Wewe umechoka sana? Wataka raha? Kwake Yesu utapata furaha. Alama anazo yeye? Sasa! makovu ya mikono, na miguu, Na mbavu. Nacho kimivukwa taji Kichwa cha huba? Alivikwa taji kweli miiba. Huku nikimfuata nipate nini? Maonjo nje na ndani amani. Kwamba namwandama Bwana, Mwisho ni nini? Ni furaha na salama Mbinguni.Tirik Xud Bor Ekan Degno Tu sei wǒ men yào chēng xiè Baqytty Qudaı aldynda qur alaqan turǵan Kvapky - Križiaci È un nuovo giorno Kalvari ah mạdmt mʿy ᠭᠡᠷᠡᠯ ᠢ ᠮᠡᠳᠡᠷᠡᠭᠡᠳ Разве ты не знаешь
Song not available - connect to internet to try again?