Liko lango moja wazi, Ni lango la mbinguni; Na wote waingiao Watapata nafasi. Lango ndiye Yesu Bwana Wote waingie kwake, Lango! Lango La Mbinguni li wazi. Yesu ndiye lango hili, Hata sasa li wazi, Kwa wakubwa na wadogo, Tajiri na maskini. Hili ni lango la raha, Ni lango la rehema; Kila mtu apitaye Hana majonzi tena. Tukipita lango hili Tutatua mizigo, Tuliochukua kwanza, Tutavikwa uzima. Hima ndugu tuingie Lango halijafungwa, Likifungwa mara moja Halitafunguliwa.Никто не знает как там и тут Миний сэтгэлийг шижир алт шиг เราขอสรรเสริญ There's Power in the Blood Jeden poklad by som chcel Oceány Ʋba Pi̱ki Chihowa mʋt Roi de majesté С ЖИВОТА СИ ВЪЗПЯВАМ ТЕБ Illusione
Song not available - connect to internet to try again?