Naweka dhambi zangu Juu yake Bwana Kuziondoa, kwangu Hulemea sana; Na uaili wangu Ameuondoa; Dawa yangu ni damu, Kwa hiyo napoa. Na uhitaji wangu Nitamjuvisha Kwa upungufu wangu Yeye anatosha; Majonzi yangu yote Na mizigo yangu, Atachukua vyote Yesu Bwana wangu. Na roho yangu nayo, Imechoka sana; Namletea hiyo Ilindwe na Bwana; Ni jema jina lake, Nalo lapendeza, Imanweli na kwake tutalitukuza. Natamani daima Niwe kama Bwana, Mpole, tena mwema, Wa mapenzi sana; Zaidi natamani Kwenda kwake juu, Nikaone mbinguni Enzi yake kuu.เพราะบาปของข้า Билдиңерби деги бүгүн кандай күн? Давшицгаая Bizdiń Patsha, bizdiń Qudaı-Isa Másih! V svaté době yòng wǒ men de rè qíng Cristo está hablando Ты покров мой и щит на Тебя уповаю Добрината на Бог Песня в пустыне
Song not available - connect to internet to try again?