Yesu unipendaye Kwako nakimbilia, Ni wewe utoshaye, Mwovu akinijia; Yafiche ubavuni, Mwako maisha yangu; Nifiikishe mbinguni Wokoe moyo wangu. Ngome nyingine sina; Nategemea kwako. Usinitupe Bwana , Nipe neema yako, Ninakuamania Mwenye kuniwezesha; Shari wanikingia, Vitani wanitosha. Nakutaka Mpaji Vyote napata kwako; Niwapo muhitaji, Utanijazi vyako; Nao waangukao Wanyonge wape nguvu; Poza wauguao, Uongoze vipofu. Bwana umeniosha Moyo kwa damu yako; Neema ya kutosha Yapatikana kwako; Kwako Bwana naona Kisima cha uzima; Mwangu moyoni Bwana, Bubujika daima.qạl ly̱ ạlsẖyṭạn kẖṭạyạk qdws .. qdws .. qdws Gracias Damos Senor Ба дил гуфтам чаро ин гуна шоданд Ен Йюдже 愿天地的主今日赐福给你 Je krásne ísť Wszędzie spotykam ludzi Viem o zvláštnej rieke İsa Mesih Dün Ve Bugün
Song not available - connect to internet to try again?