Liko lango moja wazi, Ni lango la mbinguni; Na wote waingiao Watapata nafasi. Lango ndiye Yesu Bwana Wote waingie kwake, Lango! Lango La Mbinguni li wazi. Yesu ndiye lango hili, Hata sasa li wazi, Kwa wakubwa na wadogo, Tajiri na maskini. Hili ni lango la raha, Ni lango la rehema; Kila mtu apitaye Hana majonzi tena. Tukipita lango hili Tutatua mizigo, Tuliochukua kwanza, Tutavikwa uzima. Hima ndugu tuingie Lango halijafungwa, Likifungwa mara moja Halitafunguliwa.المسيح قام ۇشۇنچالىق قۇداي سۉيۉپ الآن ربنا القدير انت غيرت الظروف عيني لا ترى سواك O noi ne-am bizuit pe Domnul Бәрі тыныш, әлем ұйықтап жатқанда Terra io sarò lạ̉nh mạdẖạ yntfʿ Položil sa v jasliach
Song not available - connect to internet to try again?