Baba yetu aliye Mbinguni Amenifurahisha yakini Kuniambia mwake chuoni Ya kuwa nami Yesu pendoni. Anipenda Mwokozi Yesu, Anipenda, anipenda; Anipenda Mwokozi Yesu, Anipenda mimi. Nimuachapo kutanga mbali, Yeye yu vivyo, hupenda kweli, Hunirejeza kwake moyoni; Kweli yu nami Yesu pendoni. Anipenda! Nami nampenda; Kwa wokovu alionitenda; Akanifia Msalabani Kwa kuwa nami Yesu pendoni. Haya kujua yanipa raha; Kumuamini kuna furaha; Humfukuza mara shetani, Kwona yu nami Yesu Pendoni. Sifa ni nyingi asifiwazo, Moja ni sana katika hizo, Wala siachi, hata Mbinguni, Kwimba, 'Yu nami Yesu pendoni'.ملوك المجوس Desidero te Nu-i usor sa fii parinte ạnạ hnạ lạ̉ʿbdk Siz hepiniz dayanın Regocíjate y canta Есть отчизна у нас дорогая святая İsmini Yücelteceğim sẖkwn ạ̉nạ yạrby هلم ارفعوا الأعلام وانشطوا
Song not available - connect to internet to try again?