Wewe umechoka sana? Wataka raha? Kwake Yesu utapata furaha. Alama anazo yeye? Sasa! makovu ya mikono, na miguu, Na mbavu. Nacho kimivukwa taji Kichwa cha huba? Alivikwa taji kweli miiba. Huku nikimfuata nipate nini? Maonjo nje na ndani amani. Kwamba namwandama Bwana, Mwisho ni nini? Ni furaha na salama Mbinguni.Pójdź do Zbawcy, droga duszo Isa ózgertshi meni 'Ku Tak Dapat Maju Sendiri Святую кровь Свою пролил كىم كۉنۅۅمدۉ جۇۇي الات؟ Jeg takker Gud llwạḥd ạlrḥmn Pan blisko jest Track 3 رافعين رايتنا
Song not available - connect to internet to try again?