Naweka dhambi zangu Juu yake Bwana Kuziondoa, kwangu Hulemea sana; Na uaili wangu Ameuondoa; Dawa yangu ni damu, Kwa hiyo napoa. Na uhitaji wangu Nitamjuvisha Kwa upungufu wangu Yeye anatosha; Majonzi yangu yote Na mizigo yangu, Atachukua vyote Yesu Bwana wangu. Na roho yangu nayo, Imechoka sana; Namletea hiyo Ilindwe na Bwana; Ni jema jina lake, Nalo lapendeza, Imanweli na kwake tutalitukuza. Natamani daima Niwe kama Bwana, Mpole, tena mwema, Wa mapenzi sana; Zaidi natamani Kwenda kwake juu, Nikaone mbinguni Enzi yake kuu.Toľkokrát ماداقتايمىن سەنى، ارداقتايمىن سەنى Güzelliğin Eşsiz Emsalsizdir Огонь не гасится огнем Бекледжем Беним Аллахъмъ ạ̉yhạ ạlmlk ạlsmạwy اسمانداعى ۇلۇۇ قۇدايعا All My Heart This Night Rejoices Муқәддәстур Униң нами
Song not available - connect to internet to try again?