Wewe umechoka sana? Wataka raha? Kwake Yesu utapata furaha. Alama anazo yeye? Sasa! makovu ya mikono, na miguu, Na mbavu. Nacho kimivukwa taji Kichwa cha huba? Alivikwa taji kweli miiba. Huku nikimfuata nipate nini? Maonjo nje na ndani amani. Kwamba namwandama Bwana, Mwisho ni nini? Ni furaha na salama Mbinguni.Хамгаас хүчтэй Salmo 23 Bana Temiz Eller Triste es mirar que Буду петь, прославлять, nǐ ěr biān shì fǒu yǒu jǐng zhōng zhǎng míng Vivere di te Cristo es la Peña de Horeb 我是神心中的宝贝 Affedildim
Song not available - connect to internet to try again?