Siku ya Mbinguni kujawa na sifa, Dhambi zilizidi duniani; Yesu akaja azaliwe mtu, Awe na watu ulimwenguni. Alinipenda, alinifia, Ameondoa na dhambi zangu; Alifufuka nipewe haki, Yuaja tena Mwokozi wangu. Na siku moja walikwenda naye, Wakamkaza msalabani; Aliumia, aliaibishwa, Ili atuokoe dhambini. Siku hiyo wakamlaza chini Kaburini alipumzika; Matumaini yetu wenye dhambi, Ni mwokozi, kwake twaokoka. Kaburi likashindwa kumshika; Jiwe likatoka mlangoni, Alifufuka kwa kushinda kwake, Naye yuko milele Mbinguni. Siku moja atatujia tena; Utukufu wake tutaona; Atawaleta na wapenzi wetu; Mwokozi: wangu, tutaonana.Si tú ves un triste y pobre pecador Med Jesus i familien ạ̹ḥfẓny fy rḍạk لما المحبة قۇدىرەتتى قۇدايىمسىڭ! Ne sebepten joldan taıdyń baýyrym tsbyḥ yʿlạlk wyzyd Dans sa divine humanité Ciebie pragnie dusza moja PM تاغظیم اِدیجی یورِک
Song not available - connect to internet to try again?