Ndiyo dhamana, Yesu wangu; Hunipa furaha za Mbingu; Mrithi wa wokovu wake Nimezawa kwa Roho yake. Habari njema, raha yangu Yesu ndiye Mwokozi wangu, Habari njema, raha yangu Yesu ndiye mwokozi wangu. Kumsalimu moyo wangu, Mara namwona raha yangu; Aniletea malaika, Wananilinda, taokoka. Sina Kinyume, nashukuru, Mchana kutwa huja kwangu; Usiku kucha kuna nuru; Mwokozi wangu; ndimi huru. Hali na mali anitwaa! Mara namwona anifaa, Nami nangoja kwa subira; Akiniita, nije mara.صالح أنت صالح sẖkln fy Pune-ti cartea căpătâi Nessuno mi separerà Ештеңеден қорықпаңдар كل السماء تعلن مجد يسوع bḥr mḥbẗ ạlfạdy İsa, Harika Bir İsim Sen Beni Sevdin I stand before You now
Song not available - connect to internet to try again?