Namwndama Bwana kwa alilonena Njia yangu huning'azia; Nikimridhisha atanidumisha Taamini nitii pia. Amini utii, njia pweke ni hii Ya furaha kwa Yesu: amini ukatii. Giza sina kwangu wala hata wingu Yeye mara huviondoa Woga, wasiwasi, sononeko, basi; Huamini nitii pia. Masumbuko yote, sikitiko lote; Kwa mapenzi hunilipia; Baa, dhara, dhiki, vivyo hubariki Taamini nitii pia. Mimi sitajua raha sawasawa Ila yote Yesu kumpa; Napata fadhili na radhi kamili, Taamini nitii pia. Nitamfurahia na kumtumaini, Majumbani na njia-njia; Agizo natenda, nikitumwa hwenda, Huamini nitii pia.القىش ساعا تەڭىرىم Abba, Baba, Her Zaman Senin Olayım Álmodtam százszor Поклоняюсь Che il tuo regno cresca عايز اعيش 虽然见不到月光 Tú, Señor, eres escudo alrededor de mí dm ạlrb ạsẖtrạnạ wạftdạnạ Numai Tu o Doamne mare
Song not available - connect to internet to try again?