Nilikuwa kondoo aliyepotea, Sikupenda zizi kamwe, ila kutembea Nilikuwa mwana asiyesikia, Sikupenda baba yangu wala kutulia. Na mchunga mwema alinitafuta, Baba kwa mapenzi ndiye aliyenivuta; Karibu ya kufa, kwa kiu na kwa njaa, Waliniona mnyonge, waliniokoa. Yesu ni mchunga, mwenziwe hapana, Aliosha taka zangu, dhambi nyingi sana; Kwa vidonda vyangu alitia dawa. Ndiye aliyenipata, na kwake nalindwa. Nilikuwa kondoo aliyepotea Sasa nampenda Baba, na mchunga pia; Kwanza nilitanga na kukosa sana, Hivi nyumbani mwa Baba sipotei tena.سألوذ بحضنك خداوند حلیم و مهربان است، اگر قهر هم باشد بازهم صابر است Наш Бог Живой Иса тирильди Нас ждут когда пройдя дороги Вновь рождён (Born again) BAWIPA KHA ZUL KO shéi yě bù zhī dào míng tiān Ваз гечтим бен дюнядан Rightful ruler
Song not available - connect to internet to try again?