Peleleza ndani yangu, Iwe safi nia, Kwangu kama kwako Mungu, Idhihiri pia. Peleleza moyo wangu Uunifunulie, Yaliyomo ndani yangu Nami niyajue. Kwanza washe zako tambi, Kumefunga giza; Nijue ambavyo dhambi Ni la kuchukiza. Peleleza na mawazo Ni mbegu za mambo, Asili ya machukizo, Maumbuo - umbo. Zidi kuyapeleleza Katikati yangu Hata wishe nifundisha Udhaifu wangu. Hapo nikikwinamia Mbele zako, Mungu, Hakika nitakujua U mpenzi wangu.ความสุขความสุขในใจ مستنيك nʿmtk tkfyny Хаётим бўйи излайман Сени Wieść radosna, nie słychana Оживи меня Господь по слову Твоему أنا عارف إنك إنت دايمًا بتحبني Ничин Севийорум Гювенеджеим, Гювенеджеим SOUND THE BATTLE CRY
Song not available - connect to internet to try again?