Liko lango moja wazi, Ni lango la mbinguni; Na wote waingiao Watapata nafasi. Lango ndiye Yesu Bwana Wote waingie kwake, Lango! Lango La Mbinguni li wazi. Yesu ndiye lango hili, Hata sasa li wazi, Kwa wakubwa na wadogo, Tajiri na maskini. Hili ni lango la raha, Ni lango la rehema; Kila mtu apitaye Hana majonzi tena. Tukipita lango hili Tutatua mizigo, Tuliochukua kwanza, Tutavikwa uzima. Hima ndugu tuingie Lango halijafungwa, Likifungwa mara moja Halitafunguliwa.Tany Betlehema fahiny Mormântu-i gol şi piatra sigilată พระเยซูทรงแก้ปัญหาทุกอย่าง ạ̹nt zyd Хер Шейден ЬОте kly lyk Madaqtandar Qudaıdy Kıeli Úıinde Nebeský Bože, Tvorca všehomíra Наполни нас دي كلمة منك
Song not available - connect to internet to try again?