Waponyeni watu wamo kifoni, Watoeni walio shimoni; Na aangukaye mumzuie; Ya Bwana Yesu wahubirini. Walio kifoni waokoeni, Mwokozi yuko, wahubirini. Wajapokawia anangojea, Awasubiri waje tobani; Msiwadharau, muwaonyeni; Huwasamehe; wakiamini. Myoyoni mwa ndani, yule shetani Ameyaseta mawazo yao; Lakini kwa Bwana huwa mazima, Tukiwavuta kwa pole hao. Kawaokoeni, wale njiani, Mutimize mapenzi ya Bwana; Na kwa nguvu zake warudi kwake, Kwa subira waonyeni sana.ạlsẖhdạ ḥbwk Christ My King On High All my sorrows You have turned to a dance Z hlbín k Tebe, Bože, volám Я жду Тебя когда восходит солнце Quel giorno (Tiziana Scala) Адасқан адамға النهارده أنا جاي zhǔ ài wǒ О где же жнецы чтоб теперь собрать
Song not available - connect to internet to try again?