Waponyeni watu wamo kifoni, Watoeni walio shimoni; Na aangukaye mumzuie; Ya Bwana Yesu wahubirini. Walio kifoni waokoeni, Mwokozi yuko, wahubirini. Wajapokawia anangojea, Awasubiri waje tobani; Msiwadharau, muwaonyeni; Huwasamehe; wakiamini. Myoyoni mwa ndani, yule shetani Ameyaseta mawazo yao; Lakini kwa Bwana huwa mazima, Tukiwavuta kwa pole hao. Kawaokoeni, wale njiani, Mutimize mapenzi ya Bwana; Na kwa nguvu zake warudi kwake, Kwa subira waonyeni sana.Dupa soare vine nor Смелый шаг Худовандо, дили мо шод аз Ту Ты дал нам жизнь รักของพระองค์ Керемет жай күтөт асмандагы kẖdẖny bqrb qlbk ṣʿb ʿlyk Doop: Psalm 136 Ne Yiyeceğiz Ne İçeceğiz Diye Tasalanmayın
Song not available - connect to internet to try again?