Msalabani pa mwokozi, Hapo niliomba upozi, Akaniokoa mpenzi, Mwana wa Mungu. Mwana wa Mungu, Mwokozi wangu, Akaniokoa mpenzi, Mwana wa Mungu. Chini ya mti msumbufu, Niliomba utakatifu, Alinikomboa kwa damu, Mwana wa Mungu. Mwana wa Mungu, Mwokozi wangu, Alinikomboa kwa damu, Mwana wa Mungu. Aliniokoa dhambini, Ikawa kunikaa ndani, Aliponifia mtini, Mwana wa Mungu. Mwana wa Mungu, Mwokozi wangu, Aliponifia Mtini, Mwana wa Mungu. Damu ya Yesu ya thamani, Huniokoa makosani, Huniendesha wokovuni, Mwana wa Mungu. Mwana wa Mungu, Mwokozi wangu, Huniendesha wokovuni, Mwana wa Mungu. Hicho kijito cha gharama, Leo jivike kwa kuzama, Kwake uuone uzima, Mwana wa Mungu. Mwana wa Mungu, Mwokozi wangu, Kwake u uone uzima, Mwana wa Mungu.Bizdiń Patsha, bizdiń Qudaı-Isa Másih! Eu celebrarei Damlai Ni Abeih Ma Hin Chvalte Hospodina نۇرلى اسپان، كۇن ساۋلەسىن شاشادى Есть люди в этом мире Օ, Իմ Սուրբ Աստված Viaţa-mi era tristă fără bucurii 천지 지으신 주님 안에 Jeso, Zanahary!
Song not available - connect to internet to try again?