Yesu aliniita, 'njoo, Raha iko kwangu, Kichwa chako ukilaze Kifuani mwangu.' Nilikwenda kwake mara, Sana nilichoka; Nikapata kwake raha, Na furaha tena. Yesu aliniita, 'njoo, Kwangu kuna maji, Maji ya uzima, bure, Unywe uwe hai, ' Nilikwenda kwake mara Na maji nikanywa: Naishi kwake, na kiu Kamwe sina tena. Yesu aliniita, 'njoo, Dunia ni giza, Ukinitazama nuru Takung'arizia.' Nilikwenda kwake mara Yeye jua langu, Ni kila wakati mwanga Safarini mwangu.Со ассе ачиз قالوا لي تعالَ يوم سعيد Прийде мій Спас Ближе Позови меня Господь Ştii tu cine este Isus? هللوا للرب Juz nie jestem swój Unknown
Song not available - connect to internet to try again?