Namwndama Bwana kwa alilonena Njia yangu huning'azia; Nikimridhisha atanidumisha Taamini nitii pia. Amini utii, njia pweke ni hii Ya furaha kwa Yesu: amini ukatii. Giza sina kwangu wala hata wingu Yeye mara huviondoa Woga, wasiwasi, sononeko, basi; Huamini nitii pia. Masumbuko yote, sikitiko lote; Kwa mapenzi hunilipia; Baa, dhara, dhiki, vivyo hubariki Taamini nitii pia. Mimi sitajua raha sawasawa Ila yote Yesu kumpa; Napata fadhili na radhi kamili, Taamini nitii pia. Nitamfurahia na kumtumaini, Majumbani na njia-njia; Agizo natenda, nikitumwa hwenda, Huamini nitii pia.Barlyq kúshterden bıiksiń Встреча была неслучайной, нас повенчала весна. گِل، حَضیر تاغظیم فُرصادی All Creatures of Our God and King In orice zi cu Tine Doamne 변함없는 사랑 Vino la apa vietii Благодаря за туй, че съществуваш مقرب من جثيماني Nu vă-ngrijoraţi de viaţa voastră
Song not available - connect to internet to try again?