Peleleza ndani yangu, Iwe safi nia, Kwangu kama kwako Mungu, Idhihiri pia. Peleleza moyo wangu Uunifunulie, Yaliyomo ndani yangu Nami niyajue. Kwanza washe zako tambi, Kumefunga giza; Nijue ambavyo dhambi Ni la kuchukiza. Peleleza na mawazo Ni mbegu za mambo, Asili ya machukizo, Maumbuo - umbo. Zidi kuyapeleleza Katikati yangu Hata wishe nifundisha Udhaifu wangu. Hapo nikikwinamia Mbele zako, Mungu, Hakika nitakujua U mpenzi wangu.Пока дышу Jak pięknie nam jutrzenka lśni Ту Худованди ман ئەيسا ئاقىلىق جەننەتكە كىرگىلى بولىدۇ Mary Mary Хочу увидеть Muna da Murna Yau Посмотри вокруг сколько красоты Várj és ne félj من أنا لأصير من شعبك
Song not available - connect to internet to try again?