Taji mvikeni, Taji nyingi tena, Kondoo mwake kitini, Bwana wa mabwana; Name tamsifu Alikufa kwangu, Ni mfalme mtukufu, Mkuu wa Mbingu. Taji mvikeni Mwana wa bikira; Anazovaa kichwani Aliteka nyara; Shiloh wa wanabii, Mchunga wa watu, Shina na tanzu vya Yese, Wa Bethirehemu. Taji mvikeni Bwana wa mapenzi; Jeraha zake ni shani Ni vito vya enzi, Mbinguni hakuna Hata malaika Awezaye kuziona Pasipo kushangaa.سەن - مېنىڭ خۇدايىم Şi frunzele s-au veştejit Pane náš, prijmi dar Любит Бог нас Иса да Бир Чоджукту Из за Крови Христа Uctievame Ťa, Kráľ Господи Великий, я не заслужил gẖạlbyn Ta da Kanku, Ƙyamare, Halleluya
Song not available - connect to internet to try again?