Nionapo amani kama shwari, Ama nionapo shida; Kwa mambo yote umenijulisha, Ni salama rohoni mwangu. Salama rohoni, Ni salama rohoni mwangu. Ingawa shetani atanitesa, Nitajipa moyo kwani Kristo ameona unyonge wangu, Amekufa kwa roho yangu. Dhambi zangu zote, wala si nusu, Zimewekwa msalabani; Wala sichukui laana yake, Ni salama rohoni mwangu. Ee Bwana himiza siku ya kuja, Panda itakapolia; Utakaposhuka sitaogopa Ni salama rohoni mwangu.Qudratim Xudo lạ̉nh tʿlq by ạ̉njyh ạ̉fkạrk ṣạlḥẗ lynạ Wielu ludzi Soldado soy de Cristo Enkeli taivaan Abba, Otče, chcem byť Tvoj hw dh ạlly bysẖjʿny Inima-mi canta de bucurie دل های شما
Song not available - connect to internet to try again?