Nionapo amani kama shwari, Ama nionapo shida; Kwa mambo yote umenijulisha, Ni salama rohoni mwangu. Salama rohoni, Ni salama rohoni mwangu. Ingawa shetani atanitesa, Nitajipa moyo kwani Kristo ameona unyonge wangu, Amekufa kwa roho yangu. Dhambi zangu zote, wala si nusu, Zimewekwa msalabani; Wala sichukui laana yake, Ni salama rohoni mwangu. Ee Bwana himiza siku ya kuja, Panda itakapolia; Utakaposhuka sitaogopa Ni salama rohoni mwangu.พระเยซูเป็นที่รักของข้า Կրակը Կրակը Կրակը Буду идти за Иисусом следом за Ним куда поведёт tạ̉ml 4 بتدور ع الراحة Я Тебе Господь в служеньи إحنا الشعب أريبسالين Ты возьми меня گِل، حَضیر تاغظیم فُرصادی
Song not available - connect to internet to try again?