Mwamba wenye imara Kwako nitajificha! Maji hayo na damu Yaliyotoka humu, Hunisafi na dhambi, Hunifanya mshindi. Kwa kazi zote pia , Sitimizi sharia. Nijapofanya bidii, Nikilia nakudhii, Hayaishi makosa; Ndiwe wa kuokoa. Sina cha mkononi, Naja Msalabani; Nili tupu, nivike; Ni mnyonge, nishike; Nili mchafu naja, Nioshe nisijafa. Nikungojapo chini, Nakwenda kaburini; Nipaapo Mbinguni, Na kukwona enzini: Roho yangu na iwe Rahani mwako wewe.Rab Benim Çobanımdır; Korkmam حمامة Oh Lord, You know each heart and search each soul ạ̉nạ hạmlạ ạlkwn Месих Дюнямъза Инди Untuk Apa Susah Hati wfy lḥẓẗ مين أحن منك Ne sfatuiesti si ne inveti บอกรักพ่อ
Song not available - connect to internet to try again?