Siku ya Mbinguni kujawa na sifa, Dhambi zilizidi duniani; Yesu akaja azaliwe mtu, Awe na watu ulimwenguni. Alinipenda, alinifia, Ameondoa na dhambi zangu; Alifufuka nipewe haki, Yuaja tena Mwokozi wangu. Na siku moja walikwenda naye, Wakamkaza msalabani; Aliumia, aliaibishwa, Ili atuokoe dhambini. Siku hiyo wakamlaza chini Kaburini alipumzika; Matumaini yetu wenye dhambi, Ni mwokozi, kwake twaokoka. Kaburi likashindwa kumshika; Jiwe likatoka mlangoni, Alifufuka kwa kushinda kwake, Naye yuko milele Mbinguni. Siku moja atatujia tena; Utukufu wake tutaona; Atawaleta na wapenzi wetu; Mwokozi: wangu, tutaonana.قولۇمدۇ كۅككۅ جايىپ Biruitorii pe marea de sticlă NI KHAT HNU NI KHAT A THLUM CHIN ადიდე სულო ჩემო უფალი دانگ سَحِری اُیاناندا Энг меҳри дарёлар Масиҳ аҳлида Отче мой Ты всегда так милосерден Построенный Христом Övgü Tanrı'ya ạ̉nạ bạrfʿ qlby ạ̹lyk
Song not available - connect to internet to try again?