Nionapo amani kama shwari, Ama nionapo shida; Kwa mambo yote umenijulisha, Ni salama rohoni mwangu. Salama rohoni, Ni salama rohoni mwangu. Ingawa shetani atanitesa, Nitajipa moyo kwani Kristo ameona unyonge wangu, Amekufa kwa roho yangu. Dhambi zangu zote, wala si nusu, Zimewekwa msalabani; Wala sichukui laana yake, Ni salama rohoni mwangu. Ee Bwana himiza siku ya kuja, Panda itakapolia; Utakaposhuka sitaogopa Ni salama rohoni mwangu.lmạ snyn btʿdy̱ ʿlynạ Słyszyszy, jak Pan Jezus woła Le train de l'évangile جيش أملاك السما A včera zvečera مشتاق ليك Христос, я - Твой Romani 5:17 La tua maestà Presenza
Song not available - connect to internet to try again?