Nilikuwa kondoo aliyepotea, Sikupenda zizi kamwe, ila kutembea Nilikuwa mwana asiyesikia, Sikupenda baba yangu wala kutulia. Na mchunga mwema alinitafuta, Baba kwa mapenzi ndiye aliyenivuta; Karibu ya kufa, kwa kiu na kwa njaa, Waliniona mnyonge, waliniokoa. Yesu ni mchunga, mwenziwe hapana, Aliosha taka zangu, dhambi nyingi sana; Kwa vidonda vyangu alitia dawa. Ndiye aliyenipata, na kwake nalindwa. Nilikuwa kondoo aliyepotea Sasa nampenda Baba, na mchunga pia; Kwanza nilitanga na kukosa sana, Hivi nyumbani mwa Baba sipotei tena.Turn Your Eyes Upon Jesus Rab'bin Lütfu Мне нужен Ты mn ktr kẖwfy mạ ạ̉mjd ạlḥbyb Аврам'ън Шиири Momento per momento Yo camino en la luz de Dios Gəldim hüzuruna göz yaşlarıyla Teşekkürler olsun
Song not available - connect to internet to try again?