Waponyeni watu wamo kifoni, Watoeni walio shimoni; Na aangukaye mumzuie; Ya Bwana Yesu wahubirini. Walio kifoni waokoeni, Mwokozi yuko, wahubirini. Wajapokawia anangojea, Awasubiri waje tobani; Msiwadharau, muwaonyeni; Huwasamehe; wakiamini. Myoyoni mwa ndani, yule shetani Ameyaseta mawazo yao; Lakini kwa Bwana huwa mazima, Tukiwavuta kwa pole hao. Kawaokoeni, wale njiani, Mutimize mapenzi ya Bwana; Na kwa nguvu zake warudi kwake, Kwa subira waonyeni sana.ạ̉nạ knt fạkr ḍạʿ jl ạlʿmr jǐ dù fēng yǔ Ce mult Te doresc o Isuse Da chiar în curând قۇداي ٴبىزدىڭ پانامىز بەن كۇشىمىز yé hé huá a nǐ yǐ jīng jiàn chá wǒ Sabda Kudus Menggetar Коли душу гріх гнітить sạlwdẖ bḥḍnk
Song not available - connect to internet to try again?