Ndiyo damu ya baraka ituoshayo wakosa, Kwake Bwana twaokoka, nasi twamsifu sasa; Nimestahili hukumu, siwezi kujitakasa; Nioshe katika damu, takuwa safi kabisa. Safi kabisa; safi kabisa! Nioshe katika damu; Takuwa safi kabisa. Yesu alivikwa miiba, na kuangikwa Mtini, Na maumivu si haba yaliyompata chini. Nataka kijito hicho niende kuoga sasa; Ndicho kinitakasacho, nami ni safi kabisa. Safi kabisa; safi kabisa! Ndicho kinitakasacho, Nami ni safi kabisa. Baba, kweli nimekosa, moyo wangu ni dhaifu; Dhambi ni nyingi kabisa, nipate wapi wokovu? Yesu kijitoni pako, naja naamini sasa; Nioshe kwa damu yako, takuwa safi kabisa. Safi kabisa; safi kabisa! Nioshe kwa damu yako, Nami ni safi kabisa.АДА КУДАЙ КАНДЫЙ ЈАКШЫ ӦЙ БИСКЕ БЕРГЕН Ty si dokonalý O Jésus, je me repose Digno Я не от мира сего Keď zasvitnú ranné zore qrạʾẗ 1 - tʿwd ftḥyynạ Nie nam, lecz Twemu Imieniu Necha marta Xudoim kechiraman Te aştept privind spre zări senine
Song not available - connect to internet to try again?