Liko lango moja wazi, Ni lango la mbinguni; Na wote waingiao Watapata nafasi. Lango ndiye Yesu Bwana Wote waingie kwake, Lango! Lango La Mbinguni li wazi. Yesu ndiye lango hili, Hata sasa li wazi, Kwa wakubwa na wadogo, Tajiri na maskini. Hili ni lango la raha, Ni lango la rehema; Kila mtu apitaye Hana majonzi tena. Tukipita lango hili Tutatua mizigo, Tuliochukua kwanza, Tutavikwa uzima. Hima ndugu tuingie Lango halijafungwa, Likifungwa mara moja Halitafunguliwa.Ashylmaıtyn bul áli qupııa-syr Господи помилуй Pane, ráč nás Duchom svojím يا ساكن الأبد Voda Nic nie może szczęścia K večeru sa deň nachýlil Traja králi uzreli Tu sei il Re C'est un rempart que notre Dieu
Song not available - connect to internet to try again?