Waponyeni watu wamo kifoni, Watoeni walio shimoni; Na aangukaye mumzuie; Ya Bwana Yesu wahubirini. Walio kifoni waokoeni, Mwokozi yuko, wahubirini. Wajapokawia anangojea, Awasubiri waje tobani; Msiwadharau, muwaonyeni; Huwasamehe; wakiamini. Myoyoni mwa ndani, yule shetani Ameyaseta mawazo yao; Lakini kwa Bwana huwa mazima, Tukiwavuta kwa pole hao. Kawaokoeni, wale njiani, Mutimize mapenzi ya Bwana; Na kwa nguvu zake warudi kwake, Kwa subira waonyeni sana.موسيقى الرب قد ملك İsa ilə hər bir yerdə danışıram yeni dildə Когда благодать вспоминаю كەلگەيسىڭ، كەلگەيسىڭ He Never Sleeps كىم باارىن جاراتقان: دەڭىزدەر، كۅلدۅردۉ؟ ạ̹nt sẖạyf ḍyq ḥyạty Hvem er skaren Севги Возвожу я очи к небесам
Song not available - connect to internet to try again?