Mwamba wenye imara Kwako nitajificha! Maji hayo na damu Yaliyotoka humu, Hunisafi na dhambi, Hunifanya mshindi. Kwa kazi zote pia , Sitimizi sharia. Nijapofanya bidii, Nikilia nakudhii, Hayaishi makosa; Ndiwe wa kuokoa. Sina cha mkononi, Naja Msalabani; Nili tupu, nivike; Ni mnyonge, nishike; Nili mchafu naja, Nioshe nisijafa. Nikungojapo chini, Nakwenda kaburini; Nipaapo Mbinguni, Na kukwona enzini: Roho yangu na iwe Rahani mwako wewe.A legszebb szó Ром 16:19 Ты помни субботу За жетва бели нивите Iloitse, morsian Gurasar Rai, Ciyad da Ranmu Yau On jest tu Ten, který náš svět stvořil ạ̉sẖkrk yạ ạllh Chválime Ťa
Song not available - connect to internet to try again?