Juu yake langu shaka, Yesu namuwekea, Nami sitafedheheka Nikimtegemea. Natumai, natumai, Nnatumai kwake tu; Natumai, natumai, Natumai kwake tu. Juu yake, dhambi zangu; Aniosha kwa damu; Nionekane kwa Mungu, Nisiye na laumu. Juu yake yangu hofu; Kwake nimetulia; Sipotei kwa upofu Njia aning'azia. Juu yake raha yangu; Humuangalia tu; Mwenye kila ulimwengu, Aniruzuku na huu. Juu yake, moyo wangu; Hali yangu na mali; Mimi wake, Yeye wangu, Twapasana kamili.Príď, Duchu Svätý, ako Oheň Vecchio passato Dans le calme Әке Сені мен сүйемін Comme un enfant Yo Rabbim kel Mba jereo ny zanakondry Gloria a Lui sr ạlkwn యేసు రాజుగా వచ్చుచున్నాడు
Song not available - connect to internet to try again?