Ndiyo dhamana, Yesu wangu; Hunipa furaha za Mbingu; Mrithi wa wokovu wake Nimezawa kwa Roho yake. Habari njema, raha yangu Yesu ndiye Mwokozi wangu, Habari njema, raha yangu Yesu ndiye mwokozi wangu. Kumsalimu moyo wangu, Mara namwona raha yangu; Aniletea malaika, Wananilinda, taokoka. Sina Kinyume, nashukuru, Mchana kutwa huja kwangu; Usiku kucha kuna nuru; Mwokozi wangu; ndimi huru. Hali na mali anitwaa! Mara namwona anifaa, Nami nangoja kwa subira; Akiniita, nije mara.The More I Seek You أعبدك بابتسامة بافتح عيوني Очи открой нам Rejette ton fardeau sur l'Eternel АЛТАЙ ТУУЛАРЫС Louons le Seigneur ensemble yạ sydy ạ̹ny ạ̉ṭrḥ nfsy Uitstap: Ek sing 'n Haleluja ạ̹lhy ḥbyby
Song not available - connect to internet to try again?