Liko lango moja wazi, Ni lango la mbinguni; Na wote waingiao Watapata nafasi. Lango ndiye Yesu Bwana Wote waingie kwake, Lango! Lango La Mbinguni li wazi. Yesu ndiye lango hili, Hata sasa li wazi, Kwa wakubwa na wadogo, Tajiri na maskini. Hili ni lango la raha, Ni lango la rehema; Kila mtu apitaye Hana majonzi tena. Tukipita lango hili Tutatua mizigo, Tuliochukua kwanza, Tutavikwa uzima. Hima ndugu tuingie Lango halijafungwa, Likifungwa mara moja Halitafunguliwa.مين يحلي الغربة غيرك Kim Bu Adam? Majesté Կանգնած Այստեղ О, Господи О любви Твоей петь буду вечно - Андрей Кочкин Когда мы со Христом в свете слова идем Te cheama un tata pe nume Dono più grande non c'è Babban mai magani
Song not available - connect to internet to try again?