Waponyeni watu wamo kifoni, Watoeni walio shimoni; Na aangukaye mumzuie; Ya Bwana Yesu wahubirini. Walio kifoni waokoeni, Mwokozi yuko, wahubirini. Wajapokawia anangojea, Awasubiri waje tobani; Msiwadharau, muwaonyeni; Huwasamehe; wakiamini. Myoyoni mwa ndani, yule shetani Ameyaseta mawazo yao; Lakini kwa Bwana huwa mazima, Tukiwavuta kwa pole hao. Kawaokoeni, wale njiani, Mutimize mapenzi ya Bwana; Na kwa nguvu zake warudi kwake, Kwa subira waonyeni sana.Ես Երգում Եմ Քեզ Նոր Մի Երգ Ты ждешь когда я приду к Тебе Isoni maqtaylik ᠶᠡᠬᠡ ᠡᠵᠡᠨ ᠢ ᠮᠠᠭᠲᠠᠨ ᠳᠠᠭᠤᠯᠠᠶᠠ Cuán grande es Jesús Господь нас на распутье блуждающих сыскал qrạʾẗ 2 - tẖmr sẖfạh 3 Átölel jelenléted قلب يسوع ạlqlb kạn qạsy
Song not available - connect to internet to try again?