Yesu unipendaye Kwako nakimbilia, Ni wewe utoshaye, Mwovu akinijia; Yafiche ubavuni, Mwako maisha yangu; Nifiikishe mbinguni Wokoe moyo wangu. Ngome nyingine sina; Nategemea kwako. Usinitupe Bwana , Nipe neema yako, Ninakuamania Mwenye kuniwezesha; Shari wanikingia, Vitani wanitosha. Nakutaka Mpaji Vyote napata kwako; Niwapo muhitaji, Utanijazi vyako; Nao waangukao Wanyonge wape nguvu; Poza wauguao, Uongoze vipofu. Bwana umeniosha Moyo kwa damu yako; Neema ya kutosha Yapatikana kwako; Kwako Bwana naona Kisima cha uzima; Mwangu moyoni Bwana, Bubujika daima.Gdy grzech twój ku ziemi cię tłoczy تەڭىرىم ايادىڭبى جۉرۅگۉمدۉ Affedildim Her An Sizinle Birlikteyim زيت زيادة خليني أقدر أبوتك Mi corazón, oh examina Больше всех имен Pentru noi s-a ivit mântuirea Мечта
Song not available - connect to internet to try again?