Nionapo amani kama shwari, Ama nionapo shida; Kwa mambo yote umenijulisha, Ni salama rohoni mwangu. Salama rohoni, Ni salama rohoni mwangu. Ingawa shetani atanitesa, Nitajipa moyo kwani Kristo ameona unyonge wangu, Amekufa kwa roho yangu. Dhambi zangu zote, wala si nusu, Zimewekwa msalabani; Wala sichukui laana yake, Ni salama rohoni mwangu. Ee Bwana himiza siku ya kuja, Panda itakapolia; Utakaposhuka sitaogopa Ni salama rohoni mwangu.ТВОЯТА ВЯРНОСТ Исусе, Теб любя ạ̹swd ạ̹swd ạ̉nạ ạltrạb ạftkry yạ nfsy Albarkacin Allah 'Na Zuwa 稍微不儆醒 Благодать со креста J'abandonne tout رەبنى ماختاڭلار بالىلار ข้าแสวงหาพระองค์
Song not available - connect to internet to try again?