Wewe umechoka sana? Wataka raha? Kwake Yesu utapata furaha. Alama anazo yeye? Sasa! makovu ya mikono, na miguu, Na mbavu. Nacho kimivukwa taji Kichwa cha huba? Alivikwa taji kweli miiba. Huku nikimfuata nipate nini? Maonjo nje na ndani amani. Kwamba namwandama Bwana, Mwisho ni nini? Ni furaha na salama Mbinguni.Se mi riconoscerai Madaqtańdar balalar, Qudaıdy Аловун ఊహలకందని లోకంలో Месих Дирилди Благослови душа моя Господа Ариун Эзэн Та бол Потерянная драхма Танръ Конушур Кенди Халкъна In dir ist mein Leben
Song not available - connect to internet to try again?