Waponyeni watu wamo kifoni, Watoeni walio shimoni; Na aangukaye mumzuie; Ya Bwana Yesu wahubirini. Walio kifoni waokoeni, Mwokozi yuko, wahubirini. Wajapokawia anangojea, Awasubiri waje tobani; Msiwadharau, muwaonyeni; Huwasamehe; wakiamini. Myoyoni mwa ndani, yule shetani Ameyaseta mawazo yao; Lakini kwa Bwana huwa mazima, Tukiwavuta kwa pole hao. Kawaokoeni, wale njiani, Mutimize mapenzi ya Bwana; Na kwa nguvu zake warudi kwake, Kwa subira waonyeni sana.Мен биламан кукдан қараб O, ce veste imbucuratoare ṭryq rby ạlmlk Mahaterpuji Allahku Ҳевену шалом El Señor está en su trono Հիսուս, Դու ես Սերը Իմ مد إيديك ع البحر يا موسى الەمىمسىڭ Когда сердце плачет
Song not available - connect to internet to try again?