Liko lango moja wazi, Ni lango la mbinguni; Na wote waingiao Watapata nafasi. Lango ndiye Yesu Bwana Wote waingie kwake, Lango! Lango La Mbinguni li wazi. Yesu ndiye lango hili, Hata sasa li wazi, Kwa wakubwa na wadogo, Tajiri na maskini. Hili ni lango la raha, Ni lango la rehema; Kila mtu apitaye Hana majonzi tena. Tukipita lango hili Tutatua mizigo, Tuliochukua kwanza, Tutavikwa uzima. Hima ndugu tuingie Lango halijafungwa, Likifungwa mara moja Halitafunguliwa.My se ubírame cestou Allahım, sana yalvariyom Já pro tebe jsem mřel Миний мөнхийн амьдралын өмч No hay imposibles para Dios ขอพระเยซูโปรดนำหน้า PATHIAN CU ZUM TUAH La tua grazia mi basta ما أبهاك ... ما أبهاك Младенец неба
Song not available - connect to internet to try again?