Njoni!Njoni!Wenye dhambi, Njoni, msikawie; Yesu anawangojea ndiye awapendaye; Ajuaye awezaye kuwaponya ni Yeye. Ajuaye awezaye kuwaponya ni Yeye. Ewe muhitaji uje; Anakukaribisha, Imani, kweli, na toba, Neema ya kutosha, Jua sana, kwake Bwana Bure utapata. Njoni, mliolemewa Na dhambi ya Adamu; Mkingoja kujiponya Mtapotea mumu; Si wa haki, ni wakosa Waoshwao kwa damu. Ikamtokea dhiki, Mle Gethisemani; Kisha alipoangikwa Akalia mtini; ' Imekwisha', alitosha Dhabihu ya thamani. Kristo aliye Mbinguni Hutuombea huko; Basi mtumai yeye; Kamwe mwingine hako Yesu pweke, Yesu pweke, Ndiye Mwokozi wako. Wamsifu-sifu sana Mbinguni malaika; Wachanganya nyimbo zao Na waliookoka: Aleluya wataimba Waliooshwa taka.بئز سەنى القىشتايبىز Ó, Lásko, k svému obrazu Preaiubitul meu e Unul ساڭا ئىبادەت قىلىمەن Ey Tanrım Sensin เชิญเถิดพี่น้องชาวไทย Kriste, obranca zboru krížového, zachráň, zastaň sa mocne ľudu svojho ạ̉nt ḥmlti mn yḥml ạlkl Czyż ja muszę bez owocu أتحبنى
Song not available - connect to internet to try again?