Mwamba wenye imara Kwako nitajificha! Maji hayo na damu Yaliyotoka humu, Hunisafi na dhambi, Hunifanya mshindi. Kwa kazi zote pia , Sitimizi sharia. Nijapofanya bidii, Nikilia nakudhii, Hayaishi makosa; Ndiwe wa kuokoa. Sina cha mkononi, Naja Msalabani; Nili tupu, nivike; Ni mnyonge, nishike; Nili mchafu naja, Nioshe nisijafa. Nikungojapo chini, Nakwenda kaburini; Nipaapo Mbinguni, Na kukwona enzini: Roho yangu na iwe Rahani mwako wewe.جۉرۅگۉمدۉ تازالادىڭ، تەڭىر E-a treia zi de când muri Béni soit l'homme أنا إسمي الإبن المحبوب Свободен я qdws yswʿ Mój Ojciec ma w niebiesiech tron Боже мой, в молитве преклоняюсь Halleluja! Riemu raikuu الرب هو الله
Song not available - connect to internet to try again?