Waponyeni watu wamo kifoni, Watoeni walio shimoni; Na aangukaye mumzuie; Ya Bwana Yesu wahubirini. Walio kifoni waokoeni, Mwokozi yuko, wahubirini. Wajapokawia anangojea, Awasubiri waje tobani; Msiwadharau, muwaonyeni; Huwasamehe; wakiamini. Myoyoni mwa ndani, yule shetani Ameyaseta mawazo yao; Lakini kwa Bwana huwa mazima, Tukiwavuta kwa pole hao. Kawaokoeni, wale njiani, Mutimize mapenzi ya Bwana; Na kwa nguvu zake warudi kwake, Kwa subira waonyeni sana.wqt lmạ tkwn ṣʿạby You make us one Гел ей кутсал Рух долдур бизи تعليق 1 Entra dentro me ạ̉sẖkrk yạ ạllh Камгалакчым мен дээштиң Хвалю Тебе En mares procelosos Todo lo que soy, lo entrego hoy
Song not available - connect to internet to try again?