Msalabani pa mwokozi, Hapo niliomba upozi, Akaniokoa mpenzi, Mwana wa Mungu. Mwana wa Mungu, Mwokozi wangu, Akaniokoa mpenzi, Mwana wa Mungu. Chini ya mti msumbufu, Niliomba utakatifu, Alinikomboa kwa damu, Mwana wa Mungu. Mwana wa Mungu, Mwokozi wangu, Alinikomboa kwa damu, Mwana wa Mungu. Aliniokoa dhambini, Ikawa kunikaa ndani, Aliponifia mtini, Mwana wa Mungu. Mwana wa Mungu, Mwokozi wangu, Aliponifia Mtini, Mwana wa Mungu. Damu ya Yesu ya thamani, Huniokoa makosani, Huniendesha wokovuni, Mwana wa Mungu. Mwana wa Mungu, Mwokozi wangu, Huniendesha wokovuni, Mwana wa Mungu. Hicho kijito cha gharama, Leo jivike kwa kuzama, Kwake uuone uzima, Mwana wa Mungu. Mwana wa Mungu, Mwokozi wangu, Kwake u uone uzima, Mwana wa Mungu.Կյանք Տվողը Տերն է Әке, Сен әрқашан мейірімдісің إزاي يا رب حنانك Две рыбки и пять хлебов Боломжгүй зүйл гэж үгүй Hukdampa Khawi A Um Un amico fedele مستر عنه الوجوه kl ywm kl ṣbḥ Lama 'Ku Enggan Mengikut Jalan Tuhan
Song not available - connect to internet to try again?