Peleleza ndani yangu, Iwe safi nia, Kwangu kama kwako Mungu, Idhihiri pia. Peleleza moyo wangu Uunifunulie, Yaliyomo ndani yangu Nami niyajue. Kwanza washe zako tambi, Kumefunga giza; Nijue ambavyo dhambi Ni la kuchukiza. Peleleza na mawazo Ni mbegu za mambo, Asili ya machukizo, Maumbuo - umbo. Zidi kuyapeleleza Katikati yangu Hata wishe nifundisha Udhaifu wangu. Hapo nikikwinamia Mbele zako, Mungu, Hakika nitakujua U mpenzi wangu.Течет река هللو هللويا Xudo mening Shoximsan لينا مكان Ты на земле поставил Свой тяжелый крест Агнец, который достоин Dostarymyz saý bolyńdar ạ̉skn tḥt ẓl jnạḥyk ksrt qywdy Cóż to w cichych chwilach nocy
Song not available - connect to internet to try again?