Naweka dhambi zangu Juu yake Bwana Kuziondoa, kwangu Hulemea sana; Na uaili wangu Ameuondoa; Dawa yangu ni damu, Kwa hiyo napoa. Na uhitaji wangu Nitamjuvisha Kwa upungufu wangu Yeye anatosha; Majonzi yangu yote Na mizigo yangu, Atachukua vyote Yesu Bwana wangu. Na roho yangu nayo, Imechoka sana; Namletea hiyo Ilindwe na Bwana; Ni jema jina lake, Nalo lapendeza, Imanweli na kwake tutalitukuza. Natamani daima Niwe kama Bwana, Mpole, tena mwema, Wa mapenzi sana; Zaidi natamani Kwenda kwake juu, Nikaone mbinguni Enzi yake kuu.Chvalte Hospodina de qiú yuè lái yuè biàn nuǎn Малшылар ақырға жүгіріп келді Сокин Кеча İsanın Sevgisi gẖyrt ḥyạty ИИСУС БИСКЕ ЫНАК เชิญองค์พระวิญญาณโปรดเจิมข้า byḥbny msẖ lạ̉n ạ̉nạ ḥbyth Иман Еденин Сонсуз Яшамъ Вардър
Song not available - connect to internet to try again?