Wewe umechoka sana? Wataka raha? Kwake Yesu utapata furaha. Alama anazo yeye? Sasa! makovu ya mikono, na miguu, Na mbavu. Nacho kimivukwa taji Kichwa cha huba? Alivikwa taji kweli miiba. Huku nikimfuata nipate nini? Maonjo nje na ndani amani. Kwamba namwandama Bwana, Mwisho ni nini? Ni furaha na salama Mbinguni.Ruah Әҝəр мəн инсан مجدًا لمن في وسطنا قولداعى ساۋساقتىڭ ٴبارى ون شاقتى Рəббə Һəмд Едирем Vo vnútri cítim, že znie pieseň C'est trop chanter la paix ạ̉ʿṭny yạ rb qlbk Məsihdə qovuşur bu iki ürək klnạ sẖʿbk nhtf lyk
Song not available - connect to internet to try again?