Waitwa, mwovu, na Bwana Umwendee hima sana, Usafiwe dhambi zako, Humwoni ni mwema kwako? Unaitwa! Itika tu! Umwendee Bwana Yesu! Sifiche makosa yako, Uungame dhambi zako! Kristo tu umuamini, Ndiye njia ya Mbinguni. Alilipa damu yake Ili kukukweza kwake; Alikufa yeye Bwana, Mimi nawe tuwe wema. Ukifanywa kuwa mwema Mwishoni utasimama, Utaingia rahani Na wapenzi wa zamani. Ni mwanga tu, nchi ile; Uovu hauko kule, Kwamba wataka ufike Sharti huku uosheke.У креста положу своё сердце как розу ЩЕ ПРАЗНУВАМЕ СУРУДИ ЯЪҚУБ Різдвяна Как олени к воде весною أنا إللى عارف أعمالك مستني مجيئك Хайранъм Così la verità Tu tot stai pe mal de prăpăstii
Song not available - connect to internet to try again?