Nionapo amani kama shwari, Ama nionapo shida; Kwa mambo yote umenijulisha, Ni salama rohoni mwangu. Salama rohoni, Ni salama rohoni mwangu. Ingawa shetani atanitesa, Nitajipa moyo kwani Kristo ameona unyonge wangu, Amekufa kwa roho yangu. Dhambi zangu zote, wala si nusu, Zimewekwa msalabani; Wala sichukui laana yake, Ni salama rohoni mwangu. Ee Bwana himiza siku ya kuja, Panda itakapolia; Utakaposhuka sitaogopa Ni salama rohoni mwangu.Stringimi Signor Sevin, Dünya! Rab'dir Gelen ھاياتىم سەندە رەب ṭạl ạntẓạrnạ Rab'de Daima Sevinin وقت شكوكي Unknown ạ̉rạk ạ̹lhy Ja jestem z wami Периштелер ырдашат
Song not available - connect to internet to try again?