Mwamba wenye imara Kwako nitajificha! Maji hayo na damu Yaliyotoka humu, Hunisafi na dhambi, Hunifanya mshindi. Kwa kazi zote pia , Sitimizi sharia. Nijapofanya bidii, Nikilia nakudhii, Hayaishi makosa; Ndiwe wa kuokoa. Sina cha mkononi, Naja Msalabani; Nili tupu, nivike; Ni mnyonge, nishike; Nili mchafu naja, Nioshe nisijafa. Nikungojapo chini, Nakwenda kaburini; Nipaapo Mbinguni, Na kukwona enzini: Roho yangu na iwe Rahani mwako wewe.ạ̉ʿlm ạ̉ny ạ̉tẖym Сени Коруян Танръ'дър Раб'бим чобанъмдър беним Иисус мой Царь Любете един другиго Ул монда Iá, Isany men súıem A KA HRUAINAK AH Мени қанотинг ила яшир mn qbl ạlʿạlm
Song not available - connect to internet to try again?