Taji mvikeni, Taji nyingi tena, Kondoo mwake kitini, Bwana wa mabwana; Name tamsifu Alikufa kwangu, Ni mfalme mtukufu, Mkuu wa Mbingu. Taji mvikeni Mwana wa bikira; Anazovaa kichwani Aliteka nyara; Shiloh wa wanabii, Mchunga wa watu, Shina na tanzu vya Yese, Wa Bethirehemu. Taji mvikeni Bwana wa mapenzi; Jeraha zake ni shani Ni vito vya enzi, Mbinguni hakuna Hata malaika Awezaye kuziona Pasipo kushangaa.Тәңір Ием, Сен менің - Бағушым! On Panem jest Тихо увядали краски дня ولد المسيح ạḥfẓ blạdnạ yạ rb Еммануил Дружба верная радость полная Chisʋs, hatak yoshoba i̱ kan أنا الرجاء Северим Сени, Раб Исам, Меджденелли Мерйем Гиби
Song not available - connect to internet to try again?