Mwamba wenye imara Kwako nitajificha! Maji hayo na damu Yaliyotoka humu, Hunisafi na dhambi, Hunifanya mshindi. Kwa kazi zote pia , Sitimizi sharia. Nijapofanya bidii, Nikilia nakudhii, Hayaishi makosa; Ndiwe wa kuokoa. Sina cha mkononi, Naja Msalabani; Nili tupu, nivike; Ni mnyonge, nishike; Nili mchafu naja, Nioshe nisijafa. Nikungojapo chini, Nakwenda kaburini; Nipaapo Mbinguni, Na kukwona enzini: Roho yangu na iwe Rahani mwako wewe.ạ̉nạ mạsẖy̱ wnwrk qdạmy JESUH NIH A RALKAP A HRUAI HNA Qandaı ǵajaıyp Esimiń Xudo olamni goʻzal yaratdi رۇحئي باقچام دا قارووسۇز قالدى Сана Тападжаъм Сонсуза Дек shén jì niàn wǒ men Ну и пусть я стал никто Сенсан Мерхамети бол олан Танръ
Song not available - connect to internet to try again?