Nilikuwa kondoo aliyepotea, Sikupenda zizi kamwe, ila kutembea Nilikuwa mwana asiyesikia, Sikupenda baba yangu wala kutulia. Na mchunga mwema alinitafuta, Baba kwa mapenzi ndiye aliyenivuta; Karibu ya kufa, kwa kiu na kwa njaa, Waliniona mnyonge, waliniokoa. Yesu ni mchunga, mwenziwe hapana, Aliosha taka zangu, dhambi nyingi sana; Kwa vidonda vyangu alitia dawa. Ndiye aliyenipata, na kwake nalindwa. Nilikuwa kondoo aliyepotea Sasa nampenda Baba, na mchunga pia; Kwanza nilitanga na kukosa sana, Hivi nyumbani mwa Baba sipotei tena.Su quel colle fatal Ó Bože, já chci modlitbou Hľadajte najprv kráľovstvo Božie రోజంతా నీ పాద చెంత Свой путь к небесам направляю شات۔خورامىي كەيپىياتتا A legdrágább kincs سۅزۉڭ چىراق بولۇپ بۇتۇما АЛЕЛУЯ, САТАНА ЗАГУБИ Не дай нам Бог
Song not available - connect to internet to try again?