Mwamba wenye imara Kwako nitajificha! Maji hayo na damu Yaliyotoka humu, Hunisafi na dhambi, Hunifanya mshindi. Kwa kazi zote pia , Sitimizi sharia. Nijapofanya bidii, Nikilia nakudhii, Hayaishi makosa; Ndiwe wa kuokoa. Sina cha mkononi, Naja Msalabani; Nili tupu, nivike; Ni mnyonge, nishike; Nili mchafu naja, Nioshe nisijafa. Nikungojapo chini, Nakwenda kaburini; Nipaapo Mbinguni, Na kukwona enzini: Roho yangu na iwe Rahani mwako wewe.Gel O'nun Tahtına Tong Chogʻida حتى ما هذا الجفا Énekelek az Úrnak Бог живущий в высшем свете Je veux te louer Коли моє серце slạmk fạq ạlʿqwl Tynyshtyqta sezdim Qudaıym, júregime sóılegenińdi Жалғыз Сен менің үміт артарымсың
Song not available - connect to internet to try again?