Nionapo amani kama shwari, Ama nionapo shida; Kwa mambo yote umenijulisha, Ni salama rohoni mwangu. Salama rohoni, Ni salama rohoni mwangu. Ingawa shetani atanitesa, Nitajipa moyo kwani Kristo ameona unyonge wangu, Amekufa kwa roho yangu. Dhambi zangu zote, wala si nusu, Zimewekwa msalabani; Wala sichukui laana yake, Ni salama rohoni mwangu. Ee Bwana himiza siku ya kuja, Panda itakapolia; Utakaposhuka sitaogopa Ni salama rohoni mwangu.По Слову Твоему Haz cambiado mi lamento Muqaddas لسه الامل موجود ḥbk byḥyr أمور الله عجيبة Es ist vollbracht Звёзд в небе очень много ạ̉ḥmdk yạ rb byn ạlsẖʿwb Раббин сьозю Нух'а гелди
Song not available - connect to internet to try again?