Nionapo amani kama shwari, Ama nionapo shida; Kwa mambo yote umenijulisha, Ni salama rohoni mwangu. Salama rohoni, Ni salama rohoni mwangu. Ingawa shetani atanitesa, Nitajipa moyo kwani Kristo ameona unyonge wangu, Amekufa kwa roho yangu. Dhambi zangu zote, wala si nusu, Zimewekwa msalabani; Wala sichukui laana yake, Ni salama rohoni mwangu. Ee Bwana himiza siku ya kuja, Panda itakapolia; Utakaposhuka sitaogopa Ni salama rohoni mwangu.Donolikning Tili أعطش لروحك Мы словно искры zhǔ a qīng chén wǒ xún qiú nǐ Herşeyim Sensin Бюйюк Ве Йюджедир, Ишлерин Сенин Nekonečná láska mstr ʿnh ạlwjwh Venez à Celui qui pardonne فلنفرح به
Song not available - connect to internet to try again?