Taji mvikeni, Taji nyingi tena, Kondoo mwake kitini, Bwana wa mabwana; Name tamsifu Alikufa kwangu, Ni mfalme mtukufu, Mkuu wa Mbingu. Taji mvikeni Mwana wa bikira; Anazovaa kichwani Aliteka nyara; Shiloh wa wanabii, Mchunga wa watu, Shina na tanzu vya Yese, Wa Bethirehemu. Taji mvikeni Bwana wa mapenzi; Jeraha zake ni shani Ni vito vya enzi, Mbinguni hakuna Hata malaika Awezaye kuziona Pasipo kushangaa.يا صاحب الحنان Где буду вечность я проводить Oh Chiesa mia Rabbin sözü Nuh'a geldi 使命啊我不能放下 天天唱哈利路亚 Modlitby W sercach naszych wznieśmy Panu cześć Každý duch nech velebí Auge im Sturm
Song not available - connect to internet to try again?