Jina lake Yesu tamu; Tukilisikia Hutupoza, tena hamu Hutuondolea. Roho iliyoumia Kwalo hutibika, Chakula, njaani pia; Raha, tukichoka. Jina hili ni msingi, Ngao, ngome, mwamba, Kwa hili napata wingi, Kwangu ni akiba. Yesu, Mchunga, Rafiki Mwalimu, Kuhani, Mwanzo, Mwisho, Njia, Haki, Uzima kifoni. Moyo wangu hauwezi, Kukusifu sana, Ila sifa zangu hizi, Bwana zikubali. Na utakaponiita, Kuja kwako Bwana, Huko kwako sitaacha Kukusifu sana.ТЕБ ЧАКАМЕ Քո Ծառային nfsy yạ rby wdh sẖwq qlby Teď stojíme před tváří tvou На всё воля Божья ylly̱ bạ̹ydk kl ạlkwn للرب الارض وملؤها - تأمل Халлилуйя Исо барҳаёт Wzmacniaj się w Panu swym إلقاء 1
Song not available - connect to internet to try again?