Nionapo amani kama shwari, Ama nionapo shida; Kwa mambo yote umenijulisha, Ni salama rohoni mwangu. Salama rohoni, Ni salama rohoni mwangu. Ingawa shetani atanitesa, Nitajipa moyo kwani Kristo ameona unyonge wangu, Amekufa kwa roho yangu. Dhambi zangu zote, wala si nusu, Zimewekwa msalabani; Wala sichukui laana yake, Ni salama rohoni mwangu. Ee Bwana himiza siku ya kuja, Panda itakapolia; Utakaposhuka sitaogopa Ni salama rohoni mwangu.Улугбек 2005 минус 8 Verný Boh آبار مشققة tqdm yạ sẖʿby dm ạlrb Hosanna pour le Roi! Дай Твое сердце знать Děkuji Bila Sangkakala Menggegap GOD IS LOVE
Song not available - connect to internet to try again?