Mwamba wenye imara Kwako nitajificha! Maji hayo na damu Yaliyotoka humu, Hunisafi na dhambi, Hunifanya mshindi. Kwa kazi zote pia , Sitimizi sharia. Nijapofanya bidii, Nikilia nakudhii, Hayaishi makosa; Ndiwe wa kuokoa. Sina cha mkononi, Naja Msalabani; Nili tupu, nivike; Ni mnyonge, nishike; Nili mchafu naja, Nioshe nisijafa. Nikungojapo chini, Nakwenda kaburini; Nipaapo Mbinguni, Na kukwona enzini: Roho yangu na iwe Rahani mwako wewe.Встань ободрись เมื่อมองดูความบริสุทธิ์ของพระองค์ Život krásny je وسط طريقك La plus belle des chansons d'amour mạly̱ qlby bạlạ̉frạḥ أبي ضللت حين تركت موسيقي المقدمة - ثمر شفاه 3 dmʿh fy̱ ʿyn mdynẗ V Synovi k nám Boh sám sa znížil
Song not available - connect to internet to try again?