Ndiyo dhamana, Yesu wangu; Hunipa furaha za Mbingu; Mrithi wa wokovu wake Nimezawa kwa Roho yake. Habari njema, raha yangu Yesu ndiye Mwokozi wangu, Habari njema, raha yangu Yesu ndiye mwokozi wangu. Kumsalimu moyo wangu, Mara namwona raha yangu; Aniletea malaika, Wananilinda, taokoka. Sina Kinyume, nashukuru, Mchana kutwa huja kwangu; Usiku kucha kuna nuru; Mwokozi wangu; ndimi huru. Hali na mali anitwaa! Mara namwona anifaa, Nami nangoja kwa subira; Akiniita, nije mara.Libero بم بم Таронаи Марям Твой огонь не спит Наш Бог свят и праведен Înaintea Mielului curând vom sta Есть путь спасенья а мир его не знает เราจะเข้ามาสรรเสริญ O Jésus, tu nous appelles Cand zorii se-arată zâmbind dimineaţa
Song not available - connect to internet to try again?