Taji mvikeni, Taji nyingi tena, Kondoo mwake kitini, Bwana wa mabwana; Name tamsifu Alikufa kwangu, Ni mfalme mtukufu, Mkuu wa Mbingu. Taji mvikeni Mwana wa bikira; Anazovaa kichwani Aliteka nyara; Shiloh wa wanabii, Mchunga wa watu, Shina na tanzu vya Yese, Wa Bethirehemu. Taji mvikeni Bwana wa mapenzi; Jeraha zake ni shani Ni vito vya enzi, Mbinguni hakuna Hata malaika Awezaye kuziona Pasipo kushangaa.La cruce unde a murit Hristos Osláv sa جان۔جاعىما قارادىڭ Błogo, o, błogo pokojem Twym żyć Jesus Es Mi Rey Soberano Беклийорсан Бир Умут nbạrkk yạ mlyk ạlmjd Милостью Боже Твоей я живу Emmanuele إكليل شوك
Song not available - connect to internet to try again?