Waponyeni watu wamo kifoni, Watoeni walio shimoni; Na aangukaye mumzuie; Ya Bwana Yesu wahubirini. Walio kifoni waokoeni, Mwokozi yuko, wahubirini. Wajapokawia anangojea, Awasubiri waje tobani; Msiwadharau, muwaonyeni; Huwasamehe; wakiamini. Myoyoni mwa ndani, yule shetani Ameyaseta mawazo yao; Lakini kwa Bwana huwa mazima, Tukiwavuta kwa pole hao. Kawaokoeni, wale njiani, Mutimize mapenzi ya Bwana; Na kwa nguvu zake warudi kwake, Kwa subira waonyeni sana.yǒng yuǎn gēn zhe yì xiàng Канатоходец Finaritra, ry Tompo o! Пребудь со мной уж свет сменился мглой Мы будем славить Имя Твоё FIRMLY STAND! Честно предано послушно будем Господу служить My Soul, Now Praise Thy Maker tạ̉ml 1 จอมราชายิ่งใหญ่ King of Majesty
Song not available - connect to internet to try again?