Mbona washangaa njiani? Mbona warejea nyuma? Warudi tena gizani Alimokutoa Bwana? Ni ya bure yote haya, Uliyofunzwa ya Mungu? Ni bure amekufia Bwana Yesu kwa uchungu? Wamtia kristo aibu Na maneno yake pia? Siku yaja ya hesabu, Utamjibuje Bwana? Upandapo tena hayo, Halafu utayavuna. Rudi kwa Bwana upesi, Mwombe akupokee tena.Sığınağım sensin اتعرف بيسوع الغالي You will go out with joy Żyje Pan Kanınla Aklandım Ben Toi et moi نعظم دم يسوع Jesus dijo asi Ya Rab, İnayetin İçin yạ sạkn ạlsmạʾ
Song not available - connect to internet to try again?