Namwndama Bwana kwa alilonena Njia yangu huning'azia; Nikimridhisha atanidumisha Taamini nitii pia. Amini utii, njia pweke ni hii Ya furaha kwa Yesu: amini ukatii. Giza sina kwangu wala hata wingu Yeye mara huviondoa Woga, wasiwasi, sononeko, basi; Huamini nitii pia. Masumbuko yote, sikitiko lote; Kwa mapenzi hunilipia; Baa, dhara, dhiki, vivyo hubariki Taamini nitii pia. Mimi sitajua raha sawasawa Ila yote Yesu kumpa; Napata fadhili na radhi kamili, Taamini nitii pia. Nitamfurahia na kumtumaini, Majumbani na njia-njia; Agizo natenda, nikitumwa hwenda, Huamini nitii pia.Dove stai andando kfạyty mn fdy̱ nfsy Мы - Церковь Твоя FAITH IS THE VICTORY! Ach, či divne nakladáš s nami ạwʿy̱ tạ̉jl Լսվում է Ձայն Երկնքից Идите скажите Христовым друзьям СВОБОДА В КРЪВТА НА ХРИСТА Мәдһийиләйли Рәббимизни
Song not available - connect to internet to try again?