Waponyeni watu wamo kifoni, Watoeni walio shimoni; Na aangukaye mumzuie; Ya Bwana Yesu wahubirini. Walio kifoni waokoeni, Mwokozi yuko, wahubirini. Wajapokawia anangojea, Awasubiri waje tobani; Msiwadharau, muwaonyeni; Huwasamehe; wakiamini. Myoyoni mwa ndani, yule shetani Ameyaseta mawazo yao; Lakini kwa Bwana huwa mazima, Tukiwavuta kwa pole hao. Kawaokoeni, wale njiani, Mutimize mapenzi ya Bwana; Na kwa nguvu zake warudi kwake, Kwa subira waonyeni sana.Мои надежды на Христа يا ربنا اجتماعنا yswʿ hw ạ̉bwyạ Сабър, Сабър, Раб Иса'дан Лютуф Гетирир ṭbʿk mnạn Rab Güçlü Bir Kraldır Тапънъръм Инсон қилиб Here I Am
Song not available - connect to internet to try again?