Waponyeni watu wamo kifoni, Watoeni walio shimoni; Na aangukaye mumzuie; Ya Bwana Yesu wahubirini. Walio kifoni waokoeni, Mwokozi yuko, wahubirini. Wajapokawia anangojea, Awasubiri waje tobani; Msiwadharau, muwaonyeni; Huwasamehe; wakiamini. Myoyoni mwa ndani, yule shetani Ameyaseta mawazo yao; Lakini kwa Bwana huwa mazima, Tukiwavuta kwa pole hao. Kawaokoeni, wale njiani, Mutimize mapenzi ya Bwana; Na kwa nguvu zake warudi kwake, Kwa subira waonyeni sana.Ţi s-a arătat ce este binele Iyemiz xám Tenirimiz Буду славить я Тебя всем сердцем и душой قد قلت أنت سيدي Хер заман Раббе ьовгулер Я спою вам песню веры о ขอให้คำจากปากของข้า ప్రభుయేసు నా రక్షకా 圣灵来了 Та бол намайг аварсан
Song not available - connect to internet to try again?