Liko lango moja wazi, Ni lango la mbinguni; Na wote waingiao Watapata nafasi. Lango ndiye Yesu Bwana Wote waingie kwake, Lango! Lango La Mbinguni li wazi. Yesu ndiye lango hili, Hata sasa li wazi, Kwa wakubwa na wadogo, Tajiri na maskini. Hili ni lango la raha, Ni lango la rehema; Kila mtu apitaye Hana majonzi tena. Tukipita lango hili Tutatua mizigo, Tuliochukua kwanza, Tutavikwa uzima. Hima ndugu tuingie Lango halijafungwa, Likifungwa mara moja Halitafunguliwa.Aw Hung Lengin Lalpa Sening sevging cheksiz Viens, ô Jésus, ton Eglise t'appelle Parlayan Aya Bak tgẖyb ạlsẖms Ya la noche se acercaba Ярко Свой маяк Отец наш Всё проходит в мире أنا فرحان بحبيبي Velkolepý
Song not available - connect to internet to try again?