Ndiyo dhamana, Yesu wangu; Hunipa furaha za Mbingu; Mrithi wa wokovu wake Nimezawa kwa Roho yake. Habari njema, raha yangu Yesu ndiye Mwokozi wangu, Habari njema, raha yangu Yesu ndiye mwokozi wangu. Kumsalimu moyo wangu, Mara namwona raha yangu; Aniletea malaika, Wananilinda, taokoka. Sina Kinyume, nashukuru, Mchana kutwa huja kwangu; Usiku kucha kuna nuru; Mwokozi wangu; ndimi huru. Hali na mali anitwaa! Mara namwona anifaa, Nami nangoja kwa subira; Akiniita, nije mara.وأما كل الذين قبلوه Kto vie? Alla Tua presenza Тәңірім жан-дүниеммен Сені көргім келеді Ще бъда кат'Христа เทลงมา Бог пробуждение шлёт по всей стране نسجتني بهدوء No, Not One! wmhmạ tkwny ḥṣynẗ
Song not available - connect to internet to try again?