Msalabani pa mwokozi, Hapo niliomba upozi, Akaniokoa mpenzi, Mwana wa Mungu. Mwana wa Mungu, Mwokozi wangu, Akaniokoa mpenzi, Mwana wa Mungu. Chini ya mti msumbufu, Niliomba utakatifu, Alinikomboa kwa damu, Mwana wa Mungu. Mwana wa Mungu, Mwokozi wangu, Alinikomboa kwa damu, Mwana wa Mungu. Aliniokoa dhambini, Ikawa kunikaa ndani, Aliponifia mtini, Mwana wa Mungu. Mwana wa Mungu, Mwokozi wangu, Aliponifia Mtini, Mwana wa Mungu. Damu ya Yesu ya thamani, Huniokoa makosani, Huniendesha wokovuni, Mwana wa Mungu. Mwana wa Mungu, Mwokozi wangu, Huniendesha wokovuni, Mwana wa Mungu. Hicho kijito cha gharama, Leo jivike kwa kuzama, Kwake uuone uzima, Mwana wa Mungu. Mwana wa Mungu, Mwokozi wangu, Kwake u uone uzima, Mwana wa Mungu.بىلدىڭەربى دەگى بۉگۉن قانداي كۉن؟ تصبح ع خير Il Tuo amor Günah işlediğimde yạ ạ̉yhạ ạlrạʿy ạlʿẓym Sin Deus nada somos Бу гүн Инҗил етип гелди! غنى العهد الجديد Ta Parole est la richesse gẖnwạ
Song not available - connect to internet to try again?