Liko lango moja wazi, Ni lango la mbinguni; Na wote waingiao Watapata nafasi. Lango ndiye Yesu Bwana Wote waingie kwake, Lango! Lango La Mbinguni li wazi. Yesu ndiye lango hili, Hata sasa li wazi, Kwa wakubwa na wadogo, Tajiri na maskini. Hili ni lango la raha, Ni lango la rehema; Kila mtu apitaye Hana majonzi tena. Tukipita lango hili Tutatua mizigo, Tuliochukua kwanza, Tutavikwa uzima. Hima ndugu tuingie Lango halijafungwa, Likifungwa mara moja Halitafunguliwa.Цаг ирлээ O Saint-Esprit, Esprit du Seigneur Budeme slúžiť Хайрын гэрэл тань mạly swạk Tazalap meni arylttyń múlde kúnádan C'est dans la paix que tu dois vivre Jesús Amado de mi alma Садакатин Бюйюк Слева улыбаются справа улыбаются
Song not available - connect to internet to try again?