Waitwa, mwovu, na Bwana Umwendee hima sana, Usafiwe dhambi zako, Humwoni ni mwema kwako? Unaitwa! Itika tu! Umwendee Bwana Yesu! Sifiche makosa yako, Uungame dhambi zako! Kristo tu umuamini, Ndiye njia ya Mbinguni. Alilipa damu yake Ili kukukweza kwake; Alikufa yeye Bwana, Mimi nawe tuwe wema. Ukifanywa kuwa mwema Mwishoni utasimama, Utaingia rahani Na wapenzi wa zamani. Ni mwanga tu, nchi ile; Uovu hauko kule, Kwamba wataka ufike Sharti huku uosheke.yswʿ bḥbh wḥnạnh myn zyk Исо - номи аз ҳама баланд Ангелы на небесах радуются с нами Дайте мені крила в небо я полину Болалигимиздан шараф айтамиз Мой Бог и я мы странствуем здесь Ирээч, Их Эзэнийг магтах цаг одоо Je viens, Seigneur, à ce baptême Միշտ աղոթիր
Song not available - connect to internet to try again?