Nitwae hivi nilivyo, Umemwaga damu yako, Nawe ulivyoniita, Bwana Yesu,naja,naja. Hivi nilivyo;si langu Kujiosha roho yangu; Nisamehe dhambi zangu, Bwana Yesu,naja,naja. Hivi nilivyo; sioni Kamwe furaha moyoni; Daima ni mashakani, Bwana Yesu,naja,naja. Hivi nilivyo kipofu, maskini na mpungufu; Wewe u mtimilifu; Bwana Yesu,naja,naja. Nawe hivi utanitwaa; Nisithubutu kukawa, Na wewe hutanikataa, Bwana Yesu,naja,naja. Hivi nilivyo;mapenzi Yamenipa njia wazi; Hali na mali sisazi, Bwana Yesu,naja,naja.تعليق 4 Nefesi Olan yạ nạs ạ̉nạ qlby Гараа өргөн Эзэнийг магтъя Алтарь I know who I am Жить нужно так как будто бы вчера దేవా నీ దివ్య వాక్యము Kumsawt In Chawl Ka Открой сердца детей Своих
Song not available - connect to internet to try again?