Peleleza ndani yangu, Iwe safi nia, Kwangu kama kwako Mungu, Idhihiri pia. Peleleza moyo wangu Uunifunulie, Yaliyomo ndani yangu Nami niyajue. Kwanza washe zako tambi, Kumefunga giza; Nijue ambavyo dhambi Ni la kuchukiza. Peleleza na mawazo Ni mbegu za mambo, Asili ya machukizo, Maumbuo - umbo. Zidi kuyapeleleza Katikati yangu Hata wishe nifundisha Udhaifu wangu. Hapo nikikwinamia Mbele zako, Mungu, Hakika nitakujua U mpenzi wangu.ఇళ్లలోన పండుగంట కళ్ళలోన mrfwʿyn dạymạaⁿ في وسط عتمة ليلي Sonsuzca Minnettarım Cuore rovente ให้เราบูชา Keby som nemal, drahý Pane, teba La revedere ne vom vedea Czy On wie . أنا متبارك باخواتي
Song not available - connect to internet to try again?