Ndiyo dhamana, Yesu wangu; Hunipa furaha za Mbingu; Mrithi wa wokovu wake Nimezawa kwa Roho yake. Habari njema, raha yangu Yesu ndiye Mwokozi wangu, Habari njema, raha yangu Yesu ndiye mwokozi wangu. Kumsalimu moyo wangu, Mara namwona raha yangu; Aniletea malaika, Wananilinda, taokoka. Sina Kinyume, nashukuru, Mchana kutwa huja kwangu; Usiku kucha kuna nuru; Mwokozi wangu; ndimi huru. Hali na mali anitwaa! Mara namwona anifaa, Nami nangoja kwa subira; Akiniita, nije mara.Ata ay Ata Trois fois saint Jéhovah! Амыдырал оруунга азып-түреп чорумда Поклоняемся Тебе мы, исцеляясь .. Posseggo una casetta fy̱ frḥy̱ ậrạk Kale Nilitembea Հավատարիմ,Հզոր Աստված Виа Долорос Olqishlayman Seni
Song not available - connect to internet to try again?