Ndiyo dhamana, Yesu wangu; Hunipa furaha za Mbingu; Mrithi wa wokovu wake Nimezawa kwa Roho yake. Habari njema, raha yangu Yesu ndiye Mwokozi wangu, Habari njema, raha yangu Yesu ndiye mwokozi wangu. Kumsalimu moyo wangu, Mara namwona raha yangu; Aniletea malaika, Wananilinda, taokoka. Sina Kinyume, nashukuru, Mchana kutwa huja kwangu; Usiku kucha kuna nuru; Mwokozi wangu; ndimi huru. Hali na mali anitwaa! Mara namwona anifaa, Nami nangoja kwa subira; Akiniita, nije mara.Dios no está muerto О КОЛКО ЧУДНА БЛАГОДАТ mạdd ạ̹ydk Reste avec moi Dieu de lumière Если склоняюсь В молитве я مهما العالم Любовь Ты добра не злопамятна ḥyn ạ̉dnw lḥmạk Жалғыз дауыс жүрегімде
Song not available - connect to internet to try again?