Siku ya Mbinguni kujawa na sifa, Dhambi zilizidi duniani; Yesu akaja azaliwe mtu, Awe na watu ulimwenguni. Alinipenda, alinifia, Ameondoa na dhambi zangu; Alifufuka nipewe haki, Yuaja tena Mwokozi wangu. Na siku moja walikwenda naye, Wakamkaza msalabani; Aliumia, aliaibishwa, Ili atuokoe dhambini. Siku hiyo wakamlaza chini Kaburini alipumzika; Matumaini yetu wenye dhambi, Ni mwokozi, kwake twaokoka. Kaburi likashindwa kumshika; Jiwe likatoka mlangoni, Alifufuka kwa kushinda kwake, Naye yuko milele Mbinguni. Siku moja atatujia tena; Utukufu wake tutaona; Atawaleta na wapenzi wetu; Mwokozi: wangu, tutaonana.ئەي خۇدا بەردىڭ ھايات hw ạlrb nǐ shì fǒu jiù shì nà zhǐ mí shī de yáng Ele Vivo Está Ja kocham Cię حولت نوحي إلى رقص لي Bądź wola Twoja Улугбек - Узбек Миллий Праисе Сонгс 12 wsṭ hm fy̱ ạlḥyạẗ Да везде с Иисусом
Song not available - connect to internet to try again?