Wewe umechoka sana? Wataka raha? Kwake Yesu utapata furaha. Alama anazo yeye? Sasa! makovu ya mikono, na miguu, Na mbavu. Nacho kimivukwa taji Kichwa cha huba? Alivikwa taji kweli miiba. Huku nikimfuata nipate nini? Maonjo nje na ndani amani. Kwamba namwandama Bwana, Mwisho ni nini? Ni furaha na salama Mbinguni.Атанакка караганда hw hw wmạfysẖ gẖyrh Когда вечер наступает بكلمتك باعيش 关上窗 Me gozo en Jesus آدي حياتنا Молится душа 求主一件事 НУЖДАЯ СЕ
Song not available - connect to internet to try again?