Wewe umechoka sana? Wataka raha? Kwake Yesu utapata furaha. Alama anazo yeye? Sasa! makovu ya mikono, na miguu, Na mbavu. Nacho kimivukwa taji Kichwa cha huba? Alivikwa taji kweli miiba. Huku nikimfuata nipate nini? Maonjo nje na ndani amani. Kwamba namwandama Bwana, Mwisho ni nini? Ni furaha na salama Mbinguni.بقى أنا أستاهل Вся слава Тебе Let There Be Light 我要起来到我父亲那里去 yạ rby̱ yạ mạlk ʿmry Худойинг бўлган Рабни Soʻragin Peace in the Valley original ạlsnyn btmr tjry శృతిచేసి నే పాడనా స్తోత్ర గీతం
Song not available - connect to internet to try again?