Mwamba wenye imara Kwako nitajificha! Maji hayo na damu Yaliyotoka humu, Hunisafi na dhambi, Hunifanya mshindi. Kwa kazi zote pia , Sitimizi sharia. Nijapofanya bidii, Nikilia nakudhii, Hayaishi makosa; Ndiwe wa kuokoa. Sina cha mkononi, Naja Msalabani; Nili tupu, nivike; Ni mnyonge, nishike; Nili mchafu naja, Nioshe nisijafa. Nikungojapo chini, Nakwenda kaburini; Nipaapo Mbinguni, Na kukwona enzini: Roho yangu na iwe Rahani mwako wewe.天属你呀地属你 يا منبع الأفراح يا أبـو المجد النوراني - Live tāo shēng yī jiù ạsmk ytgẖny̱ Ponáhľajme, pastuškovia, k Betlemu В этот час брачный час Omeo mba handramako Яшаяна Гьоркем Furious
Song not available - connect to internet to try again?