Nionapo amani kama shwari, Ama nionapo shida; Kwa mambo yote umenijulisha, Ni salama rohoni mwangu. Salama rohoni, Ni salama rohoni mwangu. Ingawa shetani atanitesa, Nitajipa moyo kwani Kristo ameona unyonge wangu, Amekufa kwa roho yangu. Dhambi zangu zote, wala si nusu, Zimewekwa msalabani; Wala sichukui laana yake, Ni salama rohoni mwangu. Ee Bwana himiza siku ya kuja, Panda itakapolia; Utakaposhuka sitaogopa Ni salama rohoni mwangu.sẖạʿr byạ wdmwʿ ʿynyạ 效法主 Misaora ny Mpahary Он мне мир подарил ఆధారం నాకు ఆధారం Gyújtsd meg újra tüzed! ṣrt jdyd Tu mi abbraccerai 主爱我 قلبي اشتهى
Song not available - connect to internet to try again?