Peleleza ndani yangu, Iwe safi nia, Kwangu kama kwako Mungu, Idhihiri pia. Peleleza moyo wangu Uunifunulie, Yaliyomo ndani yangu Nami niyajue. Kwanza washe zako tambi, Kumefunga giza; Nijue ambavyo dhambi Ni la kuchukiza. Peleleza na mawazo Ni mbegu za mambo, Asili ya machukizo, Maumbuo - umbo. Zidi kuyapeleleza Katikati yangu Hata wishe nifundisha Udhaifu wangu. Hapo nikikwinamia Mbele zako, Mungu, Hakika nitakujua U mpenzi wangu.Yәhya 3:16 Менің жан-дүнием Un giorno a Gerusalemme بناقص أعيش Даңктагым келет, Теңир, Өзүңдү Príkladom Pána Ježiša ЕТО МЕ Кто так любит как Отец Небесный พระคริสต์เป็นเจ้าชีวิต آڤَكَه نوو
Song not available - connect to internet to try again?