Taji mvikeni, Taji nyingi tena, Kondoo mwake kitini, Bwana wa mabwana; Name tamsifu Alikufa kwangu, Ni mfalme mtukufu, Mkuu wa Mbingu. Taji mvikeni Mwana wa bikira; Anazovaa kichwani Aliteka nyara; Shiloh wa wanabii, Mchunga wa watu, Shina na tanzu vya Yese, Wa Bethirehemu. Taji mvikeni Bwana wa mapenzi; Jeraha zake ni shani Ni vito vya enzi, Mbinguni hakuna Hata malaika Awezaye kuziona Pasipo kushangaa.Pane, dnes chcem Я у тиші схилюсь إني أرى نفسي O Dieu! ta loi est sainte İsa Mesih Geliyor Он шел согбенный под крестом Сонсуз бир севҝи илə Аллаһ бизи чох севди ạ̹nt ạlḥqyqẗ Справді так Раббим жоним тайёр қилгин
Song not available - connect to internet to try again?