Taji mvikeni, Taji nyingi tena, Kondoo mwake kitini, Bwana wa mabwana; Name tamsifu Alikufa kwangu, Ni mfalme mtukufu, Mkuu wa Mbingu. Taji mvikeni Mwana wa bikira; Anazovaa kichwani Aliteka nyara; Shiloh wa wanabii, Mchunga wa watu, Shina na tanzu vya Yese, Wa Bethirehemu. Taji mvikeni Bwana wa mapenzi; Jeraha zake ni shani Ni vito vya enzi, Mbinguni hakuna Hata malaika Awezaye kuziona Pasipo kushangaa.وزگە ەسىم جوق Vai vagando Jingle Bells Mój Pasterzu i mój Wodzu Alabad a Jehová naciones todas Gran giorno Christ receiveth sinful men Ба пайравии таронаи 2 дар китоби Забур مُقادِّس و بِلِّنِنسینگ Сенің батаң байытады өмірімді
Song not available - connect to internet to try again?