Chini ya msalaba Nataka simama; Ndio mwamba safarini, Wa kivuli chema; Ni kweli kwa roho yangu Ni tuo kamili, Tatua mzigo wangu Wakati wa hari. Hapa ni pema sana, Ni ngome kamili; Hapa yameonekana, Mapenzi ya kweli; Kama alivyoonyeshwa Yakobo zamani, Msalaba umekuwa Ngazi ya Mbinguni. Na Yesu msalabani Walimkemea, Alikufa niokoke Niliyepotea; Naona ajabu sana Ya mambo mawili Jinsi alivyonipenda, Nisiyestahili. Atakayeonana, Na Yesu Mbinguni, Njia yake aanzapo Ni msalabani; Wokovu upo hapa tu, Mwingine hapana, Kisha kuna furaha kuu Pamoja na Bwana.Աշխարհի Լույս lì shǐ de zhǎng hé Иисус Ты живёшь всегда ซ่อนข้าไว้ ТУК СТОЯ bnʿẓm sẖkẖṣ ạlmsyḥ ي س و ع يسوع حبيبنا Halêlûya NA SUALNAK KHA CHIATA LAW Средь суеты и забот место молитве найди
Song not available - connect to internet to try again?