Nionapo amani kama shwari, Ama nionapo shida; Kwa mambo yote umenijulisha, Ni salama rohoni mwangu. Salama rohoni, Ni salama rohoni mwangu. Ingawa shetani atanitesa, Nitajipa moyo kwani Kristo ameona unyonge wangu, Amekufa kwa roho yangu. Dhambi zangu zote, wala si nusu, Zimewekwa msalabani; Wala sichukui laana yake, Ni salama rohoni mwangu. Ee Bwana himiza siku ya kuja, Panda itakapolia; Utakaposhuka sitaogopa Ni salama rohoni mwangu.ساڭا رەببىم كەلدىم قايرىلىپ Кто я без Твоей любви ИСУС СКЪПО ИМЕ Эрхэм Дээд Эзэн Prišiel na zem Танръ Айше'йи Гюзел Яраттъ 人世间 యేసు చావొందే సిలువపై ṣạr ʿly̱ ạlạ̉rḍ Qudaıym qýanady
Song not available - connect to internet to try again?