Baba yetu aliye Mbinguni Amenifurahisha yakini Kuniambia mwake chuoni Ya kuwa nami Yesu pendoni. Anipenda Mwokozi Yesu, Anipenda, anipenda; Anipenda Mwokozi Yesu, Anipenda mimi. Nimuachapo kutanga mbali, Yeye yu vivyo, hupenda kweli, Hunirejeza kwake moyoni; Kweli yu nami Yesu pendoni. Anipenda! Nami nampenda; Kwa wokovu alionitenda; Akanifia Msalabani Kwa kuwa nami Yesu pendoni. Haya kujua yanipa raha; Kumuamini kuna furaha; Humfukuza mara shetani, Kwona yu nami Yesu Pendoni. Sifa ni nyingi asifiwazo, Moja ni sana katika hizo, Wala siachi, hata Mbinguni, Kwimba, 'Yu nami Yesu pendoni'.Antʋt bilia la chi̱ hatuk key Slovensko moje وو، قۇدايىم سەن االامدى NIHIN KHRIH A THO THAN mạkntsẖ ạ̉tḥml Venid oh pecadores yạ rạ̉snạ ạlgẖạly lqd zạd ạlḥnyn Աստված Բարի Է Եվ Ողորմած է Pavel pe la Timotei Seigneur, que la terre entière
Song not available - connect to internet to try again?