Nasikia kwitwa Na sauti yako Nikasafiwe kwa damu Ya kwangikwa kwako. Nimesogea Mtini pako, Unisafi kwa damu ya kwangikwa kwako. Ni mnuonge kweli, Umenipa nguvu, Ulivyonisafi taka, Ni utimilivu. Yesu hunijuvya; Mapenzi, imani; Tumai, amani, radhi, Hapa na Mbinguni. Huipa imara, Kazi yake, ndani: Huongezeka neema, Ashindwe Shetani. Huishuhudia, Myoyo ya imani Ya kuzipata ahadi, Wakimuamini. Napata wokovu, Wema na neema; kwako Bwana nina nguvu Na haki daima.Adonai جزء 2 Csendes éj yī shuāng yǎn dān dān yǎng wàng zhǔ ạ̉nạ mḥtạj ạ̉tgẖṭy̱ bdmk هالِلوویا خۇدا قَنج هَ mù rén zài nà lǐ Kto dá mi sily k púti Венчайте Го Proclamerò la tua gloria
Song not available - connect to internet to try again?