Mwamba wenye imara Kwako nitajificha! Maji hayo na damu Yaliyotoka humu, Hunisafi na dhambi, Hunifanya mshindi. Kwa kazi zote pia , Sitimizi sharia. Nijapofanya bidii, Nikilia nakudhii, Hayaishi makosa; Ndiwe wa kuokoa. Sina cha mkononi, Naja Msalabani; Nili tupu, nivike; Ni mnyonge, nishike; Nili mchafu naja, Nioshe nisijafa. Nikungojapo chini, Nakwenda kaburini; Nipaapo Mbinguni, Na kukwona enzini: Roho yangu na iwe Rahani mwako wewe.Good King Wenceslas Биз учун келди Исо Zakkay Küçük Bir Adamdı Истерим гьорейим сени Manda me Il canto nella prigione Ol Taňry Փրկության Բաժակը Կվերցնեմ Cristo è morto per te qạʿd ʿly̱ sẖṭ ạlḥyạh
Song not available - connect to internet to try again?