Naweka dhambi zangu Juu yake Bwana Kuziondoa, kwangu Hulemea sana; Na uaili wangu Ameuondoa; Dawa yangu ni damu, Kwa hiyo napoa. Na uhitaji wangu Nitamjuvisha Kwa upungufu wangu Yeye anatosha; Majonzi yangu yote Na mizigo yangu, Atachukua vyote Yesu Bwana wangu. Na roho yangu nayo, Imechoka sana; Namletea hiyo Ilindwe na Bwana; Ni jema jina lake, Nalo lapendeza, Imanweli na kwake tutalitukuza. Natamani daima Niwe kama Bwana, Mpole, tena mwema, Wa mapenzi sana; Zaidi natamani Kwenda kwake juu, Nikaone mbinguni Enzi yake kuu.Јараданым, јүксəклəрдəн уҹасан تۇر، جارقىرا بئر تۇۇعانىم كنت ميتا والان انت حي tsbyḥ llrb lḥẓẗ ạlạlạm ạlsẖdydẗ Sguardi di speranza Légy még jó anyánk Tout à toi Как туманное утро встаёт రమ్యమైనది నీ మందిరము
Song not available - connect to internet to try again?