Baba yetu aliye Mbinguni Amenifurahisha yakini Kuniambia mwake chuoni Ya kuwa nami Yesu pendoni. Anipenda Mwokozi Yesu, Anipenda, anipenda; Anipenda Mwokozi Yesu, Anipenda mimi. Nimuachapo kutanga mbali, Yeye yu vivyo, hupenda kweli, Hunirejeza kwake moyoni; Kweli yu nami Yesu pendoni. Anipenda! Nami nampenda; Kwa wokovu alionitenda; Akanifia Msalabani Kwa kuwa nami Yesu pendoni. Haya kujua yanipa raha; Kumuamini kuna furaha; Humfukuza mara shetani, Kwona yu nami Yesu Pendoni. Sifa ni nyingi asifiwazo, Moja ni sana katika hizo, Wala siachi, hata Mbinguni, Kwimba, 'Yu nami Yesu pendoni'.lyh tkẖwnny ạ̉b ḥnyn wạ̉nạ wyạh qlby bynbḍ bạlḥyạẗ wạqf jnby̱ ạ̉ṭlb ydy̱ yswʿ rby̱ mạ ạ̉ḥlạh Iglesia De Cristo Sonsuz Olanım Der, Benim Adım qạʿd ʿly̱ sẖṭ ạlḥyạh hl yʿql Io canto la Bibbia Ja wiem, że Zbawca rby qạỷd ḥyạty Érezd, Ó Izrael
Song not available - connect to internet to try again?