Yesu unipendaye Kwako nakimbilia, Ni wewe utoshaye, Mwovu akinijia; Yafiche ubavuni, Mwako maisha yangu; Nifiikishe mbinguni Wokoe moyo wangu. Ngome nyingine sina; Nategemea kwako. Usinitupe Bwana , Nipe neema yako, Ninakuamania Mwenye kuniwezesha; Shari wanikingia, Vitani wanitosha. Nakutaka Mpaji Vyote napata kwako; Niwapo muhitaji, Utanijazi vyako; Nao waangukao Wanyonge wape nguvu; Poza wauguao, Uongoze vipofu. Bwana umeniosha Moyo kwa damu yako; Neema ya kutosha Yapatikana kwako; Kwako Bwana naona Kisima cha uzima; Mwangu moyoni Bwana, Bubujika daima.Dans ta main Nazaretli İsa Məsih ywm mạ ạ̉tḥnn Vaso novo Տեր Հիսուս Գնաց Երկինքը Хуш Хәвәр Здесь мы слышим голос Бога Benim Adım Göklere Yazıldı Por Fe Contemplo Redencion Эй Раббий Сен учун
Song not available - connect to internet to try again?