Chakutumaini sina Ila damu yake Bwana, Sina wema wa kutosha Dhambi zangu kuziosha; Kwake Yesu nasimma, Ndiye mwamba: ni salama Ndiye mwamba: ni salama Ndiye mwamba: ni salama. Njia yangu iwe ndefu Yeye hunipa wokovu; Mawimbi yakinipiga Nguvu zake ndiyo nanga. Damu yake na sadaka Nategemea daima, Yote chini yakiisha Mwokozi atanitosha. Nikiitwa hukumuni, Rohoni nina amani Nikivikwa haki yake Sina hofu mbele zake.ạ̹lyk yạ yswʿ Свет, сияющий во тьме Севги Сенсин سەن سۉيۉۉ باقىتسىڭ ạlrb qryb Нам должно Ovláda zem, nebo Xaloskor Shoh Это легко rḥmẗ ktẖyrạaⁿ ạrḥmny
Song not available - connect to internet to try again?