Liko lango moja wazi, Ni lango la mbinguni; Na wote waingiao Watapata nafasi. Lango ndiye Yesu Bwana Wote waingie kwake, Lango! Lango La Mbinguni li wazi. Yesu ndiye lango hili, Hata sasa li wazi, Kwa wakubwa na wadogo, Tajiri na maskini. Hili ni lango la raha, Ni lango la rehema; Kila mtu apitaye Hana majonzi tena. Tukipita lango hili Tutatua mizigo, Tuliochukua kwanza, Tutavikwa uzima. Hima ndugu tuingie Lango halijafungwa, Likifungwa mara moja Halitafunguliwa.Endrika sariaka ạrtfʿ ʿly̱ ạlsmạwạt Співаю алілуя перед ворогами моїми Сенга Ҳамду Сано Куйлайман Капля алой крови Чун бар чӯбе, ки мехкӯб шудаӣ бар он, нигарам أبدًا مانسيتني Ojcze pełen chwały Grazie Dio Hospodin dokoná za mě
Song not available - connect to internet to try again?