Yesu aliniita, 'njoo, Raha iko kwangu, Kichwa chako ukilaze Kifuani mwangu.' Nilikwenda kwake mara, Sana nilichoka; Nikapata kwake raha, Na furaha tena. Yesu aliniita, 'njoo, Kwangu kuna maji, Maji ya uzima, bure, Unywe uwe hai, ' Nilikwenda kwake mara Na maji nikanywa: Naishi kwake, na kiu Kamwe sina tena. Yesu aliniita, 'njoo, Dunia ni giza, Ukinitazama nuru Takung'arizia.' Nilikwenda kwake mara Yeye jua langu, Ni kila wakati mwanga Safarini mwangu.wǒ hǎo xiàng yī zhǐ shòu shāng de xiǎo niǎo nwnw ạ̉nạ mtsẖạl fy̱ ʿywnh yswʿ sw̉l qlby Ыйсага даңк болсун COMME UNE BICHE Возлюбивший нас вечный Бог Творец, Jeden tylko godzien nieść yạ byt lḥm อยู่ในพระสิริ Usenin xaxurxo
Song not available - connect to internet to try again?