Yesu unipendaye Kwako nakimbilia, Ni wewe utoshaye, Mwovu akinijia; Yafiche ubavuni, Mwako maisha yangu; Nifiikishe mbinguni Wokoe moyo wangu. Ngome nyingine sina; Nategemea kwako. Usinitupe Bwana , Nipe neema yako, Ninakuamania Mwenye kuniwezesha; Shari wanikingia, Vitani wanitosha. Nakutaka Mpaji Vyote napata kwako; Niwapo muhitaji, Utanijazi vyako; Nao waangukao Wanyonge wape nguvu; Poza wauguao, Uongoze vipofu. Bwana umeniosha Moyo kwa damu yako; Neema ya kutosha Yapatikana kwako; Kwako Bwana naona Kisima cha uzima; Mwangu moyoni Bwana, Bubujika daima.Zion Khawpi Ngaihna ДА ТИ СЕ НАСЛАЖДАВАМ-ТОВА АЗ КОПНЕЯ Ты наш святой Господь Храм Салаа зам За облаками есть страна De-atâta timp tot ură și războaie Te exaltamos sobre un trono Как жизнь прожил ты Гьозлерини Иса'я чевир
Song not available - connect to internet to try again?