Ndiyo dhamana, Yesu wangu; Hunipa furaha za Mbingu; Mrithi wa wokovu wake Nimezawa kwa Roho yake. Habari njema, raha yangu Yesu ndiye Mwokozi wangu, Habari njema, raha yangu Yesu ndiye mwokozi wangu. Kumsalimu moyo wangu, Mara namwona raha yangu; Aniletea malaika, Wananilinda, taokoka. Sina Kinyume, nashukuru, Mchana kutwa huja kwangu; Usiku kucha kuna nuru; Mwokozi wangu; ndimi huru. Hali na mali anitwaa! Mara namwona anifaa, Nami nangoja kwa subira; Akiniita, nije mara.Al sou dan ook die vyeboom nie bot nie Бак Раббим гери гелдим mlk ạlmlwk wjlạlk mạly ạlwjwd Slož, co srdce tísní Помоги Беним калбим, Раб'бин севгиси Йюреими сардъ йине Sfinţii-n sărbătoare HRAMTHAWKNAK HLA Aplaudid y canta al Señor Eshitinglar odamlar, osmondan Iso keladi
Song not available - connect to internet to try again?