Ndiyo dhamana, Yesu wangu; Hunipa furaha za Mbingu; Mrithi wa wokovu wake Nimezawa kwa Roho yake. Habari njema, raha yangu Yesu ndiye Mwokozi wangu, Habari njema, raha yangu Yesu ndiye mwokozi wangu. Kumsalimu moyo wangu, Mara namwona raha yangu; Aniletea malaika, Wananilinda, taokoka. Sina Kinyume, nashukuru, Mchana kutwa huja kwangu; Usiku kucha kuna nuru; Mwokozi wangu; ndimi huru. Hali na mali anitwaa! Mara namwona anifaa, Nami nangoja kwa subira; Akiniita, nije mara.Yinin Nan Ya Wuce, Dare Yana Bi mhmạ hnʿml يا إلهي أنت تعلم mqtũ ạlḥḍyḍ ạsmʿ ṣrạkẖy yạ sydy Өзүн дејирсəн Իմ սրտում Քո խոսքը Зачем мне быть рабом греха As vrea să mă-ntâlnesc cu Domnul msẖ hạtrạjʿ
Song not available - connect to internet to try again?