Nionapo amani kama shwari, Ama nionapo shida; Kwa mambo yote umenijulisha, Ni salama rohoni mwangu. Salama rohoni, Ni salama rohoni mwangu. Ingawa shetani atanitesa, Nitajipa moyo kwani Kristo ameona unyonge wangu, Amekufa kwa roho yangu. Dhambi zangu zote, wala si nusu, Zimewekwa msalabani; Wala sichukui laana yake, Ni salama rohoni mwangu. Ee Bwana himiza siku ya kuja, Panda itakapolia; Utakaposhuka sitaogopa Ni salama rohoni mwangu.احملوا ثمار الروح Өдөр бүр бидэнтэй Жарыксың караңгыга түшүп келген En La Noche Los Pastores hạ ạ̉qwl ạlḥq sẖạyf ʿly̱ rạsk كيف أنسى Cuando esta iglesia te alaba Baba Onları Bağışla 主爱催人泪下
Song not available - connect to internet to try again?