Ndiyo dhamana, Yesu wangu; Hunipa furaha za Mbingu; Mrithi wa wokovu wake Nimezawa kwa Roho yake. Habari njema, raha yangu Yesu ndiye Mwokozi wangu, Habari njema, raha yangu Yesu ndiye mwokozi wangu. Kumsalimu moyo wangu, Mara namwona raha yangu; Aniletea malaika, Wananilinda, taokoka. Sina Kinyume, nashukuru, Mchana kutwa huja kwangu; Usiku kucha kuna nuru; Mwokozi wangu; ndimi huru. Hali na mali anitwaa! Mara namwona anifaa, Nami nangoja kwa subira; Akiniita, nije mara.bnyjy wntwạḍʿ qdạmk Otevři, Pane, oči mé On What Has Now Been Sown Cand fraţii tăi te părăsesc Чи знаєте ви чому світ звеселився Det fins et navn tʿạlwạ ạ̹ly yạ jmyʿ ạlmtʿbyn Инсан Сессизлие Бюрюнсюн Máme dobrý důvod jásat
Song not available - connect to internet to try again?