Ni tabibu wa karibu; Tabibu wa ajabu; Na rehema za daima; Ni dawa yake njema. Imbeni, malaika, Sifa za Yesu Bwana; Pweke limetukuka Jina lake Yesu. Hatufai kuwa hai, Wala hatutumai, Ila kweli yeye ndiye Atupumzishaye. Dhambi pia na hatia Ametuchukulia; Twendeni na amani Hata kwake Mbinguni. Huliona tamu jina La Yesu Kristo Bwana, Yuna sifa mwenye kufa Asishindwe na kufa. Kila mume asimame, Sifa zake zivume; Wanawake na washike Kusifu jina lake. Na vijana wote tena, Wampendao sana Waje kwake wawe wake Kwa utumishi wake.Твой путь Господь мой самый лучший عايز أرنم yạ ạ̹lhy Тьма нависла над всею Вселенною 有一件事 在原有的根基上筑坛 Sme hladní Душа моя к Тебе спешит Seigneur, dirige tous mes pas Mňa hriechu moc už neviaže
Song not available - connect to internet to try again?