Akifa Yesu nikafa naye Uzima upya huishi naye; Humtazama mpaka nje: Nyakati zote ni wake yeye. Nyakati zote nimo pendoni, Nyakati zote ni uzimani, Humtazama hata atokee, Nyakati zote mimi ni wake. Vita sipigi visivyo haki, Na Bwana wangu hapiganiki; Beramu yake haitwaliki, Napo po pote hila sitaki. Sina mashaka, akawa mbali; Mizigo yote aihimili; Ananituliza Imanweli, Nyakati zote mimi husali. Sina huzuni na mimi sidhii; Simwagi chozi, wala siguni; Sikuti afa, ila kitini Daima hunifikiri mimi. Kila unyonge huusikia; Kila ugonjwa kwake hupoa; Yesu ni mwenye kuniokoa Nyakati zote hunijalia.من غير مقابل Миний төлөө энэ дэлхийд ирсэн Эзэн ạ̉dnw ạ̹lyk ạ̉rtạḥ Isus Miel divin laud Numele Tău Знам Той ме води غريبة عجيبة 今天今天最好的消息 ạ̹nt kẖlạṣy Когда я в бурях испытаний Отец меня так любит
Song not available - connect to internet to try again?