Ndiyo dhamana, Yesu wangu; Hunipa furaha za Mbingu; Mrithi wa wokovu wake Nimezawa kwa Roho yake. Habari njema, raha yangu Yesu ndiye Mwokozi wangu, Habari njema, raha yangu Yesu ndiye mwokozi wangu. Kumsalimu moyo wangu, Mara namwona raha yangu; Aniletea malaika, Wananilinda, taokoka. Sina Kinyume, nashukuru, Mchana kutwa huja kwangu; Usiku kucha kuna nuru; Mwokozi wangu; ndimi huru. Hali na mali anitwaa! Mara namwona anifaa, Nami nangoja kwa subira; Akiniita, nije mara.jỷtk ạ̉by lạbtgẖy ṭʿạmạaⁿ لما الحمل بيتقل İlyas'ın Günleri Modern prodigal son Ven, alaba a tu Señor Обичам с Тебе да общувам I giorni di Elia لما أجيلك بدموعي On Our Side Sei Signor
Song not available - connect to internet to try again?