Liko lango moja wazi, Ni lango la mbinguni; Na wote waingiao Watapata nafasi. Lango ndiye Yesu Bwana Wote waingie kwake, Lango! Lango La Mbinguni li wazi. Yesu ndiye lango hili, Hata sasa li wazi, Kwa wakubwa na wadogo, Tajiri na maskini. Hili ni lango la raha, Ni lango la rehema; Kila mtu apitaye Hana majonzi tena. Tukipita lango hili Tutatua mizigo, Tuliochukua kwanza, Tutavikwa uzima. Hima ndugu tuingie Lango halijafungwa, Likifungwa mara moja Halitafunguliwa.Hark, Hark, My Soul! hā lì lù yà zàn měi fù shén В служенье вечному ученью يا سيدي لما أرى نجومك Sende Can Bulmak Padre, yo he pecado contra ti Ó, Kriste, naša Hlava My sme už Tvoji Očakávaj Pána В беде или в радости мы пребываем
Song not available - connect to internet to try again?