Mwamba wenye imara Kwako nitajificha! Maji hayo na damu Yaliyotoka humu, Hunisafi na dhambi, Hunifanya mshindi. Kwa kazi zote pia , Sitimizi sharia. Nijapofanya bidii, Nikilia nakudhii, Hayaishi makosa; Ndiwe wa kuokoa. Sina cha mkononi, Naja Msalabani; Nili tupu, nivike; Ni mnyonge, nishike; Nili mchafu naja, Nioshe nisijafa. Nikungojapo chini, Nakwenda kaburini; Nipaapo Mbinguni, Na kukwona enzini: Roho yangu na iwe Rahani mwako wewe.Ялнъз Сен Лайъксън Бывает в жизни разное случается ألوف ألوف أمامك ạ̉nt jạy lạ̉rḍnạ Исам Тәңірім Бог чудесно землю сотворил N-auzi cum Isus te cheamă قراءة 2 Бөмбөрчин Хүү I worship you, O lamb of God
Song not available - connect to internet to try again?