Chakutumaini sina Ila damu yake Bwana, Sina wema wa kutosha Dhambi zangu kuziosha; Kwake Yesu nasimma, Ndiye mwamba: ni salama Ndiye mwamba: ni salama Ndiye mwamba: ni salama. Njia yangu iwe ndefu Yeye hunipa wokovu; Mawimbi yakinipiga Nguvu zake ndiyo nanga. Damu yake na sadaka Nategemea daima, Yote chini yakiisha Mwokozi atanitosha. Nikiitwa hukumuni, Rohoni nina amani Nikivikwa haki yake Sina hofu mbele zake.Дұғаның сөздерінде емес lw qlby dạ Господь Иду к Тебе с разбитым сердцем ʿlmny ạzạy ạ̉ḥb Ježiš, Ježiš je Pán Klaniame sa tebe, Bože Mano per mano Yonimda boʻlsang Moment si doux de la prière Yüreğim Tam Alevlensin
Song not available - connect to internet to try again?