Taji mvikeni, Taji nyingi tena, Kondoo mwake kitini, Bwana wa mabwana; Name tamsifu Alikufa kwangu, Ni mfalme mtukufu, Mkuu wa Mbingu. Taji mvikeni Mwana wa bikira; Anazovaa kichwani Aliteka nyara; Shiloh wa wanabii, Mchunga wa watu, Shina na tanzu vya Yese, Wa Bethirehemu. Taji mvikeni Bwana wa mapenzi; Jeraha zake ni shani Ni vito vya enzi, Mbinguni hakuna Hata malaika Awezaye kuziona Pasipo kushangaa.Җан тынычлыгы таптым Túžime ísť lạ ymkn ạ̉bdaⁿạ ạ̉stạhl Бог дойде и ме намери ممكن نختلف Мөнхийн мөнх يا يسوع يا غالي بص علي wǒ men shì shén suǒ chà lái de Все сильней في إيديك
Song not available - connect to internet to try again?