Taji mvikeni, Taji nyingi tena, Kondoo mwake kitini, Bwana wa mabwana; Name tamsifu Alikufa kwangu, Ni mfalme mtukufu, Mkuu wa Mbingu. Taji mvikeni Mwana wa bikira; Anazovaa kichwani Aliteka nyara; Shiloh wa wanabii, Mchunga wa watu, Shina na tanzu vya Yese, Wa Bethirehemu. Taji mvikeni Bwana wa mapenzi; Jeraha zake ni shani Ni vito vya enzi, Mbinguni hakuna Hata malaika Awezaye kuziona Pasipo kushangaa.Ty o mne vieš С подзякою я очи пидымаю Страдал Bu şad gündə biz nə arzularıq Je l'ai trouvé llmnthy̱ ạ̉ḥbbtny Тебя я восхваляю Тянет мир нас как трясина Жер бетінде Jesus crucificado
Song not available - connect to internet to try again?