Roho yangu hima, na taa yako Kaiwashe vyema, hapa si pako; Nguvu zote pia za duniani Hazitakudhuru ukiamini. Yesu yuko mbele, Yesu yu nyuma, Yesu vivyo kando, walindwa vyema. Adui shetani, na nguvu zake, Bwana ameshinda, kwa kifo chake; Wewe nguvu huna, huna kabisa, Ndiwe mpungufu, mnyonge hasa. Toka na mapema, mbele ya wote, Omba, bisha sana, maisha yote; Vita vikaliko, macho ukae, Jivike silaha, nawe sishindwe. Bwana Yesu ndiye kwako mchunga, Neno lake Bwana ndilo upanga; Mbingu zitakwisha, na nchi pia, Neno lake Bwana laendelea.Ғолият җәңгә чиқса ḥbdẖạ rạʿ ʿẓym Ty si jediný Boh I love thy kingdom, Lord ىيسا باارىنان بىيىك Билийорум Иса Диридир ạ̉nạ ʿṣfwr ṣdạḥ ạ̉nt ạ̹lhy НЯМА ДА ПОЗВОЛЯ НА КАМЪК حريتي
Song not available - connect to internet to try again?