Liko lango moja wazi, Ni lango la mbinguni; Na wote waingiao Watapata nafasi. Lango ndiye Yesu Bwana Wote waingie kwake, Lango! Lango La Mbinguni li wazi. Yesu ndiye lango hili, Hata sasa li wazi, Kwa wakubwa na wadogo, Tajiri na maskini. Hili ni lango la raha, Ni lango la rehema; Kila mtu apitaye Hana majonzi tena. Tukipita lango hili Tutatua mizigo, Tuliochukua kwanza, Tutavikwa uzima. Hima ndugu tuingie Lango halijafungwa, Likifungwa mara moja Halitafunguliwa.Cand trâmbiţa Domnului va anunţa judecata آلتیندان قیمّاتلی + لُرد، ایُو آره مُره پرِعیُوس Вещает небо Предвечного славу Osannando Simile a Gesù Өзүн дејирсəн مشتاق إليك وبقاله زمان Seni arıyorlar, sana, Allah ạlmw̉mn ạlạ̉myn Садакатън не Бюйюктюр
Song not available - connect to internet to try again?