Yesu anawaita, Wakosa, wahalifu, Wambieni wa mbali Habari ya wokovu. Tangazeni kwa bidii, Hupokea wakosa!' Liwe neno dhahiri, Hupokea wakosa!' Anawaita Bwana Neno lake amini Watu kila aina Waje kwake tengoni. Mimi ni safi moyo Na mbele ya sharia, Aliye safi roho Kwake ilitimia. Apokea wakosa; Nami anikubali; Alivyonitakasa Mbinguni niwasili.lạ̉nk ạ̉nt yạrb Мы не созданы для лёгкого пути Иисус с Днём рождения Тебя Кудай үнүнө кулак сал, кызматка Ал чакырат ЩЕ ПРАЗНУВАМЕ Таныг магтъя Once in Royal David's City Enciende una luz 我得着你的言语当食物吃 ЬОлум Капъсънда
Song not available - connect to internet to try again?