Taji mvikeni, Taji nyingi tena, Kondoo mwake kitini, Bwana wa mabwana; Name tamsifu Alikufa kwangu, Ni mfalme mtukufu, Mkuu wa Mbingu. Taji mvikeni Mwana wa bikira; Anazovaa kichwani Aliteka nyara; Shiloh wa wanabii, Mchunga wa watu, Shina na tanzu vya Yese, Wa Bethirehemu. Taji mvikeni Bwana wa mapenzi; Jeraha zake ni shani Ni vito vya enzi, Mbinguni hakuna Hata malaika Awezaye kuziona Pasipo kushangaa.بِییک خودای Хвала хвала хвала Христу Ninna nanna في مذود البقر 人向你关一扇门 Завинаги เชิญพระองค์ประทับที่นี่ Welcome in this Place Great Is the Lord ٴسۇيۋدىڭ وتىمەن جارقىرايىن ยังสุดปลายแห่งแผ่นดิน
Song not available - connect to internet to try again?