Ndiyo dhamana, Yesu wangu; Hunipa furaha za Mbingu; Mrithi wa wokovu wake Nimezawa kwa Roho yake. Habari njema, raha yangu Yesu ndiye Mwokozi wangu, Habari njema, raha yangu Yesu ndiye mwokozi wangu. Kumsalimu moyo wangu, Mara namwona raha yangu; Aniletea malaika, Wananilinda, taokoka. Sina Kinyume, nashukuru, Mchana kutwa huja kwangu; Usiku kucha kuna nuru; Mwokozi wangu; ndimi huru. Hali na mali anitwaa! Mara namwona anifaa, Nami nangoja kwa subira; Akiniita, nije mara.Еллеринде Яралар Alzo gli occhi Господь к Тебе зовем Ела при Спаса كل حمدي Безценен Божий дар Zachrániť iných vieš, sám seba však nie Ha lelkem az Úrban Aký je to svit slmt qlby
Song not available - connect to internet to try again?