Kristo aliponifia
Kwangu pato ni hasara
Kiburi nakichukia.
Ila kwa mauti yako;
Upuzi sitaki tena,
Ni chini ya damu yako.
Zamwagwa pendo na hamu,
Ndako pweke hamu hiyo,
Pendo zako zimetimia.
Si sadaka ya kutosha;
Pendo zako zinawia
Nafsi, mali, na maisha.