Naweka dhambi zangu Juu yake Bwana Kuziondoa, kwangu Hulemea sana; Na uaili wangu Ameuondoa; Dawa yangu ni damu, Kwa hiyo napoa. Na uhitaji wangu Nitamjuvisha Kwa upungufu wangu Yeye anatosha; Majonzi yangu yote Na mizigo yangu, Atachukua vyote Yesu Bwana wangu. Na roho yangu nayo, Imechoka sana; Namletea hiyo Ilindwe na Bwana; Ni jema jina lake, Nalo lapendeza, Imanweli na kwake tutalitukuza. Natamani daima Niwe kama Bwana, Mpole, tena mwema, Wa mapenzi sana; Zaidi natamani Kwenda kwake juu, Nikaone mbinguni Enzi yake kuu.Ангели співають всім jạy brwḥ ạlṭạʿẗ Дар паноҳи зоти ҳак боши агар Аллилуйя Аллилуйя Аллилуйя Иисус-наш Царь! Nic nie może szczęścia لما أنظر لصليبك dàn yuàn wǒ yǒu chì bǎng xiàng gē zi fēi qù zài zhǔ lǐ yǒu zhēn píng ān Миннəтдарам Сəнə мəн قرب ييجي اليوم
Song not available - connect to internet to try again?