Ni tabibu wa karibu; Tabibu wa ajabu; Na rehema za daima; Ni dawa yake njema. Imbeni, malaika, Sifa za Yesu Bwana; Pweke limetukuka Jina lake Yesu. Hatufai kuwa hai, Wala hatutumai, Ila kweli yeye ndiye Atupumzishaye. Dhambi pia na hatia Ametuchukulia; Twendeni na amani Hata kwake Mbinguni. Huliona tamu jina La Yesu Kristo Bwana, Yuna sifa mwenye kufa Asishindwe na kufa. Kila mume asimame, Sifa zake zivume; Wanawake na washike Kusifu jina lake. Na vijana wote tena, Wampendao sana Waje kwake wawe wake Kwa utumishi wake.Myśmy, bracia, Chrystusa żołnierze Que la Grâce de notre Seigneur Purta-va de grijă El Domnu ạ̹nt ạlḥqyqẗ Нима дейсан Раббинг келганда Bez prestania nám žiari Panna, výkvet duchovný vychvaľujme dary jej neba, zeme Kráľovnej Говоря исус Kral İsa her şey I tuoi cieli Теңирди даңктап ырдайбыз
Song not available - connect to internet to try again?