Yesu anawaita, Wakosa, wahalifu, Wambieni wa mbali Habari ya wokovu. Tangazeni kwa bidii, Hupokea wakosa!' Liwe neno dhahiri, Hupokea wakosa!' Anawaita Bwana Neno lake amini Watu kila aina Waje kwake tengoni. Mimi ni safi moyo Na mbele ya sharia, Aliye safi roho Kwake ilitimia. Apokea wakosa; Nami anikubali; Alivyonitakasa Mbinguni niwasili.راح يخلص الوقت bié pà lù jiān nán Davanti a Te Meniň nepesimsiň Te Alabre Senor fy ywm mn ạlạ̉yạm Osmondagi Xudoyim عظيم هو ربنا La mia preghiera è شوق قلبي ربي
Song not available - connect to internet to try again?