Nilikuwa kondoo aliyepotea, Sikupenda zizi kamwe, ila kutembea Nilikuwa mwana asiyesikia, Sikupenda baba yangu wala kutulia. Na mchunga mwema alinitafuta, Baba kwa mapenzi ndiye aliyenivuta; Karibu ya kufa, kwa kiu na kwa njaa, Waliniona mnyonge, waliniokoa. Yesu ni mchunga, mwenziwe hapana, Aliosha taka zangu, dhambi nyingi sana; Kwa vidonda vyangu alitia dawa. Ndiye aliyenipata, na kwake nalindwa. Nilikuwa kondoo aliyepotea Sasa nampenda Baba, na mchunga pia; Kwanza nilitanga na kukosa sana, Hivi nyumbani mwa Baba sipotei tena.АГАРУ ТЫН, КЫЧЫРАДЫС СЕНИ Рахмет Саған Иса أنا كنت فاكر Rabbimizi sevecem يوم ما قابلتك Бог живой నిబ్బరం కలిగి ధైర్యముగుండు أجمل إله Встаньте женщины беспечные أحببت أن سيدي - بصوت الراحل نجيب إبراهيم
Song not available - connect to internet to try again?