Taji mvikeni, Taji nyingi tena, Kondoo mwake kitini, Bwana wa mabwana; Name tamsifu Alikufa kwangu, Ni mfalme mtukufu, Mkuu wa Mbingu. Taji mvikeni Mwana wa bikira; Anazovaa kichwani Aliteka nyara; Shiloh wa wanabii, Mchunga wa watu, Shina na tanzu vya Yese, Wa Bethirehemu. Taji mvikeni Bwana wa mapenzi; Jeraha zake ni shani Ni vito vya enzi, Mbinguni hakuna Hata malaika Awezaye kuziona Pasipo kushangaa.wlạ lạ lạ lạ Сердце чистое не плачет Худо Юсуфро нигоҳ дошт Քո Գալուն Раб'де Хер Заман Севинелим Живущий под покровом Всевышнего kyf sqṭt Sur toi pierre angulaire Виноградник hlm ạrfʿwạ ạlạ̉ʿlạm wạnsẖṭwạ
Song not available - connect to internet to try again?