Nasikia kwitwa Na sauti yako Nikasafiwe kwa damu Ya kwangikwa kwako. Nimesogea Mtini pako, Unisafi kwa damu ya kwangikwa kwako. Ni mnuonge kweli, Umenipa nguvu, Ulivyonisafi taka, Ni utimilivu. Yesu hunijuvya; Mapenzi, imani; Tumai, amani, radhi, Hapa na Mbinguni. Huipa imara, Kazi yake, ndani: Huongezeka neema, Ashindwe Shetani. Huishuhudia, Myoyo ya imani Ya kuzipata ahadi, Wakimuamini. Napata wokovu, Wema na neema; kwako Bwana nina nguvu Na haki daima.І потік той, що звідти прибуває There Is a Day Ako ľúby vánok z raja Ya Almasihu, Kai Mai Ɗaukar Zunubai Lalpa Chenna Gamnuom ạ̉frạḥnạ byk ṭwl ạlṭryq Nobody like You Я непрестанно буду петь АЙ-КАНАТТУ КУШТЫЙ БОЛОЙЫН Boże, Twa Łaska nad nami jest
Song not available - connect to internet to try again?