Nilikuwa kondoo aliyepotea, Sikupenda zizi kamwe, ila kutembea Nilikuwa mwana asiyesikia, Sikupenda baba yangu wala kutulia. Na mchunga mwema alinitafuta, Baba kwa mapenzi ndiye aliyenivuta; Karibu ya kufa, kwa kiu na kwa njaa, Waliniona mnyonge, waliniokoa. Yesu ni mchunga, mwenziwe hapana, Aliosha taka zangu, dhambi nyingi sana; Kwa vidonda vyangu alitia dawa. Ndiye aliyenipata, na kwake nalindwa. Nilikuwa kondoo aliyepotea Sasa nampenda Baba, na mchunga pia; Kwanza nilitanga na kukosa sana, Hivi nyumbani mwa Baba sipotei tena.mn ygẖlb Иса Месих, Танръ'нън Олу Keď za obzor sa stráca deň Щоб не прийшло, щоб не було ạ̉nt nṣyby Berik turamyn Битву ведет наш Господь باركي يا نفسي الرب Unib chiqadi عارفين اللي عمل شمس وقمر
Song not available - connect to internet to try again?