Ni tabibu wa karibu; Tabibu wa ajabu; Na rehema za daima; Ni dawa yake njema. Imbeni, malaika, Sifa za Yesu Bwana; Pweke limetukuka Jina lake Yesu. Hatufai kuwa hai, Wala hatutumai, Ila kweli yeye ndiye Atupumzishaye. Dhambi pia na hatia Ametuchukulia; Twendeni na amani Hata kwake Mbinguni. Huliona tamu jina La Yesu Kristo Bwana, Yuna sifa mwenye kufa Asishindwe na kufa. Kila mume asimame, Sifa zake zivume; Wanawake na washike Kusifu jina lake. Na vijana wote tena, Wampendao sana Waje kwake wawe wake Kwa utumishi wake.wǒ de shēng mìng zài nǐ nà lǐ Коли важко в душі КЪМ ТЕБ МЕ ПРИБЛИЖИ Underfull, underfull Ty si Boh, ktorý vládne nbạrkk yạ mlyk ạlmjd He ny fiantsoana Хвала во вишних Э---нд цугласан бүгд Veniţi cântaţi bunătatea Lui
Song not available - connect to internet to try again?