Nilikuwa kondoo aliyepotea, Sikupenda zizi kamwe, ila kutembea Nilikuwa mwana asiyesikia, Sikupenda baba yangu wala kutulia. Na mchunga mwema alinitafuta, Baba kwa mapenzi ndiye aliyenivuta; Karibu ya kufa, kwa kiu na kwa njaa, Waliniona mnyonge, waliniokoa. Yesu ni mchunga, mwenziwe hapana, Aliosha taka zangu, dhambi nyingi sana; Kwa vidonda vyangu alitia dawa. Ndiye aliyenipata, na kwake nalindwa. Nilikuwa kondoo aliyepotea Sasa nampenda Baba, na mchunga pia; Kwanza nilitanga na kukosa sana, Hivi nyumbani mwa Baba sipotei tena.Odată-ntr-o tainica vreme بشوق وحنين من مثلك بين الإلهه lạ ttrkny ạ̉sẖrd kạn mrẗ fy wạḥd nạzl Digno Я хочу всегда быть там где Ты No soy rescatado con oro Сакит бир ахшамда мəн диз чөкдүм Ashylmaıtyn bul áli qupııa-syr
Song not available - connect to internet to try again?