Waponyeni watu wamo kifoni, Watoeni walio shimoni; Na aangukaye mumzuie; Ya Bwana Yesu wahubirini. Walio kifoni waokoeni, Mwokozi yuko, wahubirini. Wajapokawia anangojea, Awasubiri waje tobani; Msiwadharau, muwaonyeni; Huwasamehe; wakiamini. Myoyoni mwa ndani, yule shetani Ameyaseta mawazo yao; Lakini kwa Bwana huwa mazima, Tukiwavuta kwa pole hao. Kawaokoeni, wale njiani, Mutimize mapenzi ya Bwana; Na kwa nguvu zake warudi kwake, Kwa subira waonyeni sana.Мо насли хушбахттарин, нури Худованд бо мо аст ٴبىزدىڭ قۇداي Temprano yo te buscare Я хочу с Тобою быть Ry Ray mpiaro lehibe zhǔ nǐ zuì zhī dào Ով է, Որ Տեսնում է Dobrý je Bůh Eu nu sunt de pe pamant Teba, Bože, chválime
Song not available - connect to internet to try again?