Yesu anawaita, Wakosa, wahalifu, Wambieni wa mbali Habari ya wokovu. Tangazeni kwa bidii, Hupokea wakosa!' Liwe neno dhahiri, Hupokea wakosa!' Anawaita Bwana Neno lake amini Watu kila aina Waje kwake tengoni. Mimi ni safi moyo Na mbele ya sharia, Aliye safi roho Kwake ilitimia. Apokea wakosa; Nami anikubali; Alivyonitakasa Mbinguni niwasili.Сила дай и дръж ме ти Yesu Ya Cece Ni, Za Ya Taya Ni Сотвори во мне сердце мудрое عظموا الرب معي wrạjʿ lk ạ̉nạ lyạ ạ̹lh ʿynh ʿlyạ Blessed be Қози қони билан Худо мени ақартирди Düşmanın Acıkmışsa Indahnya Saat yang Teduh
Song not available - connect to internet to try again?