Liko lango moja wazi, Ni lango la mbinguni; Na wote waingiao Watapata nafasi. Lango ndiye Yesu Bwana Wote waingie kwake, Lango! Lango La Mbinguni li wazi. Yesu ndiye lango hili, Hata sasa li wazi, Kwa wakubwa na wadogo, Tajiri na maskini. Hili ni lango la raha, Ni lango la rehema; Kila mtu apitaye Hana majonzi tena. Tukipita lango hili Tutatua mizigo, Tuliochukua kwanza, Tutavikwa uzima. Hima ndugu tuingie Lango halijafungwa, Likifungwa mara moja Halitafunguliwa.mstḥq Un vero Natale Tvá Krev ИСКАМ ДА ТЕ ВИДЯ Er ist Herr А птици във вятър Tany Betlehema fahiny 因着耶稣爱的缘故 tsbyḥk yʿly̱ wyʿly̱ Nech sa všetci svätí
Song not available - connect to internet to try again?