Waponyeni watu wamo kifoni, Watoeni walio shimoni; Na aangukaye mumzuie; Ya Bwana Yesu wahubirini. Walio kifoni waokoeni, Mwokozi yuko, wahubirini. Wajapokawia anangojea, Awasubiri waje tobani; Msiwadharau, muwaonyeni; Huwasamehe; wakiamini. Myoyoni mwa ndani, yule shetani Ameyaseta mawazo yao; Lakini kwa Bwana huwa mazima, Tukiwavuta kwa pole hao. Kawaokoeni, wale njiani, Mutimize mapenzi ya Bwana; Na kwa nguvu zake warudi kwake, Kwa subira waonyeni sana.Məni ölümdən aldı Allahın mərhəməti สรรเสริญพระเจ้าที่เราเป็นไท Io ti ringrazio Не мутлу. мемурлар 84 THAWHTHAN NI انا هاقبل التحدي ياللي عديت الشعب لابد يوماً تنتهي Jeszcze niewiele tylko cierpień, łez Spásný den
Song not available - connect to internet to try again?