Siku ya Mbinguni kujawa na sifa, Dhambi zilizidi duniani; Yesu akaja azaliwe mtu, Awe na watu ulimwenguni. Alinipenda, alinifia, Ameondoa na dhambi zangu; Alifufuka nipewe haki, Yuaja tena Mwokozi wangu. Na siku moja walikwenda naye, Wakamkaza msalabani; Aliumia, aliaibishwa, Ili atuokoe dhambini. Siku hiyo wakamlaza chini Kaburini alipumzika; Matumaini yetu wenye dhambi, Ni mwokozi, kwake twaokoka. Kaburi likashindwa kumshika; Jiwe likatoka mlangoni, Alifufuka kwa kushinda kwake, Naye yuko milele Mbinguni. Siku moja atatujia tena; Utukufu wake tutaona; Atawaleta na wapenzi wetu; Mwokozi: wangu, tutaonana.Svítání rozkošné Ты со мной ạlrb rạʿynạ ạlạ̉myn ạlktạb ạlmqds ạltẖmyn - bṣwt ạlrạḥl njyb ạ̹brạhym 哦耶稣因你奇妙的圣名 Io mando te Cuanto Soy Y Cuanto Encierro Predo mnou je kríž Ako ulovené vtáča قۇداي بالالاردى سۇيەدى
Song not available - connect to internet to try again?