Mwokozi umeokoa, Nimekuwa wako wewe. Damu imenisafisha. Sifa kwa mwana Kondoo. Utukufu, Aleluya! Sifa kwa Mwana Kondoo! Damu imenisafisha, Utukufu kwa Yesu! Nilijitahidi sana Ila sikupata raha; Bali kwa kumtegemea Nilipata Baraka. Daima namwegemea Damu ikifanya kazi, Nikioga kwa chemichemi Itokayo Mwokozi. Sasa nimewekwa wakfu; Nitaishi kwako wewe: Fahari nashuhudia Ya wokovu wa bure. Nasimama kwake Yesu, Ameponya roho yangu; Ameniondoa dhambi, Anifanye mzima. Nilikuwa kifungoni, Niliteswa na dhambi, Nilifungwa minyororo Yesu akanifungua. Sifa, ameninunua! Sifa, nguvu za wokovu! Sifa, Bwana huhifadhi! Sifa zake milele.yạ ạllh ại̹lhy ạ̉nt Zdecydowałem iść The blessing ەڭ باشىندا ۅمۉر سۅزۉ دعاني الحبيب I Have a Friend Who Loves Me ậty ạ̹lyk yạ yswʿy كلما اقتربت منك نأتي لك mạ ạ̉ʿjb ạlnʿmẗ
Song not available - connect to internet to try again?