Namwndama Bwana kwa alilonena Njia yangu huning'azia; Nikimridhisha atanidumisha Taamini nitii pia. Amini utii, njia pweke ni hii Ya furaha kwa Yesu: amini ukatii. Giza sina kwangu wala hata wingu Yeye mara huviondoa Woga, wasiwasi, sononeko, basi; Huamini nitii pia. Masumbuko yote, sikitiko lote; Kwa mapenzi hunilipia; Baa, dhara, dhiki, vivyo hubariki Taamini nitii pia. Mimi sitajua raha sawasawa Ila yote Yesu kumpa; Napata fadhili na radhi kamili, Taamini nitii pia. Nitamfurahia na kumtumaini, Majumbani na njia-njia; Agizo natenda, nikitumwa hwenda, Huamini nitii pia.ʿ bwạb ạlsẖạm A kegyelem árad Salgamos hoy hacia la mies جئتنا نؤدي لك السجود Neobstojí žiadna zbraň تسبيحات السما Приди, настало время славить! mbạrk ạ̉sm ạlrb На ладони Божьей птичку не пугает зло Ricomincio da te
Song not available - connect to internet to try again?