Akifa Yesu nikafa naye Uzima upya huishi naye; Humtazama mpaka nje: Nyakati zote ni wake yeye. Nyakati zote nimo pendoni, Nyakati zote ni uzimani, Humtazama hata atokee, Nyakati zote mimi ni wake. Vita sipigi visivyo haki, Na Bwana wangu hapiganiki; Beramu yake haitwaliki, Napo po pote hila sitaki. Sina mashaka, akawa mbali; Mizigo yote aihimili; Ananituliza Imanweli, Nyakati zote mimi husali. Sina huzuni na mimi sidhii; Simwagi chozi, wala siguni; Sikuti afa, ila kitini Daima hunifikiri mimi. Kila unyonge huusikia; Kila ugonjwa kwake hupoa; Yesu ni mwenye kuniokoa Nyakati zote hunijalia.ทรงเป็นพระเจ้านิรันคร์ hllwyạ ạ̉nạ gẖạly Прими хвалу благодаренье Ucz modłów mnie Услышь слова мои Ты ныне 024-Město tʿlyq 7 - sẖqạwẗ fy̱ ạlmʿml Тіршіліктің қайнар көзі rby̱ ạ̉nhḍn knystk تسمح لنا
Song not available - connect to internet to try again?