Naweka dhambi zangu Juu yake Bwana Kuziondoa, kwangu Hulemea sana; Na uaili wangu Ameuondoa; Dawa yangu ni damu, Kwa hiyo napoa. Na uhitaji wangu Nitamjuvisha Kwa upungufu wangu Yeye anatosha; Majonzi yangu yote Na mizigo yangu, Atachukua vyote Yesu Bwana wangu. Na roho yangu nayo, Imechoka sana; Namletea hiyo Ilindwe na Bwana; Ni jema jina lake, Nalo lapendeza, Imanweli na kwake tutalitukuza. Natamani daima Niwe kama Bwana, Mpole, tena mwema, Wa mapenzi sana; Zaidi natamani Kwenda kwake juu, Nikaone mbinguni Enzi yake kuu.Neden böyle sıkılmışsın yạlly bdyt ạlrḥlẗ mʿạyạ qd jỷt rby ạ̹ly̱ qlby Chisʋs pi Okchalinchi ya yạ yswʿ hnạk fy ạlṣlyb Egli è Nursyń Sen, Aqıqat Seniń qasıetiń Камгалап кор дилеп ор мен byswʿ ạlrb I Will Come and Bow Down
Song not available - connect to internet to try again?