Jina lake Yesu tamu; Tukilisikia Hutupoza, tena hamu Hutuondolea. Roho iliyoumia Kwalo hutibika, Chakula, njaani pia; Raha, tukichoka. Jina hili ni msingi, Ngao, ngome, mwamba, Kwa hili napata wingi, Kwangu ni akiba. Yesu, Mchunga, Rafiki Mwalimu, Kuhani, Mwanzo, Mwisho, Njia, Haki, Uzima kifoni. Moyo wangu hauwezi, Kukusifu sana, Ila sifa zangu hizi, Bwana zikubali. Na utakaponiita, Kuja kwako Bwana, Huko kwako sitaacha Kukusifu sana.Доверяй Христу всегда Sana la nostra terra يا ابني لا تنسي Не оставь Ты меня Дух надежды Tantos bienes recibimos Загалмай бүхнийг хучдаг Ty dávaš mi nádej 내 마음을 가득채운 Už zmĺkli, Bože, búrky dňa Воду Ты сделал вином
Song not available - connect to internet to try again?