Jina lake Yesu tamu; Tukilisikia Hutupoza, tena hamu Hutuondolea. Roho iliyoumia Kwalo hutibika, Chakula, njaani pia; Raha, tukichoka. Jina hili ni msingi, Ngao, ngome, mwamba, Kwa hili napata wingi, Kwangu ni akiba. Yesu, Mchunga, Rafiki Mwalimu, Kuhani, Mwanzo, Mwisho, Njia, Haki, Uzima kifoni. Moyo wangu hauwezi, Kukusifu sana, Ila sifa zangu hizi, Bwana zikubali. Na utakaponiita, Kuja kwako Bwana, Huko kwako sitaacha Kukusifu sana.О, как да го не любя مهما حاولت أعبر E-o minune când soarele apune Pánu všichni prozpěvujte Город моей мечты Why Don't You Let Go Господь наш Бог Свято чтим мы это место hyạ nfrḥ wnhll Yesu Hanyarmu Ne
Song not available - connect to internet to try again?