Nionapo amani kama shwari, Ama nionapo shida; Kwa mambo yote umenijulisha, Ni salama rohoni mwangu. Salama rohoni, Ni salama rohoni mwangu. Ingawa shetani atanitesa, Nitajipa moyo kwani Kristo ameona unyonge wangu, Amekufa kwa roho yangu. Dhambi zangu zote, wala si nusu, Zimewekwa msalabani; Wala sichukui laana yake, Ni salama rohoni mwangu. Ee Bwana himiza siku ya kuja, Panda itakapolia; Utakaposhuka sitaogopa Ni salama rohoni mwangu.Нақадар Гўзал бу Ном Ježiš je cesta, pravda, život Помазанье сойди на меня Bıbaxş mıni Xıdo Mba sainonao ange sao tsy mba fantatrao بحر محبة الفادي Regarde à Jésus, c'est la vie Chwalcie dziś Pana wạnạ fy ạ̹ydyn yswʿ ḥrr nfws
Song not available - connect to internet to try again?