Nasikia kwitwa Na sauti yako Nikasafiwe kwa damu Ya kwangikwa kwako. Nimesogea Mtini pako, Unisafi kwa damu ya kwangikwa kwako. Ni mnuonge kweli, Umenipa nguvu, Ulivyonisafi taka, Ni utimilivu. Yesu hunijuvya; Mapenzi, imani; Tumai, amani, radhi, Hapa na Mbinguni. Huipa imara, Kazi yake, ndani: Huongezeka neema, Ashindwe Shetani. Huishuhudia, Myoyo ya imani Ya kuzipata ahadi, Wakimuamini. Napata wokovu, Wema na neema; kwako Bwana nina nguvu Na haki daima.Sois heureux Isaia 53 O, błogosławiony Рəбб Иса, мəним Хиласкарым Pyhien usko Öffnet die Tore- Der König zieht ein Nebeský Bože Wiem, że Jezus przyjdzie Sevgim Olmasa Miluju Tě Pane
Song not available - connect to internet to try again?