidumisha Taamini nitii pia. Amini utii, njia pweke ni hii Ya furaha kwa Yesu: amini ukatii. Giza sina kwangu wala hata wingu Yeye mara huviondoa Woga, wasiwasi, sononeko, basi; Huamini nitii pia. Masumbuko yote, sikitiko lote; Kwa mapenzi hunilipia; Baa, dhara, dhiki, vivyo hubariki Taamini nitii pia. Mimi sitajua raha sawasawa Ila yote Yesu kumpa; Napata fadhili na radhi kamili, Taamini nitii pia. Nitamfurahia na kumtumaini, Majumbani na njia-njia; Agizo natenda, nikitumwa hwenda, Huamini nitii pia.Yesu Mu Ne Naka, Kai Ka Saye Mu Let It Be Known (feat. Tim Hughes) Благодарю Господь великий Ó, duša, stojím pred dvermi Юрагимда Сен. ạ̉nạ ạlly dạymạ bạtnsy أنت هو Къайгъы къыйнаймыды сени Haleluya جاي باتقدم
Song not available - connect to internet to try again?