Ndiyo dhamana, Yesu wangu; Hunipa furaha za Mbingu; Mrithi wa wokovu wake Nimezawa kwa Roho yake. Habari njema, raha yangu Yesu ndiye Mwokozi wangu, Habari njema, raha yangu Yesu ndiye mwokozi wangu. Kumsalimu moyo wangu, Mara namwona raha yangu; Aniletea malaika, Wananilinda, taokoka. Sina Kinyume, nashukuru, Mchana kutwa huja kwangu; Usiku kucha kuna nuru; Mwokozi wangu; ndimi huru. Hali na mali anitwaa! Mara namwona anifaa, Nami nangoja kwa subira; Akiniita, nije mara.Kuylayman halleluya Adesea ma gandesc ce-as fi pierdut bạbạ yswʿ Basta che tu... Une goutte tombe Аф-аф ит үреді Yüreğim Sevinsin 내 입술로 Дигар асири тарсҳоям нестам 04 Track 04
Song not available - connect to internet to try again?