Peleleza ndani yangu, Iwe safi nia, Kwangu kama kwako Mungu, Idhihiri pia. Peleleza moyo wangu Uunifunulie, Yaliyomo ndani yangu Nami niyajue. Kwanza washe zako tambi, Kumefunga giza; Nijue ambavyo dhambi Ni la kuchukiza. Peleleza na mawazo Ni mbegu za mambo, Asili ya machukizo, Maumbuo - umbo. Zidi kuyapeleleza Katikati yangu Hata wishe nifundisha Udhaifu wangu. Hapo nikikwinamia Mbele zako, Mungu, Hakika nitakujua U mpenzi wangu.В Христе одном jiǔ bié zhòng féng de péng yǒu 몽골노래 Eravamo noi Предвечный Бог Творец Создатель ḍmạny fyk yạ ḍạmny Бабамъз Сенсин Qué bueno es alabarte Panie, pragnę Ci dziękować Mahery Ianao
Song not available - connect to internet to try again?