Waponyeni watu wamo kifoni, Watoeni walio shimoni; Na aangukaye mumzuie; Ya Bwana Yesu wahubirini. Walio kifoni waokoeni, Mwokozi yuko, wahubirini. Wajapokawia anangojea, Awasubiri waje tobani; Msiwadharau, muwaonyeni; Huwasamehe; wakiamini. Myoyoni mwa ndani, yule shetani Ameyaseta mawazo yao; Lakini kwa Bwana huwa mazima, Tukiwavuta kwa pole hao. Kawaokoeni, wale njiani, Mutimize mapenzi ya Bwana; Na kwa nguvu zake warudi kwake, Kwa subira waonyeni sana.Бак, Мезарда Ятар Иса Месихим Syn Boží sa nám narodil Here again ياما هربت نفسي منك Да бъдем едно Jaratqan Iem-Baǵýshym ạ̉nạ bḥbk yạ rb La croix reste debout من الكسرة للنصرة Uzattım ellerimi
Song not available - connect to internet to try again?