Jina lake Yesu tamu; Tukilisikia Hutupoza, tena hamu Hutuondolea. Roho iliyoumia Kwalo hutibika, Chakula, njaani pia; Raha, tukichoka. Jina hili ni msingi, Ngao, ngome, mwamba, Kwa hili napata wingi, Kwangu ni akiba. Yesu, Mchunga, Rafiki Mwalimu, Kuhani, Mwanzo, Mwisho, Njia, Haki, Uzima kifoni. Moyo wangu hauwezi, Kukusifu sana, Ila sifa zangu hizi, Bwana zikubali. Na utakaponiita, Kuja kwako Bwana, Huko kwako sitaacha Kukusifu sana.mạdẖạ fʿlwạ mạsẖy̱ swạḥ بيك هانعدي معاركنا fy ạ̉wl ạlṭryq Був легкокрилим Jeg trenger frem på him'lens sti Ах колко радост там! myn gẖyrk ạlnhạrdh Pokľakni na kolená
Song not available - connect to internet to try again?