Wewe umechoka sana? Wataka raha? Kwake Yesu utapata furaha. Alama anazo yeye? Sasa! makovu ya mikono, na miguu, Na mbavu. Nacho kimivukwa taji Kichwa cha huba? Alivikwa taji kweli miiba. Huku nikimfuata nipate nini? Maonjo nje na ndani amani. Kwamba namwandama Bwana, Mwisho ni nini? Ni furaha na salama Mbinguni.A Cikin Zuciyata Na Ji Muryar Mai Cetona A Love so Amazing Lohasahan-dranomaso برفعلك صلاتي yasarim alahim icin ЕТО МЕ За всё мой Бог Pe malurile râurile triste Во имя Господа Творца благодаренье tsbyḥ lyswʿ
Song not available - connect to internet to try again?