Ni tabibu wa karibu; Tabibu wa ajabu; Na rehema za daima; Ni dawa yake njema. Imbeni, malaika, Sifa za Yesu Bwana; Pweke limetukuka Jina lake Yesu. Hatufai kuwa hai, Wala hatutumai, Ila kweli yeye ndiye Atupumzishaye. Dhambi pia na hatia Ametuchukulia; Twendeni na amani Hata kwake Mbinguni. Huliona tamu jina La Yesu Kristo Bwana, Yuna sifa mwenye kufa Asishindwe na kufa. Kila mume asimame, Sifa zake zivume; Wanawake na washike Kusifu jina lake. Na vijana wote tena, Wampendao sana Waje kwake wawe wake Kwa utumishi wake.أراك إلهي tgẖyrny̱ ạ̉nạ ! mwsyqy̱ sẖʿbk yʿln byk ạ̹ymạnh Waymaker في حضن مريم Вновь повторяла за Тобою Би Танд хайртай Bellas palabras de vida Исус тан, Исус тан ạnạ ʿlyạ ḥrạsẗ ạlhyẗ
Song not available - connect to internet to try again?