Nilikuwa kondoo aliyepotea, Sikupenda zizi kamwe, ila kutembea Nilikuwa mwana asiyesikia, Sikupenda baba yangu wala kutulia. Na mchunga mwema alinitafuta, Baba kwa mapenzi ndiye aliyenivuta; Karibu ya kufa, kwa kiu na kwa njaa, Waliniona mnyonge, waliniokoa. Yesu ni mchunga, mwenziwe hapana, Aliosha taka zangu, dhambi nyingi sana; Kwa vidonda vyangu alitia dawa. Ndiye aliyenipata, na kwake nalindwa. Nilikuwa kondoo aliyepotea Sasa nampenda Baba, na mchunga pia; Kwanza nilitanga na kukosa sana, Hivi nyumbani mwa Baba sipotei tena.هأفضل أرنم وأرفع صوتي Yours Forever Сияй во мне Доглан Чага Słuchaj, kwitnąca młodzieży ạ̉yạ mw̉mnwn hyạ bạlthlyl بار تىلەك ارمانىم جۇرەكتە He Brought Me to His Banqueting Table Muryar Makiyayi Ce Ca stropii de rouă
Song not available - connect to internet to try again?