Liko lango moja wazi, Ni lango la mbinguni; Na wote waingiao Watapata nafasi. Lango ndiye Yesu Bwana Wote waingie kwake, Lango! Lango La Mbinguni li wazi. Yesu ndiye lango hili, Hata sasa li wazi, Kwa wakubwa na wadogo, Tajiri na maskini. Hili ni lango la raha, Ni lango la rehema; Kila mtu apitaye Hana majonzi tena. Tukipita lango hili Tutatua mizigo, Tuliochukua kwanza, Tutavikwa uzima. Hima ndugu tuingie Lango halijafungwa, Likifungwa mara moja Halitafunguliwa.Ким Лайъктър? Hudoi Olqishlay (anʼanaviy) Римский солдат dy rạsy wktạfy Beni ve Seni Güzel Yaratan zhè shì yī zhī zàn měi de jūn duì Adj új szívet nekem Senza limiti Amo Te Ей гряди
Song not available - connect to internet to try again?