Mwamba wenye imara Kwako nitajificha! Maji hayo na damu Yaliyotoka humu, Hunisafi na dhambi, Hunifanya mshindi. Kwa kazi zote pia , Sitimizi sharia. Nijapofanya bidii, Nikilia nakudhii, Hayaishi makosa; Ndiwe wa kuokoa. Sina cha mkononi, Naja Msalabani; Nili tupu, nivike; Ni mnyonge, nishike; Nili mchafu naja, Nioshe nisijafa. Nikungojapo chini, Nakwenda kaburini; Nipaapo Mbinguni, Na kukwona enzini: Roho yangu na iwe Rahani mwako wewe.I Have a Friend Who Loves Me Сотки из нас флаг Сең Сөйгиңе дагам эрәр.. Passione Vaat Edilen İsa Oricât de lungă-i noaptea Vďaka Ježiš Szállj le ránk, Lélek Canta striga bate din palme La Tumba La Encerro
Song not available - connect to internet to try again?