Akifa Yesu nikafa naye Uzima upya huishi naye; Humtazama mpaka nje: Nyakati zote ni wake yeye. Nyakati zote nimo pendoni, Nyakati zote ni uzimani, Humtazama hata atokee, Nyakati zote mimi ni wake. Vita sipigi visivyo haki, Na Bwana wangu hapiganiki; Beramu yake haitwaliki, Napo po pote hila sitaki. Sina mashaka, akawa mbali; Mizigo yote aihimili; Ananituliza Imanweli, Nyakati zote mimi husali. Sina huzuni na mimi sidhii; Simwagi chozi, wala siguni; Sikuti afa, ila kitini Daima hunifikiri mimi. Kila unyonge huusikia; Kila ugonjwa kwake hupoa; Yesu ni mwenye kuniokoa Nyakati zote hunijalia.Боломжгүй зүйл гэж үгүй أبانا الذي في السماء Ny tany izay vangianao Нова радість стала Ti amo ti amo ПРИБЛИЖИ МЕ КЪМ ТЕБ Întoarce-te o fiu pierdut باارى تىنچىعاندا جالىنعانى ساعا كەلەمىن أنا بنكر كل بعل Naplň ma
Song not available - connect to internet to try again?