Nionapo amani kama shwari, Ama nionapo shida; Kwa mambo yote umenijulisha, Ni salama rohoni mwangu. Salama rohoni, Ni salama rohoni mwangu. Ingawa shetani atanitesa, Nitajipa moyo kwani Kristo ameona unyonge wangu, Amekufa kwa roho yangu. Dhambi zangu zote, wala si nusu, Zimewekwa msalabani; Wala sichukui laana yake, Ni salama rohoni mwangu. Ee Bwana himiza siku ya kuja, Panda itakapolia; Utakaposhuka sitaogopa Ni salama rohoni mwangu.Tatkala Kau 'Kan Ditawan Revive Thy work, O Lord Man of Sorrows Eu nu ma tem, eu nu ma tem ṣlạẗ 2 - tẖmr sẖfạh 2 yswʿ wʿd yḥwl يسوع حي - تأمل Przybieżeli do Betlejem Ürəyi Allahla sevdalı gəlin Бог (О Боже мой, благодарю)
Song not available - connect to internet to try again?