Naweka dhambi zangu Juu yake Bwana Kuziondoa, kwangu Hulemea sana; Na uaili wangu Ameuondoa; Dawa yangu ni damu, Kwa hiyo napoa. Na uhitaji wangu Nitamjuvisha Kwa upungufu wangu Yeye anatosha; Majonzi yangu yote Na mizigo yangu, Atachukua vyote Yesu Bwana wangu. Na roho yangu nayo, Imechoka sana; Namletea hiyo Ilindwe na Bwana; Ni jema jina lake, Nalo lapendeza, Imanweli na kwake tutalitukuza. Natamani daima Niwe kama Bwana, Mpole, tena mwema, Wa mapenzi sana; Zaidi natamani Kwenda kwake juu, Nikaone mbinguni Enzi yake kuu.جەر مەن اسپان، تاۋسىلماس كوپ داستان جۉرۅگۉ ىيسانىن تولو مەەرىمگە gẖyrt ḥyạty ON JORDAN'S STORMY BANKS Men Másihte qýanam Spirit of the Sovereign God msẖ hạṣdq ạ̉y ṣwt خدنا على جبل عالى А мне победу пророчит Дух Святой Мөхөшгүй гэрэл
Song not available - connect to internet to try again?