Waponyeni watu wamo kifoni, Watoeni walio shimoni; Na aangukaye mumzuie; Ya Bwana Yesu wahubirini. Walio kifoni waokoeni, Mwokozi yuko, wahubirini. Wajapokawia anangojea, Awasubiri waje tobani; Msiwadharau, muwaonyeni; Huwasamehe; wakiamini. Myoyoni mwa ndani, yule shetani Ameyaseta mawazo yao; Lakini kwa Bwana huwa mazima, Tukiwavuta kwa pole hao. Kawaokoeni, wale njiani, Mutimize mapenzi ya Bwana; Na kwa nguvu zake warudi kwake, Kwa subira waonyeni sana.أصنع بنا نهضتك ఆకాశ వాసులారా Neskládejte v mocných naději Гайсә белән мин барырга булдым Бар болған En la casa de Dios Жашап өткүн из калгыдай артыңда هو رائع ... هو بارع تمسح دمعة Bári jaqsy bolyp kórindi
Song not available - connect to internet to try again?