Waponyeni watu wamo kifoni, Watoeni walio shimoni; Na aangukaye mumzuie; Ya Bwana Yesu wahubirini. Walio kifoni waokoeni, Mwokozi yuko, wahubirini. Wajapokawia anangojea, Awasubiri waje tobani; Msiwadharau, muwaonyeni; Huwasamehe; wakiamini. Myoyoni mwa ndani, yule shetani Ameyaseta mawazo yao; Lakini kwa Bwana huwa mazima, Tukiwavuta kwa pole hao. Kawaokoeni, wale njiani, Mutimize mapenzi ya Bwana; Na kwa nguvu zake warudi kwake, Kwa subira waonyeni sana.يالغۇز ئەمەسمەن! lḥẓẗ ạlạlạm ạlsẖdydẗ kạn mrẗ fy wạḥd nạzl O Yehovah'dır, Şifa Verendir Великий Бог Когда на мир смотрю я bring all your needs to the alter Najotkor Noming Aq peıildi Iem meniń On jest rozwiązaniem 목마른사슴이
Song not available - connect to internet to try again?