Yesu anawaita, Wakosa, wahalifu, Wambieni wa mbali Habari ya wokovu. Tangazeni kwa bidii, Hupokea wakosa!' Liwe neno dhahiri, Hupokea wakosa!' Anawaita Bwana Neno lake amini Watu kila aina Waje kwake tengoni. Mimi ni safi moyo Na mbele ya sharia, Aliye safi roho Kwake ilitimia. Apokea wakosa; Nami anikubali; Alivyonitakasa Mbinguni niwasili.Құдай жер мен көкті жаратты lạ ymkn lạ ymkn rby mktwb ʿnk Оғоҳлантириш ʿny qḍy̱ rby ạlḥnwn Тынчым кетип, шектенип, кайгырганда rbnạ .. rbnạ أرجوك يا ابني تعال Бак Раббим ఆరాధన ఆరాధన ఆత్మతో
Song not available - connect to internet to try again?