Ndiyo dhamana, Yesu wangu; Hunipa furaha za Mbingu; Mrithi wa wokovu wake Nimezawa kwa Roho yake. Habari njema, raha yangu Yesu ndiye Mwokozi wangu, Habari njema, raha yangu Yesu ndiye mwokozi wangu. Kumsalimu moyo wangu, Mara namwona raha yangu; Aniletea malaika, Wananilinda, taokoka. Sina Kinyume, nashukuru, Mchana kutwa huja kwangu; Usiku kucha kuna nuru; Mwokozi wangu; ndimi huru. Hali na mali anitwaa! Mara namwona anifaa, Nami nangoja kwa subira; Akiniita, nije mara.هادئًا وادعًا Náš Otče svatý Pi̱ki ʋba Chihowa ʿ bạb qlby Възпей сега с възторг Vypravet slysel jsem حبك أطيب من الخمر zhǔ yīn nǐ zài wǒ de shēng mìng zhōng zǒu guò أنا اللي ضليت في الوادي Znam imię nad imiona
Song not available - connect to internet to try again?