Nasikia kwitwa Na sauti yako Nikasafiwe kwa damu Ya kwangikwa kwako. Nimesogea Mtini pako, Unisafi kwa damu ya kwangikwa kwako. Ni mnuonge kweli, Umenipa nguvu, Ulivyonisafi taka, Ni utimilivu. Yesu hunijuvya; Mapenzi, imani; Tumai, amani, radhi, Hapa na Mbinguni. Huipa imara, Kazi yake, ndani: Huongezeka neema, Ashindwe Shetani. Huishuhudia, Myoyo ya imani Ya kuzipata ahadi, Wakimuamini. Napata wokovu, Wema na neema; kwako Bwana nina nguvu Na haki daima.О если б ты узнал تأمل 2 Gdy się wiara moja chwieje Моя Пасха - Христос Искупитель жив Сһаһларин сһаһи Ыса Când zorile revarsă Исо туғилган кун Iba v tých si posvätený Йусуф Калдъ Гурбетте
Song not available - connect to internet to try again?