Liko lango moja wazi, Ni lango la mbinguni; Na wote waingiao Watapata nafasi. Lango ndiye Yesu Bwana Wote waingie kwake, Lango! Lango La Mbinguni li wazi. Yesu ndiye lango hili, Hata sasa li wazi, Kwa wakubwa na wadogo, Tajiri na maskini. Hili ni lango la raha, Ni lango la rehema; Kila mtu apitaye Hana majonzi tena. Tukipita lango hili Tutatua mizigo, Tuliochukua kwanza, Tutavikwa uzima. Hima ndugu tuingie Lango halijafungwa, Likifungwa mara moja Halitafunguliwa.trạnym ạlạ̉kẖtbạr - ạljzʾ ạltẖạny Un cântec ca roua coboară din ceruri Samuele Nə Gözəl Parlayır fy wqth Uni madh qiling قد ملك الرب الاله Rabbin Ruhu Üzerimde Миний төлөө энэ дэлхийд ирсэн Эзэн Еј јорғунлар, арғынлар, јаныма ҝəлин», - дејир.
Song not available - connect to internet to try again?