Mwamba wenye imara Kwako nitajificha! Maji hayo na damu Yaliyotoka humu, Hunisafi na dhambi, Hunifanya mshindi. Kwa kazi zote pia , Sitimizi sharia. Nijapofanya bidii, Nikilia nakudhii, Hayaishi makosa; Ndiwe wa kuokoa. Sina cha mkononi, Naja Msalabani; Nili tupu, nivike; Ni mnyonge, nishike; Nili mchafu naja, Nioshe nisijafa. Nikungojapo chini, Nakwenda kaburini; Nipaapo Mbinguni, Na kukwona enzini: Roho yangu na iwe Rahani mwako wewe.家乡水故乡山 tʿlyq 4 جلست كالعادة ạ̉ b t tẖ Няма по-добър и верен от Исус Jésus te confie Oh Jesús mi Salvador mn mjd lmjd МӘНИМ ХОШБӘХТЛИЈИМ СӘНИН ӘЛИНДӘ Tu che siedi
Song not available - connect to internet to try again?