Ni Mfalme wa mapenzi Ndiye anichungaye, Sipungukiwi, hawezi. Kunipoteza yeye. Kando ya mji mazima Yeye huniongoza Katika malisho mema Daima hunilaza. Mara nyingi hupotea Kwa ukaidi wangu, Naye huniandamia, Hunirudisha kwangu. Uvulini mwa mauti, Siachi hatari kamwe, Wewe Bwana huniachi, Mwokozi wangu wewe. Waniandikia meza Neema kwako tele. Kwa wewe, yote naweza. Na msalaba mbele. Kamwe hautapungua Uule wema wako; Mwisho, atanichukua, Juu, niimbe kwako.Саҡырам бит Jésus est ressuscité Veniţi la lucru să intrăm în via Domnului Like an Avalanche Hiçbir Zaman Unutamam Во тьме глубокой где мир мне не знаком Кудай - Падыша There Is Sunshine In My Soul Мы не одни Караңгыга түшкөн жарыгым Сенсиң
Song not available - connect to internet to try again?