Mwamba wenye imara Kwako nitajificha! Maji hayo na damu Yaliyotoka humu, Hunisafi na dhambi, Hunifanya mshindi. Kwa kazi zote pia , Sitimizi sharia. Nijapofanya bidii, Nikilia nakudhii, Hayaishi makosa; Ndiwe wa kuokoa. Sina cha mkononi, Naja Msalabani; Nili tupu, nivike; Ni mnyonge, nishike; Nili mchafu naja, Nioshe nisijafa. Nikungojapo chini, Nakwenda kaburini; Nipaapo Mbinguni, Na kukwona enzini: Roho yangu na iwe Rahani mwako wewe.نظرت من السماء Tutti insieme Господ е близо Широка, как море Chi ho in cielo Ölmüş ve Yaşama Dönmüş Sopra le nazioni Len dvihni brat môj yạlly̱ ḥbytny̱ Stojím pred Tebou
Song not available - connect to internet to try again?