Liko lango moja wazi, Ni lango la mbinguni; Na wote waingiao Watapata nafasi. Lango ndiye Yesu Bwana Wote waingie kwake, Lango! Lango La Mbinguni li wazi. Yesu ndiye lango hili, Hata sasa li wazi, Kwa wakubwa na wadogo, Tajiri na maskini. Hili ni lango la raha, Ni lango la rehema; Kila mtu apitaye Hana majonzi tena. Tukipita lango hili Tutatua mizigo, Tuliochukua kwanza, Tutavikwa uzima. Hima ndugu tuingie Lango halijafungwa, Likifungwa mara moja Halitafunguliwa.Denn der Herr zieht mit uns voran Te éltetsz engem Глянь, человек, вокруг стонет от грехов земля Imię Jezus wiecznie świeże Ho vavolombelonao Agnus Dei La Tine Doamne noi ades venim tʿlyq 2 - fy jljtẖẗ ṣlạẗ 2 - tẖmr sẖfạh 3 Fogadd el Uram
Song not available - connect to internet to try again?