Yesu unipendaye Kwako nakimbilia, Ni wewe utoshaye, Mwovu akinijia; Yafiche ubavuni, Mwako maisha yangu; Nifiikishe mbinguni Wokoe moyo wangu. Ngome nyingine sina; Nategemea kwako. Usinitupe Bwana , Nipe neema yako, Ninakuamania Mwenye kuniwezesha; Shari wanikingia, Vitani wanitosha. Nakutaka Mpaji Vyote napata kwako; Niwapo muhitaji, Utanijaz vyako; Nao waangukao Wanyonge wape nguvu; Poza wauguao, Uongoze vipofu. Bwana umeniosha Moyo kwa damu yako; Neema ya kutosha Yapatikana kwako; Kwako Bwana naona Kisima cha uzima; Mwangu moyoni Bwana, Bubujika daima.ЕБЕДИ КРАЛ'А ЬОВГЮЛЕР msnwd ขอโปรดเตรียมลูก Sanctuary Бог пробуждение шлёт по всей стране Jesus, Joy of Man's Desiring kl ạldnyạ fạnyẗ Биз үчүн өлгән Әйса LABOUR ON Blanc, plus blanc que neige Bože, Tvoje prikázania
Song not available - connect to internet to try again?