Chakutumaini sina Ila damu yake Bwana, Sina wema wa kutosha Dhambi zangu kuziosha; Kwake Yesu nasimma, Ndiye mwamba: ni salama Ndiye mwamba: ni salama Ndiye mwamba: ni salama. Njia yangu iwe ndefu Yeye hunipa wokovu; Mawimbi yakinipiga Nguvu zake ndiyo nanga. Damu yake na sadaka Nategemea daima, Yote chini yakiisha Mwokozi atanitosha. Nikiitwa hukumuni, Rohoni nina amani Nikivikwa haki yake Sina hofu mbele zake.Una puerta y una sola Z rána hned děkuj lsạny lyk bysbḥ Mon plus cher désir سُیوپ، گِچیریم بِرِلینگ العىس ايتا باستاسام قينالعاندا Друг Mano per mano أحبك فحبك Към Ханаана
Song not available - connect to internet to try again?