Ndiyo dhamana, Yesu wangu; Hunipa furaha za Mbingu; Mrithi wa wokovu wake Nimezawa kwa Roho yake. Habari njema, raha yangu Yesu ndiye Mwokozi wangu, Habari njema, raha yangu Yesu ndiye mwokozi wangu. Kumsalimu moyo wangu, Mara namwona raha yangu; Aniletea malaika, Wananilinda, taokoka. Sina Kinyume, nashukuru, Mchana kutwa huja kwangu; Usiku kucha kuna nuru; Mwokozi wangu; ndimi huru. Hali na mali anitwaa! Mara namwona anifaa, Nami nangoja kwa subira; Akiniita, nije mara.أختبار المرنم أيمن كفروني - الجزء الثاني ХВАЛЯ ТЕ ГОСПОДИ Под кръста на Исуса Oslavujme najsvätejšie Керувларън Арасъна Indeajuns mi-e Doamne doar harul Tau ạ̉myn ạ̉myn bḥbk yʿzf qlby Syng en hallelujasang Anak-Anak, Mari Nyanyi
Song not available - connect to internet to try again?