Taji mvikeni, Taji nyingi tena, Kondoo mwake kitini, Bwana wa mabwana; Name tamsifu Alikufa kwangu, Ni mfalme mtukufu, Mkuu wa Mbingu. Taji mvikeni Mwana wa bikira; Anazovaa kichwani Aliteka nyara; Shiloh wa wanabii, Mchunga wa watu, Shina na tanzu vya Yese, Wa Bethirehemu. Taji mvikeni Bwana wa mapenzi; Jeraha zake ni shani Ni vito vya enzi, Mbinguni hakuna Hata malaika Awezaye kuziona Pasipo kushangaa.不上路不知路上艰难 tạ̉ml 5 C'est trop chanter la paix Есть та надежда что не подведет La sua mano Mantuitorul pe nori va veni Սուրբ Հոգի, Սիրելի, Welch ein Treue Gott bist du Iso Masih Xudoning Oʻgʻli qurboni عجيبة هي أعمالك
Song not available - connect to internet to try again?