Waponyeni watu wamo kifoni, Watoeni walio shimoni; Na aangukaye mumzuie; Ya Bwana Yesu wahubirini. Walio kifoni waokoeni, Mwokozi yuko, wahubirini. Wajapokawia anangojea, Awasubiri waje tobani; Msiwadharau, muwaonyeni; Huwasamehe; wakiamini. Myoyoni mwa ndani, yule shetani Ameyaseta mawazo yao; Lakini kwa Bwana huwa mazima, Tukiwavuta kwa pole hao. Kawaokoeni, wale njiani, Mutimize mapenzi ya Bwana; Na kwa nguvu zake warudi kwake, Kwa subira waonyeni sana.tʿlyq 10 - ạ̉ṭfạl byḥbwạ mṣr Imparerò da Te Еллерими Сана Аджъйорум yạ ṣạḥb ạlḥnạn - sạtr بانتظرك وباصبر ليك ئەزەلدىن Иисус Христос Lode gloriosa yạ ṣạḥb ạlḥnạn Suna harfa laudei mele
Song not available - connect to internet to try again?