Liko lango moja wazi, Ni lango la mbinguni; Na wote waingiao Watapata nafasi. Lango ndiye Yesu Bwana Wote waingie kwake, Lango! Lango La Mbinguni li wazi. Yesu ndiye lango hili, Hata sasa li wazi, Kwa wakubwa na wadogo, Tajiri na maskini. Hili ni lango la raha, Ni lango la rehema; Kila mtu apitaye Hana majonzi tena. Tukipita lango hili Tutatua mizigo, Tuliochukua kwanza, Tutavikwa uzima. Hima ndugu tuingie Lango halijafungwa, Likifungwa mara moja Halitafunguliwa.Исаия 58 глава ఆత్మీయ బండా Их Эзэний ивээл дор байхад С небес призрел Господь نشدوا مجدًا Praise The Lord, Ye Heavens Adore Him Walk by Faith Chante ta joie Voici Noël, ô douce nuit Preghiera
Song not available - connect to internet to try again?