Mwamba wenye imara Kwako nitajificha! Maji hayo na damu Yaliyotoka humu, Hunisafi na dhambi, Hunifanya mshindi. Kwa kazi zote pia , Sitimizi sharia. Nijapofanya bidii, Nikilia nakudhii, Hayaishi makosa; Ndiwe wa kuokoa. Sina cha mkononi, Naja Msalabani; Nili tupu, nivike; Ni mnyonge, nishike; Nili mchafu naja, Nioshe nisijafa. Nikungojapo chini, Nakwenda kaburini; Nipaapo Mbinguni, Na kukwona enzini: Roho yangu na iwe Rahani mwako wewe.fy mwkb jysẖ ạlgẖạlbyn Voz de amor y de clemencia Стани, стани, душо моя wù yào jiān gù مزمور 54 - مرنم 我們是主呼召的精兵 tlj tlj Întregul soare joacă-n stropi de rouă Glory To Our King Бал гиби
Song not available - connect to internet to try again?