Liko lango moja wazi, Ni lango la mbinguni; Na wote waingiao Watapata nafasi. Lango ndiye Yesu Bwana Wote waingie kwake, Lango! Lango La Mbinguni li wazi. Yesu ndiye lango hili, Hata sasa li wazi, Kwa wakubwa na wadogo, Tajiri na maskini. Hili ni lango la raha, Ni lango la rehema; Kila mtu apitaye Hana majonzi tena. Tukipita lango hili Tutatua mizigo, Tuliochukua kwanza, Tutavikwa uzima. Hima ndugu tuingie Lango halijafungwa, Likifungwa mara moja Halitafunguliwa.ạ̉ryd qlbạaⁿ Fuisteis Sellados THLACAM CAAN DAIHNAK A SI ماما، يسا جايلى ايتىپ بەرشى Al posto mio اقىل ويۇڭدۇ بىيلەپ Тільки Ти Господь є надія моя Xudo yaxshi yǒu yī zhǐ xiǎo yáng Ježiš, lásky Kráľ
Song not available - connect to internet to try again?