Nilikuwa kondoo aliyepotea, Sikupenda zizi kamwe, ila kutembea Nilikuwa mwana asiyesikia, Sikupenda baba yangu wala kutulia. Na mchunga mwema alinitafuta, Baba kwa mapenzi ndiye aliyenivuta; Karibu ya kufa, kwa kiu na kwa njaa, Waliniona mnyonge, waliniokoa. Yesu ni mchunga, mwenziwe hapana, Aliosha taka zangu, dhambi nyingi sana; Kwa vidonda vyangu alitia dawa. Ndiye aliyenipata, na kwake nalindwa. Nilikuwa kondoo aliyepotea Sasa nampenda Baba, na mchunga pia; Kwanza nilitanga na kukosa sana, Hivi nyumbani mwa Baba sipotei tena.దేవుని ప్రేమఇదిగో - జనులారా 鸽子飞回来 zhǔ shì nǐ jiù le wǒ de líng hún Сау болыңдар достарымыз jạy bạtqdm Berkatilah, ya Tuhan, Nikah Ini Воспрянь от сна мой дух и свергни страх с себя Կանգնած Այստեղ ạ̉fkạry ʿndk mksẖwfh قد حولت حزني رقص
Song not available - connect to internet to try again?