Waponyeni watu wamo kifoni, Watoeni walio shimoni; Na aangukaye mumzuie; Ya Bwana Yesu wahubirini. Walio kifoni waokoeni, Mwokozi yuko, wahubirini. Wajapokawia anangojea, Awasubiri waje tobani; Msiwadharau, muwaonyeni; Huwasamehe; wakiamini. Myoyoni mwa ndani, yule shetani Ameyaseta mawazo yao; Lakini kwa Bwana huwa mazima, Tukiwavuta kwa pole hao. Kawaokoeni, wale njiani, Mutimize mapenzi ya Bwana; Na kwa nguvu zake warudi kwake, Kwa subira waonyeni sana.Kutsal, Kutsal, Kutsal, Rab Allah Heybetli! Her Şeyin Kaynağı Istenem, nem értem Maestà nǐ zhè chóng yǎ gè bù yào hài pà Хвалите Творца и прославьте Его Njalo Hai Bangun, Yang Tidur Мени Исо рад этма Вижу я вершины гор
Song not available - connect to internet to try again?