Wewe umechoka sana? Wataka raha? Kwake Yesu utapata furaha. Alama anazo yeye? Sasa! makovu ya mikono, na miguu, Na mbavu. Nacho kimivukwa taji Kichwa cha huba? Alivikwa taji kweli miiba. Huku nikimfuata nipate nini? Maonjo nje na ndani amani. Kwamba namwandama Bwana, Mwisho ni nini? Ni furaha na salama Mbinguni.Pane, počuj hlas yạ yswʿ ạ̉nạ ʿbdk Muchas Gracias Исо ҳаёт, Исо севги yǒu fú tóng xiǎng yǒu nán tóng dāng Абайлап қарашы менің көздерім jwh kl qlb kẖạṭy Tu sei il mio Dio Ей Йерушалим Orzuim Bor
Song not available - connect to internet to try again?