Nilikuwa kondoo aliyepotea, Sikupenda zizi kamwe, ila kutembea Nilikuwa mwana asiyesikia, Sikupenda baba yangu wala kutulia. Na mchunga mwema alinitafuta, Baba kwa mapenzi ndiye aliyenivuta; Karibu ya kufa, kwa kiu na kwa njaa, Waliniona mnyonge, waliniokoa. Yesu ni mchunga, mwenziwe hapana, Aliosha taka zangu, dhambi nyingi sana; Kwa vidonda vyangu alitia dawa. Ndiye aliyenipata, na kwake nalindwa. Nilikuwa kondoo aliyepotea Sasa nampenda Baba, na mchunga pia; Kwanza nilitanga na kukosa sana, Hivi nyumbani mwa Baba sipotei tena.ạfrḥ bạlly̱ whbny̱ ḥyạth Над всем превознесен Иисус, Ты - сила моя Тизе бүгүп Сага келем Яшамок учун ишонмок керак Баярын дуугаа Слово любви вечные дни Ježiš Kristus slobodu dáva Иса Ашкъ Ak sa namáhaš
Song not available - connect to internet to try again?