Mwamba wenye imara Kwako nitajificha! Maji hayo na damu Yaliyotoka humu, Hunisafi na dhambi, Hunifanya mshindi. Kwa kazi zote pia , Sitimizi sharia. Nijapofanya bidii, Nikilia nakudhii, Hayaishi makosa; Ndiwe wa kuokoa. Sina cha mkononi, Naja Msalabani; Nili tupu, nivike; Ni mnyonge, nishike; Nili mchafu naja, Nioshe nisijafa. Nikungojapo chini, Nakwenda kaburini; Nipaapo Mbinguni, Na kukwona enzini: Roho yangu na iwe Rahani mwako wewe.Гəлбимдə Јандыр Аловуну اِی دُغا! Я поклоняюсь الأرض دي ملكك يا ابن الله S láskou Oh, Blest the House Pane my ti děkujeme Ти Святий Бог La Tua bontà Ty jsi jediný Bůh
Song not available - connect to internet to try again?