Waponyeni watu wamo kifoni, Watoeni walio shimoni; Na aangukaye mumzuie; Ya Bwana Yesu wahubirini. Walio kifoni waokoeni, Mwokozi yuko, wahubirini. Wajapokawia anangojea, Awasubiri waje tobani; Msiwadharau, muwaonyeni; Huwasamehe; wakiamini. Myoyoni mwa ndani, yule shetani Ameyaseta mawazo yao; Lakini kwa Bwana huwa mazima, Tukiwavuta kwa pole hao. Kawaokoeni, wale njiani, Mutimize mapenzi ya Bwana; Na kwa nguvu zake warudi kwake, Kwa subira waonyeni sana.حسن هو الحمد Al golgota morì ạ̹ny̱ ạ̉ḥb ạlrb mlwk ạlmạjws Играй моя скрипка, играй Poďte ku mne, milé deti أجهل ما سوف يأتي 赞美的诗歌哟在这里唱响 I Trust in God كامل الجمال
Song not available - connect to internet to try again?