Waponyeni watu wamo kifoni, Watoeni walio shimoni; Na aangukaye mumzuie; Ya Bwana Yesu wahubirini. Walio kifoni waokoeni, Mwokozi yuko, wahubirini. Wajapokawia anangojea, Awasubiri waje tobani; Msiwadharau, muwaonyeni; Huwasamehe; wakiamini. Myoyoni mwa ndani, yule shetani Ameyaseta mawazo yao; Lakini kwa Bwana huwa mazima, Tukiwavuta kwa pole hao. Kawaokoeni, wale njiani, Mutimize mapenzi ya Bwana; Na kwa nguvu zake warudi kwake, Kwa subira waonyeni sana.Pán Boh je prítomný U Goedheid Heer Bapa Sorgawi Volám na Teba A lui che siede sul tron Однажды с Тобой Магтаалын тахилыг өргөн พระเจ้ายิ่งใหญ่ Ümid bəxş etdin Vstupujem do chrámu tvojho
Song not available - connect to internet to try again?