Nilikuwa kondoo aliyepotea, Sikupenda zizi kamwe, ila kutembea Nilikuwa mwana asiyesikia, Sikupenda baba yangu wala kutulia. Na mchunga mwema alinitafuta, Baba kwa mapenzi ndiye aliyenivuta; Karibu ya kufa, kwa kiu na kwa njaa, Waliniona mnyonge, waliniokoa. Yesu ni mchunga, mwenziwe hapana, Aliosha taka zangu, dhambi nyingi sana; Kwa vidonda vyangu alitia dawa. Ndiye aliyenipata, na kwake nalindwa. Nilikuwa kondoo aliyepotea Sasa nampenda Baba, na mchunga pia; Kwanza nilitanga na kukosa sana, Hivi nyumbani mwa Baba sipotei tena.Szívem csak érte dobban Dağlarda ve Tepelerde Талархлыг Эзэнд өргөе Quello che vorrei วันนี้เป็นวันที่พระเจ้าจัดไว้ Хак Тәгәләм сине данлыйм Canto d'amore Крик народа свист бича AA DAWH INNKA AN HUN TIKAH ạ̉nạ jạy wkly kẖjl
Song not available - connect to internet to try again?