Waponyeni watu wamo kifoni, Watoeni walio shimoni; Na aangukaye mumzuie; Ya Bwana Yesu wahubirini. Walio kifoni waokoeni, Mwokozi yuko, wahubirini. Wajapokawia anangojea, Awasubiri waje tobani; Msiwadharau, muwaonyeni; Huwasamehe; wakiamini. Myoyoni mwa ndani, yule shetani Ameyaseta mawazo yao; Lakini kwa Bwana huwa mazima, Tukiwavuta kwa pole hao. Kawaokoeni, wale njiani, Mutimize mapenzi ya Bwana; Na kwa nguvu zake warudi kwake, Kwa subira waonyeni sana.يا إلهي قد خلقتني كاملًا yạ nhr ạlḥyạẗ ạgẖmrnạ قدوس .. قدوس .. قدوس سەن سۉيۉۉ باقىتسىڭ Köy köy ben gezerdim Svadobná Sang Kristus T'lah Bangkit 赞美的诗歌哟在这里唱响 Иисус предвечный Бог أم وَندا بوون
Song not available - connect to internet to try again?